#COVID19 Covid 19 sio janga kubwa la mwisho, tujiandae na janga kubwa lingine - Bill Gates

Ukisoma comments za wadau ...hapo juu inaonesha hii nchi ipo nyuma sana kifikra...
Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kutengeneza virus,tuanzie hapo kwanza.......
Tutaona magonjwa mapya siku hizi kwasababu
@tumeharibu makazi ya wanyama wa porini ambao wanawabeba hao virus mfano popo.huyu jamaa anabeba virusi wa aina nyingi na ambao ni hatari
@kuongezeka kwa joto la dunia.....hii inasababisha kuyeyuka kwa barafu zilizopo kwenye ncha za dunia....inaonekana kuna virusi vilikuwa trapped kwenye hii miamba ..sasa ikitokea binadamu au mnyama yeyote amepita hiyo mitaa..anawachukua na kuwaleta kwetu...shughuli inaanza
Kwahiyo billgates anatoa ushauri mzuri ...kwamba tujiandae ,tuwe na mifumo mizuri ya uendeshaji wa sekta zetu( afya)
 
Jeypm jamaa yangu hebu acha tabia ya kuwaita mabeberu hawa jamaa wakiamua kutumaliza baba ni dakika sifuri.Wanaweza tuma ka drone usiku kakaja kunyuzia virus maeneo ya DODOMA ,CHATU N DAR tukapoteana.

Miaka ya 80 nakumbuka makaburu walileta mitumba South Africa zikiwa zimenyunyiziwa sumu
Watu weusi walikwisha haswa
Wakiamua kutuuwa wanaweza sana maana ndio wanalisha mataifa masikini kwa ujumla
 
Habari wana Kijiji,

Katika pirika pirika za hapa na pale kusoma taarifa za habari, nimekutana na mahojiano aliofanya tajiri wa marekani mnamo tarehe 27 January 2021, tajiri huyo miongoni mwa matajiri wa dunia alipokua akihijiwa na The Cable, Bill Gates.

Katika mahojiano hayo, Bill Gates amesema kua dunia itapambana na milipuko ya majanga makubwa mengine, na kusisitiza Covid 19 halitakua janga la mwisho kubwa kuikumba dunia.

Bill Gates aliendelea na kusisitiza serikali zote duniani zinapaswa kuchukulia maanani zaidi na kujiwekeza zaidi katika system nzuri za afya (Invest more on Healthcare Systems) ili kuepusha vifo vitakavyoweza kuepukika kutokana na sekta za afya kuwa imara, kwani zisipo jiwekeza vizuri katika sekta za afya basi zitapambana na majanga makubwa mengine ya mlipuko.

Gates amesema mataifa yote, zikiwemo nchi za africa, zinakumbwa na vifo vingi sana kuliko vifo vya Covid 19 kutokana na sekta za afya kutokuwa imara.

Amesema (Nanukuu) "Vifo vinavyotokana na kukosekana kwa system nzuri za afya zinasababisha idadi kubwa sana ya vifo kila mwaka, kuliko vifo vinavyotokana na mlipuko wa Covid 19 huko africa. Hivo natumai kila mtu atachukulia maanani katika kujiwekeza zaidi katika system nzuri ya afya."

Tajiri huyo wa marekani amesema kuwa Covid 19 halitakuwa janga la mwisho, hivo serikali zinapaswa kujiandaa na janga lingine mapema kabla halijaripuka.

Amesema (Nanukuu) "Ukweli usiopingika ni kwamba Covid 19 inaweza ikawa sio janga kubwa la mwisho kuikumba dunia. Hatujui janga gani lingine litafatia na itakua lini, kama litakua ni Virusi Vya Corona, mafua, au gonjwa lingine ambalo hatujawahi kuliona au kulisikia."

" Tunachofahamu ni kwamba tunapaswa kujiandaa mapema kabla hatujakumbwa na mlipuko mwingine bila kujiandaa vizuri, wazo la janga lingine linapaswa kuwa ndani ya vichwa vyetu kila kukicha. Hivo tujiandae tusije tukakubwa wakati tumejisahau tena."


Bill Gates aliwahi kutabiri kwamba janga la Covid 19 linaweza kwenda mpaka mnamo mwaka 2022, licha ya hatua stahiki kuchukuliwa na baadhi ya serikali kupambana nalo kwa kuweka lock down pamoja na kutengeneza chanjo dhidi ya Covid 19. Pia ametabiri vifo zaidi ya 200,000 kuongezeka katika kipindi kijacho cha hili janga la Covid 19.


Acheni kuwanukuu waungwana hao nje ya context.

Kwamba uko kwenye hali mbaya leo, kutambua hilo wakati unapambana huku ukajipangia mawazoni kuwa tulicheza fyongo na kwamba ili hali kama hii isije tokea tena tudhanie hali iliyo mbaya zaidi ya hii kutokea. Kuna ubaya gani kwenye hilo?

Kuna ubaya gani kujiwekea benchmarks za juu ili kutotumbukia tena kwenye janga kama hili tena?

Hii inaitwa Murphy's law wakuu. Hakuna kigeni hapo!

Wakuu elimu ni bahari.

😂😂😂😂😂😂😂
 
Ukisoma comments za wadau ...hapo juu inaonesha hii nchi ipo nyuma sana kifikra...
Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kutengeneza virus,tuanzie hapo kwanza.......
Tutaona magonjwa mapya siku hizi kwasababu
@tumeharibu makazi ya wanyama wa porini ambao wanawabeba hao virus mfano popo.huyu jamaa anabeba virusi wa aina nyingi na ambao ni hatari
@kuongezeka kwa joto la dunia.....hii inasababisha kuyeyuka kwa barafu zilizopo kwenye ncha za dunia....inaonekana kuna virusi vilikuwa trapped kwenye hii miamba ..sasa ikitokea binadamu au mnyama yeyote amepita hiyo mitaa..anawachukua na kuwaleta kwetu...shughuli inaanza
Kwahiyo billgates anatoa ushauri mzuri ...kwamba tujiandae ,tuwe na mifumo mizuri ya uendeshaji wa sekta zetu( afya)
Kama nimekuelewa vile
 
Tatizo kubwa la wabongo ni elimu finyu na kutopenda kusoma. Kama mtu umekwenda darasani na unajua lugha za kimataifa haya mambo aliyozungumza siyo kitu cha ajabu na ni suala la muda tu. Unajua kuna duniani aina ya virus ambao tunawafahamu ni wachache tu na wako wengine wengi ambao hatuwafahamu? Unajua kuwa muda wowote wakiweza ku-cross na kuingia kwenye mwili wa binadamu wanaweza kuleta ugonjwa mpya? Unajua kuwa majanga ya maradhi ya mlipuko yamekuwepo toka zamani na yataendelea kuwepo? Unajua kuwa solar system yetu ina maumbo yanazunguka mengi na ambao yanaweza kuleta madhara kwa dunia wakati wowote? Nyie watu shule mlienda kufanya nini? Nyie watu Internet mnaitumiaje? Jengeni tabia ya kusoma!

Mkuu.

Yaani kweli unajaribu ku-reason na hawa maankali?

Hutaambulia kitu zaidi ya kebehi, vijembe na matusi!
 
Why billgate havai barakoa?
Habari wana Kijiji,

Katika pirika pirika za hapa na pale kusoma taarifa za habari, nimekutana na mahojiano aliofanya tajiri wa marekani mnamo tarehe 27 January 2021, tajiri huyo miongoni mwa matajiri wa dunia alipokua akihijiwa na The Cable, Bill Gates.

Katika mahojiano hayo, Bill Gates amesema kua dunia itapambana na milipuko ya majanga makubwa mengine, na kusisitiza Covid 19 halitakua janga la mwisho kubwa kuikumba dunia.

Bill Gates aliendelea na kusisitiza serikali zote duniani zinapaswa kuchukulia maanani zaidi na kujiwekeza zaidi katika system nzuri za afya (Invest more on Healthcare Systems) ili kuepusha vifo vitakavyoweza kuepukika kutokana na sekta za afya kuwa imara, kwani zisipo jiwekeza vizuri katika sekta za afya basi zitapambana na majanga makubwa mengine ya mlipuko.

Gates amesema mataifa yote, zikiwemo nchi za africa, zinakumbwa na vifo vingi sana kuliko vifo vya Covid 19 kutokana na sekta za afya kutokuwa imara.

Amesema (Nanukuu) "Vifo vinavyotokana na kukosekana kwa system nzuri za afya zinasababisha idadi kubwa sana ya vifo kila mwaka, kuliko vifo vinavyotokana na mlipuko wa Covid 19 huko africa. Hivo natumai kila mtu atachukulia maanani katika kujiwekeza zaidi katika system nzuri ya afya."

Tajiri huyo wa marekani amesema kuwa Covid 19 halitakuwa janga la mwisho, hivo serikali zinapaswa kujiandaa na janga lingine mapema kabla halijaripuka.

Amesema (Nanukuu) "Ukweli usiopingika ni kwamba Covid 19 inaweza ikawa sio janga kubwa la mwisho kuikumba dunia. Hatujui janga gani lingine litafatia na itakua lini, kama litakua ni Virusi Vya Corona, mafua, au gonjwa lingine ambalo hatujawahi kuliona au kulisikia."

" Tunachofahamu ni kwamba tunapaswa kujiandaa mapema kabla hatujakumbwa na mlipuko mwingine bila kujiandaa vizuri, wazo la janga lingine linapaswa kuwa ndani ya vichwa vyetu kila kukicha. Hivo tujiandae tusije tukakubwa wakati tumejisahau tena."


Bill Gates aliwahi kutabiri kwamba janga la Covid 19 linaweza kwenda mpaka mnamo mwaka 2022, licha ya hatua stahiki kuchukuliwa na baadhi ya serikali kupambana nalo kwa kuweka lock down pamoja na kutengeneza chanjo dhidi ya Covid 19. Pia ametabiri vifo zaidi ya 200,000 kuongezeka katika kipindi kijacho cha hili janga la Covid 19.

 
Hawa jamaa maisha yetu wamegeuza biashara, unapigwa janga moja matata halafu unaambiwa uuziwe chanjo. Kifupi chagua utoe hela au ufe. Ni sawa na ujambazi wa kutumia bunduki.

Kama shida yao kutuondoa africa yote si watutandike bomu la NUKLIA AU HIROSHIMA tufe haraka, kuliko kututesa hivi kwa kutusukumia mara Ebola mara Covid 19 Pro Max.
Wataharibu mazingira wanataka tuwe mbolea
 
Habari wana Kijiji,

Katika pirika pirika za hapa na pale kusoma taarifa za habari, nimekutana na mahojiano aliofanya tajiri wa marekani mnamo tarehe 27 January 2021, tajiri huyo miongoni mwa matajiri wa dunia alipokua akihijiwa na The Cable, Bill Gates.

Katika mahojiano hayo, Bill Gates amesema kua dunia itapambana na milipuko ya majanga makubwa mengine, na kusisitiza Covid 19 halitakua janga la mwisho kubwa kuikumba dunia.

Bill Gates aliendelea na kusisitiza serikali zote duniani zinapaswa kuchukulia maanani zaidi na kujiwekeza zaidi katika system nzuri za afya (Invest more on Healthcare Systems) ili kuepusha vifo vitakavyoweza kuepukika kutokana na sekta za afya kuwa imara, kwani zisipo jiwekeza vizuri katika sekta za afya basi zitapambana na majanga makubwa mengine ya mlipuko.

Gates amesema mataifa yote, zikiwemo nchi za africa, zinakumbwa na vifo vingi sana kuliko vifo vya Covid 19 kutokana na sekta za afya kutokuwa imara.

Amesema (Nanukuu) "Vifo vinavyotokana na kukosekana kwa system nzuri za afya zinasababisha idadi kubwa sana ya vifo kila mwaka, kuliko vifo vinavyotokana na mlipuko wa Covid 19 huko africa. Hivo natumai kila mtu atachukulia maanani katika kujiwekeza zaidi katika system nzuri ya afya."

Tajiri huyo wa marekani amesema kuwa Covid 19 halitakuwa janga la mwisho, hivo serikali zinapaswa kujiandaa na janga lingine mapema kabla halijaripuka.

Amesema (Nanukuu) "Ukweli usiopingika ni kwamba Covid 19 inaweza ikawa sio janga kubwa la mwisho kuikumba dunia. Hatujui janga gani lingine litafatia na itakua lini, kama litakua ni Virusi Vya Corona, mafua, au gonjwa lingine ambalo hatujawahi kuliona au kulisikia."

" Tunachofahamu ni kwamba tunapaswa kujiandaa mapema kabla hatujakumbwa na mlipuko mwingine bila kujiandaa vizuri, wazo la janga lingine linapaswa kuwa ndani ya vichwa vyetu kila kukicha. Hivo tujiandae tusije tukakubwa wakati tumejisahau tena."


Bill Gates aliwahi kutabiri kwamba janga la Covid 19 linaweza kwenda mpaka mnamo mwaka 2022, licha ya hatua stahiki kuchukuliwa na baadhi ya serikali kupambana nalo kwa kuweka lock down pamoja na kutengeneza chanjo dhidi ya Covid 19. Pia ametabiri vifo zaidi ya 200,000 kuongezeka katika kipindi kijacho cha hili janga la Covid 19.

Huyu pepo ndio anatengeneza haya matatizo duniani alafu anakuja na chanjo zake za ajabu ajabu
 
Jamaa shetani sana huyu, Bill is the worst ever man to live in the world. Huyu ndio anaharibu dunia kupitia chanjo na GMO Foods. Tuwe makini sana na huyu shetani
Uzuri watu washamjua anajificha nyuma ya humanitarian aids,anatengeneza matatizo alafu ana funds chanjo za ajabu ajabu ili atumalize.
Hata hii covid alishaatabiri miaka kadhaa nyuma, kumbe ndie anaepanga na kutengeneza hizi virus.
Huyu ni pepo na lengo lake kuu ni kufanya depopulation duniani
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom