Tendulkar222
Member
- Jun 1, 2012
- 33
- 44
Hata Rwanda haina vifoSasa P rais wetu anapambania wapi? Sisi tulianza kuripoti case ya kwanza nyuma ya uganda. Lakini elimu na mwongozo alioutoa Mseven umeifanya Uganda kuwa nchi pekee EA ambayo bado haijapata.mtu aliyekufa kwa covid 19. Hata hivyo maambulizi yanabaki kuwa chini kuliko nchi nyingine za EA.
Sasa je tudharau uwajibikaji wa m7? Ona Rwanda Paul is doing very great na ataanza kuingiza wagen very soon see where we are as a nation number of infected people is increasing by double digits.
Do ypu still think it's ok?