kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,611
Kwa nilichokishuhudia jana mitaa ya sinza near mapambano... Yaan lounge imejaa Huwezi hata kunyosha mkono na mnapishana Ubavu Ubavu. Yaani watu they interact Utadhani Hakuna corona. Kama basata ilivopiga Marufuku wasanii kuimba na kufanya show.. Why huku kwenye lounge kumesahaulika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app