#COVID19 Covid-19: Singapore kusitisha kutoa takwimu za ugonjwa. Serikali yawataka wananchi kuishi nao kama mafua

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,813
4,545
Serikali ya Singapore imetangaza kuwa itaacha kutoa takwimu za visa vya #COVID19 na kwamba muda umefika wa kuishi na ugonjwa huo kama mafua.

Aidha, Serikali hiyo imesema itafuatilia wagonjwa waliozidiwa sana, na pia utoaji wa chanjo na ukaguzi/upimaji kwenye mipaka utaendelea.
===

As countries around the Asia-Pacific region tighten restrictions once again to curb potential breakouts of the Delta coronavirus variant, Singapore has laid out a new vision for life to return to normal.

The roadmap, proposed by three members of Singapore's Covid-19 task force, would scrap lockdowns and mass contact tracing and allow for a return to quarantine-free travel and the resumption of large gatherings. It would even stop counting the daily Covid cases.

The proposal is a radical departure from the so-called "zero transmission" model adopted by several countries and territories -- including rival Asian business hub Hong Kong -- which have so far proved successful at avoiding large outbreaks.

But this "zero transmission" model, which requires stringent, often punishing quarantine measures, will be almost impossible to maintain as new variants spread, and long term is simply not sustainable, the task force members claim. Instead, they say living with Covid can be done.

"The bad news is that Covid-19 may never go away. The good news is that it is possible to live normally with it in our midst," said Singapore's Trade Minister Gan Kim Yong, Finance Minister Lawrence Wong and Health Minister Ong Ye Kung, in an op-ed in the Straits Times last week.

"We can turn the pandemic into something much less threatening, like influenza, hand, foot and mouth disease, or chickenpox, and get on with our lives."

It's a bold plan that could become a template for other countries looking to return to normal life and resume travel and tourism -- and offer hope for frustrated residents eager to get their lives back on track after 18 months of pandemic restrictions.

Chanzo: CNN
 
Kuhesabu wagonjwa wa uviko-19 kila siku ni kujidanganya nafsi. maana wale wanao pimwa ni sehemu ndogo sana ya jamii au wananchi wote. pia nyakati nyingine hivi vipimo vya mwendo kasi mara nyingi vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutoa matokeo yasiyo ya kweli.
 
Limàgufool lingekuwepo sasa hivi ingekuwa linatafuna muhindi wa kuchoma huku likisema hiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom