#COVID19 COVID-19 yapelekea Bunge la Uganda kufungwa kwa wiki mbili

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,001
9,866
Wabunge na wahudumu wa bunge waliopatikana na corona wameshauriwa kujitengaImage caption: Wabunge na wahudumu wa bunge waliopatikana na corona wameshauriwa kujitenga

Taarifa iliyotolewa na Bunge inasemabunge hilo litafungwa kuanzia wiki ijayo tarehe 28 Juni , Jumapili hadi tarehe 11 Julai ili kusafisha majengo ya bunge.

Mkurugenzi wa mawasilianona masuala ya umma katika bunge hilo, Chris Obore anasema uamuzi ulichukuliwa ili kuzuia jingo hilo kuwa kitovu cha maambukizi kwasababu ya idadi kubwa ya watu wanaolitembelea.

Bunge la sasa la Uganda lina jumla ya wabunge 529 , ukiondoa wahudumuwa bunge, maafisa wa usalama, waandishi wa habari, na watoaji wa huduma mbalimbali.

Taasisi hiyo ilikuwa na matukio muhimu makuutangu mwezi Mei miongoni mwake ikiwa ni kusomwa kwa bajeti, na Hotubaya hali ya taifaambayo hutolewa na rais.

E4fswBQX0AMyKMJ.jpg

Mamia ambao walihudhuria matukio hayo wametakiwa kufanya vipimo vya corona. Waliopatikana na maambukizi wametakiwa kujitenga wenyewe.

Takriban watu 180 walipatikana na maambukizi ya corona kabla ya matukio haya mawili tofauti . 14 kati yao walikuwa ni wabunge na 10 walikuwa ni wafanyakazi wa bunge
 
Izi taarifa zinazovuma ni za kweli nn....!?
Kuwa M7 katangulia mbele za haki kutokana na changamoto ya upumuaji....
 
Best lakini nchi yoyote ya Kiafrica ambayo ilipata uhuru miaka 60 iliyopita kutokuwa na hospital zenye hadhi kama hiyo tena si moja ni aibu kubwa sana. Tunakwama wapi mpaka tusiwe na chochote cha kujivunia?
Nairobi Hospital ilijengwa kwasababu ya elite people tangu enzi za ukoloni. Kuanzia vifaa, usafi na utendaji kazi wa wafanyakazi ni vigumu wamatumbi kuwa na viwango hivyo.
 
Best lakini nchi yoyote ya Kiafrica ambayo ilipata uhuru miaka 60 iliyopita kutokuwa na hospital zenye hadhi kama hiyo tena si moja ni aibu kubwa sana. Tunakwama wapi mpaka tusiwe na chochote cha kujivunia?
Ninajaribu tu kukuelewesha kuwa vipaumbele vyetu vingekua ni viwango bora vya maisha, kusingekua na nyumba za nyasi na barabara nyingi zingekua na lami.

Hizi hospitali za Wilaya tu unalazwa lakini unaambiwa choo hafanyi kazi. Na inaonekana ni kitu cha kawaida kabisa. Wakati Ulaya choo kisipofanya kazi wodi inafungwa mpaka kitengenezwe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom