beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Taifa hilo limerekodi vifo 697 vya COVID-19, idadi ambayo imetajwa kuwa kubwa zaidi kuripotiwa ndani ya siku moja tangu kuanza kwa mlipuko.
Aidha, Mamlaka pia zimerekodi maambukizi mapya 24,439 huku 7,446 kati ya visa hivyo vikitokea Mji Mkuu wa Moscow. Ongezeko la maambukizi limetajwa kuchochewa na Kirusi Delta.
======
Russia on Saturday reported 697 coronavirus-related deaths, the most confirmed in a single day since the pandemic began and the fifth day in a row it has set that record.
The government coronavirus taskforce also confirmed 24,439 new coronavirus cases nationwide, the most it has reported since early January. Moscow accounted for 7,446 of those cases. Officials blame the case surge on the infectious Delta variant.
Source: Reuters
Aidha, Mamlaka pia zimerekodi maambukizi mapya 24,439 huku 7,446 kati ya visa hivyo vikitokea Mji Mkuu wa Moscow. Ongezeko la maambukizi limetajwa kuchochewa na Kirusi Delta.
======
Russia on Saturday reported 697 coronavirus-related deaths, the most confirmed in a single day since the pandemic began and the fifth day in a row it has set that record.
The government coronavirus taskforce also confirmed 24,439 new coronavirus cases nationwide, the most it has reported since early January. Moscow accounted for 7,446 of those cases. Officials blame the case surge on the infectious Delta variant.
Source: Reuters