COVID-19 yaendelea kuleta kizaazaa: Tanzania yazuia kampuni tatu nyingine za ndege kutoka Kenya kutua nchini

Niliambia nina korona, nikipima tena sehemu nyingine tofauti nikaambia sina ndani siku tatu. Sijawahi kuhumwa.

Unajua nafanya kazi hapa Ningtingale Hospital na Madaktari mabingwa (Consultants) hapa UK mara moja kwa wiki (kujitolea) wenyewe hawajui tiba hata mbunge wangu hajui chochote.

Pia serikali ya UK inabahatisha. Watoto wavae barakoa, wasivae. Mwisho wa siku wakasema ni juu ya kila shule kufanya maamusi yao.

Aisee

Hata mimi sijawai kuhumwa ingawa nilifanyanga maamusi nisifae barakowa
 
Huwa napenda wapigane kabisa, kuonyeshana misuli inakuwa kama onyesho la MR Tanzania, hakuna impact.
Tizama Urusi na USA, tangu wameanza kuonyeshana misuli hadi nuclear zimeoza sasa wanaanza kutengeneza upya.
Kina Nani wapigane mkuu?
Kwani wewe ni mhutu?
 
Kupimana ubavu wakati mwingine ni suna, umesahau ya Kagame na Museveni? Ya Nkurunzinza na Museveni? Ya Iddi Amin na Nyerere? Ya mzee Jomo Kenyatta na Mwalimu Nyerere? ya Kikwete na Kagame?

Acha mtanange uendelee.
Hata Trump na Shi jin pin wa china utunishiana misuli,
 
Kunahitajika sasa win win diplomacy approach.

Kenya wanatuhitaji na sisi tunawahitaji.

Watanzania tusimame na nchi yetu. Kenya haijawahi kuwa rafiki au jirani mzuri kwetu. Hata tulipoamua kupambana na makaburu hawa jamaa walisimama na waliounga mkono makaburu.

Tukae nao kwa akili. Tukae nao mezani tuwekeane terms
Viongozi ndio wanaotuchonganisha!
 
Kunahitajika sasa win win diplomacy approach.

Kenya wanatuhitaji na sisi tunawahitaji.

Watanzania tusimame na nchi yetu. Kenya haijawahi kuwa rafiki au jirani mzuri kwetu. Hata tulipoamua kupambana na makaburu hawa jamaa walisimama na waliounga mkono makaburu.

Tukae nao kwa akili. Tukae nao mezani tuwekeane terms


we mpaka mtu anasema mlima kilimanjaro uko kenya kuna kuweka terms apo? wewe ishi na wakenya utaona walivo ,ingawa sio wote lakini naona wengi wanawaza wao kwanza hakuna cha jirani wala nn, kama mtu anaweza kula ela za kusaidia corona iishe mengine hashindwi
 
Nilipo soma kwamba kati ya viongozi wa magaidi kasikazini mwa Msumbiji jina lake ni Njoroge, nilibaki najiuliza maswali mengi - ingawa walisema aliuwawa au kukamatwa mwaka jana, mwaka huo huo akakamatwa mzungu kutuka Afrika Kusini ambaye alikuwa anawalipa mishahara magaidi wa Msumbiji pamoja na mafunzo ya kijeshi -

Baadae miezi miwili iliyo pita Generali wa jeshi la Marekani anazungumzia jinsi magaidi wa Msumbiji wanavyo jizatiti na silaha nzito na mikakati mipya ya kushambulia eneo nyeti kasikazini mwa Msumbiji lenye utajiri wa mali asili ya gesi na mafuta na baadae watajaribu kusini mwa Tanzania specifically eneo la Mtwara, sasa swali ni: Generali huyo habari hizi anazitoa wapi!

Hilo la kwanza, hilo la kwanza. La pili: Kuna uhusiano gani kati ya mmoja wa Viongozi wa magaidi kuwa
Kenya itakuwa inahusika pakubwa na kinachoendelea Msumbiji
 
we mpaka mtu anasema mlima kilimanjaro uko kenya kuna kuweka terms apo? wewe ishi na wakenya utaona walivo ,ingawa sio wote lakini naona wengi wanawaza wao kwanza hakuna cha jirani wala nn, kama mtu anaweza kula ela za kusaidia corona iishe mengine hashindwi
Ni muhimu sana kuweka terms.
Do and don'ts ni muhimu sana kuanikwa.

Hawa usidhani wanaweza kutoboa kuliko sisi. Walianza kulalamikia sheria zetu za ardhi wakisema ni kikwazo kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa wakipewa kibano kisha wakajulishwa kwenye terms heshima itawakaa sawa
 
1598522241738.png
 
Ni muhimu sana kuweka terms.
Do and don'ts ni muhimu sana kuanikwa.

Hawa usidhani wanaweza kutoboa kuliko sisi. Walianza kulalamikia sheria zetu za ardhi wakisema ni kikwazo kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa wakipewa kibano kisha wakajulishwa kwenye terms heshima itawakaa sawa

inaweza saidia pia ila hawa jamaa sidhan kama ni wafuataji wa sheria hata kidogo
 
Serekale ya jiwe inajaribu kufundisha kifua huku inapumulia mipira hivi tukiwa tunakumbuka simulizi za Idd amino hazielekeielekei kweli.
 
Back
Top Bottom