Tuendako Mlimani
Member
- May 24, 2021
- 8
- 25
Habari za muda huu usomapo uzi huu!
Uko msemo wa kiafrika (Africa ya kati) kuwa "katika janga kuna Kuna mwokozi" na katika ubaya kuna mpambanaji.
CP Hamduni usibadilike. Linda nafsi yako, mkumbuke Mwenyezi Mungu wako, tenda haki. Komesha uonevu, dhuluma.
Sio wote watapewa haki na cheo Kama wewe. Mwakani jiandae uende hija ukiwa umeweka mambo sawa. Tetea wenye kuonewa. Lipia haki zilizodhulumiwa.
Umeinuliwa mahali pa juu, tenda, timiza, tunakuombea. Ameen
Uko msemo wa kiafrika (Africa ya kati) kuwa "katika janga kuna Kuna mwokozi" na katika ubaya kuna mpambanaji.
CP Hamduni usibadilike. Linda nafsi yako, mkumbuke Mwenyezi Mungu wako, tenda haki. Komesha uonevu, dhuluma.
Sio wote watapewa haki na cheo Kama wewe. Mwakani jiandae uende hija ukiwa umeweka mambo sawa. Tetea wenye kuonewa. Lipia haki zilizodhulumiwa.
Umeinuliwa mahali pa juu, tenda, timiza, tunakuombea. Ameen