Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,271
Dr Faustine Ndungulile ambaye ni Naibu Waziri wa Afya ameipongeza na kuishukuru Jf kwa uchambuzi makini na kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Corona .
Hii ni heshima kubwa sana kwa Wanachama wote wa JF
Wito: Tuendelee kuelimisha wananchi wenzetu namna bora ya kujikinga na Corona .
Mungu ibariki JF
======
UELIMISHAJI UMMA KUHUSU #CORONAVIRUS: NAIBU WAZIRI AIPONGEZA JAMIIFORUMS
Naibu Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dkt. Faustine Ndugulile kupitia Instagram ameandika “Nawapongeza sana JamiiForums kwa kutoa elimu sahihi kwa Umma juu ya Ugonjwa wa Corona kupitia Mitandao ya Kijamii”.
Amesema, “Kuna upotoshaji mkubwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu ugonjwa wa Corona (Covid19). Hali inayopelekea kujenga hofu na unyanyapaa kuhusu ugonjwa huu katika jamii.”
#JFCOVID19_Updates