kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 453
- 418
Leo nimepokea simu kutoka kwa meneja wa kiwanda kimoja hapa jijini Mwanza ambako ndio napeleka samaki zangu baada ya kuvua. Nipo beach ambako ndio gari langu linapakia samaki lakini kwa taarifa nilizopata natakiwa leo niwe nimepeleka mzigo tofauti na leo hawapokei mzigo.
Kwa uhalisia ulivyo siwezi kutoka na mzigo nikafile leo au kesho kiwandani, hii ni hasara tayari. Lakini bado najiuliza maswali kuhusu kufungwa kwa viwanda na hotuba ya Rais jana.
Wakati Rais akielekeza tuendelee kuchapa kazi kumbe sirini serikali hii hii inatoa order ya kufunga kiwanda? Au hili la kufunga viwanda si la Serikali?
Na kama ni la serikali kwa nini tusipate muda walau wa Juma moja ili tunusuru hasara hizi?
Serikali angalieni namna nzuri ya kudeal na hili.
Kwa uhalisia ulivyo siwezi kutoka na mzigo nikafile leo au kesho kiwandani, hii ni hasara tayari. Lakini bado najiuliza maswali kuhusu kufungwa kwa viwanda na hotuba ya Rais jana.
Wakati Rais akielekeza tuendelee kuchapa kazi kumbe sirini serikali hii hii inatoa order ya kufunga kiwanda? Au hili la kufunga viwanda si la Serikali?
Na kama ni la serikali kwa nini tusipate muda walau wa Juma moja ili tunusuru hasara hizi?
Serikali angalieni namna nzuri ya kudeal na hili.