#COVID19 Covid-19: Uganda wakabiliwa na upungufu wa mitungi ya Oxygen, jeshi laanza kuzalisha

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau!

Jana nimefuatilia habari kwenye chombo kimoja hapa TZ kimereport upungufu wa mitungi ya oxygen katika hospital kuu za Uganda kutokana na wimbi kubwa la wagonjwa wa Uviko 19.

Je, sijuhi hapa kwetu tumejiandaaje kuwapa msaada ndugu zetu UG na sisi binafsi kujikinga na wimbi la uviko 19.

======

Ugandan Army Begins Producing Oxygen to Offset Hospital Shortage​

Uganda’s military started producing medical oxygen to bridge supplies in hospitals facing rising cases of Covid-19.

National Enterprises Corp., a unit of the army, has begun output at its Luwero Industries Ltd. unit north of the capital, Kampala, army spokeswoman Flavia Byekwaso said by phone Tuesday, without providing further details.

Four oxygen plants at Mulago Hospital, Uganda’s main referral facility, produce 2,083 liters of oxygen per minute, compared with demand of as much as 70 liters per minute for each patient in critical condition, the Kampala-based Daily Monitor newspaper reported. Mulago has 195 Covid patients in severe to critical condition, it said.

Health Ministry spokesman Emmanuel Ainebyoona declined to comment when asked for details about the supply and demand of medical oxygen in Uganda.

Covid patients have more than doubled at Ugandan health facilities since the end of May to 920 and the country’s test positivity rate is 17.1%, according to the ministry.

Infections in the East African country have climbed 34% since May 31 to 63,099, with 434 having died since the disease was first detected in the country in March 2020.

Source: Bloomberg
 
Wakiambiwa wamtangulize Mungu mbele wanakataa wanaenda kusikiliza ushauri wa chadema kwamba maombi hayaondoi corona.

Hapa duniani Mungu kwanza pia wawe makini na vitu wanavyoletewa kama msaada.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom