#COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

Serikali huwa haithibitishi kitu kwa maneno, vile vile Serikali zinazojitambua huwa haziombi, bali huwa zinajadiliana.

Nope! Suala ni je chanjo ni salama? Watengenezaji wanasema ni salama.
Wacha1 na wengine wanasema hawana uhakika.
Mwenye dhamana ya kuhakiki ni yule anayehitaji chanjo. Wahitaji ndio wanaohakiki si Watengenezaji ambao tayari wamehakiki kwa taratibu R&D na mamlaka za wahitaji.Hakuna majadiliano, hili si suala la kisiasa

(Ref Sovereign State) Nikukumbushe tu Mwaka jana Serikali ya Tanzania ilifadhili uchaguzi wake kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru mambo ya kukinga bakuli au umatonya futilia mbali.

Hili linahusiana vipi na chanjo ya Korona?
Kuhusu dawa alizoleta Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi kutoka Madagascar, walisema wanafanya utafiti kama ile dawa ilikuwa inafaa, ulichoona ni samples tu. Wacha uongo, kitu cha kufanya ni kuomba mrejesho.
OK !
Kuhusu Nyungu, Babu zetu walizitumia toka enzi na enzi na itaendelea kuwepo, hiyo haina mjadala.
Yes hakuna tabu, usalama wake upoje?
Huwezi kuhoji usalama wa vaccine wakati hutuelezi usalama wa nyungu. Teh teh
Dawa zote ambazo zinaruhusiwa nani anazifanyia uchunguzi? Tanzania ni nchi usifikirie ni jimbo la taifa lolote lile.
Hakuna tatizo, vaccine ifanyiwe uchunguzi. Je tuna vifaa vya kazi hiyo?
Tunaweza kutafuta genome, tukafanya gene sequencing na kuweza kufanya analysis?
SA wapo mbele kwa utaalamu upi?
Wamefanya gene sequencing na kupata hii ya SA, taarifa zao zinatumiwa na mamlaka zote duniani katika kutafiti na kukabiliana na SA strain. Je, tunaweza ku-isolate protein na kuifanyia gene sequencing?
Hii haraka haraka mnayokimbilia, kuna nini kwenye hiyo chanjo? Twambie kama unafahamu.
Hakuna haraka, hoja ni kuwa kama kuna options za Maombi, Sala na nyungu kwanini vaccine isiongezwe kama option na iwe hiari

Note: Hili suala la vaccine liemeletwa na Mlenge. Kwanza ali 'cast doubt katika vaccine kwa kusifia nyungu

Akajibiwa kwa hoja na si viroja. Usiwe na jazba ndio ukubwa wa hili jukwaa. Ukija uvae kofia watu hawaangalii ukubwa wa fuvu au mayowee! Teh teh teh alumiwe Mlenge strategy ilikuwa tenge!
 
ORIGINAL in Spanish: Un brote en una residencia de Los Barrios provoca 46 muertes por coronavirus

TRANSLATION: Web Translator
"Unfortunately, the residence Nuestra Señora del Rosario yesterday added 46 deaths by Covid-19 among its users for an outbreak recorded in January,according to data provided by the Andalusian Health Service (SAS). At the beginning of the year, residents and workers were vaccinated with the first dose of Pfizer,although the inoculation of the second dose has had to be interrupted given the incidence of the pandemic." (Excerpt from the Automatic Translation)

VIDEO (elsewhere):
 
Nope! Suala ni je chanjo ni salama? Watengenezaji wanasema ni salama.
Wacha1 na wengine wanasema hawana uhakika.
Mwenye dhamana ya kuhakiki ni yule anayehitaji chanjo. Wahitaji ndio wanaohakiki si Watengenezaji ambao tayari wamehakiki kwa taratibu R&D na mamlaka za wahitaji.Hakuna majadiliano, hili si suala la kisiasa
Wapi nimesema sina uhakika?

Hili linahusiana vipi na chanjo ya Korona?

OK !

Yes hakuna tabu, usalama wake upoje?
Huwezi kuhoji usalama wa vaccine wakati hutuelezi usalama wa nyungu. Teh teh
Usalama wa nyungu unahusiana vipi na Serikali ya Tanzania kuhoji usalama wa Covid-19 vaccine?

Hakuna tatizo, vaccine ifanyiwe uchunguzi. Je tuna vifaa vya kazi hiyo?
Tunaweza kutafuta genome, tukafanya gene sequencing na kuweza kufanya analysis?

Wamefanya gene sequencing na kupata hii ya SA, taarifa zao zinatumiwa na mamlaka zote duniani katika kutafiti na kukabiliana na SA strain. Je, tunaweza ku-isolate protein na kuifanyia gene sequencing?
Usitishike na hilo jina la genome etc., Tanzania tuna wataalam wengi tu ambao wamebobea kwenye nyanja mbali mbali. Tanzania kumenoga usifikirie ile Bongo uliyoiacha.

Hakuna haraka, hoja ni kuwa kama kuna options za Maombi, Sala na nyungu kwanini vaccine isiongezwe kama option na iwe hiari

Note: Hili suala la vaccine liemeletwa na Mlenge. Kwanza ali 'cast doubt katika vaccine kwa kusifia nyungu

Akajibiwa kwa hoja na si viroja. Usiwe na jazba ndio ukubwa wa hili jukwaa. Ukija uvae kofia watu hawaangalii ukubwa wa fuvu au mayowee! Teh teh teh alumiwe Mlenge strategy ilikuwa tenge!
Unaweza kuweka Ushahidi kwamba Vaccine ya Covid-19 imekataliwa Tanzania?

BTW Ukubwa/udogo si hoja facts ndizo zinazotawala. Majungu na mipasho haina nafasi tumewaachia wale ambao maisha yamewashinda, kila uchwao ni kueneza majungu na fitna kufikiria Tanzania ya leo ni ile ya jana waliyoiacha miaka ya nyuma au kufikiria Tanzania ni mali yao.
 
Bajaji_C.jpg
Dua+Nyungu=Corona Chali.
Namba Moja Oyeee.

Photo taken by truly yours circa September 2020. (C) 2020 - 2021 by Mlenge. All righs reserved.
 

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Dawa (NIMR), Profesa Yunus Mgaya amesema Tanzania haina haja ya kukimbilia chanjo na badala yake kuwataka kuwa na subira kwa kuwa ili utafiti wa chanjo ukamilike lazima upitie hatua nne ambazo zinaweza kuchukua hata miaka 10...

“Cha ajabu chanjo hii haikuvuka hata hatua ya pili ikapelekwa sokoni hali inayoleta hofu kubwa kwa watumiaji..."
 

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Dawa (NIMR), Profesa Yunus Mgaya amesema Tanzania haina haja ya kukimbilia chanjo na badala yake kuwataka kuwa na subira kwa kuwa ili utafiti wa chanjo ukamilike lazima upitie hatua nne ambazo zinaweza kuchukua hata miaka 10...

“Cha ajabu chanjo hii haikuvuka hata hatua ya pili ikapelekwa sokoni hali inayoleta hofu kubwa kwa watumiaji..."
Mkubwa, uliza watu wenye ufahamu kuhusu hili. Prof Mgaya aliposema hayo alijua atawapata na wapo watakaobeba tu.

Tumeeleza mara nyingi sana kuwa hatua zote za majaribio zilikamilika kwa Clinical trial phases.
Kuna kitu kinafanyika baada ya chanjo kutumika kubaini longterm effect kama zipo au la hicho hufanyika hata miaka 7-20 kwani inachukua muda kubaini matokeo halisi.

Mamlaka zote za dawa duniani zimepitia hatua hizo kabla ya kukubali kutumika.
Huko Ulaya kuna ''vita' ya kugombea chanjo na mamilioni ya watu duniani kote wanachanjwa. Ni wajinga hao?

Kwa wasioelewa R&D hasa za madawa , chanjo n.k. Prof Mgaya ambaye ni mtaalam wa Chemistry amewapata

Tunajua ! muhimu ni kuwa Prof wa Tanzania anajua zaidi ya watalaam wa WHO, na mashirika na mamlaka zingine duniani? Hao NIMR wamefanya nini cha maana katika ugunduzi wa chanjo! teh teh teh au ndio dawa lishe my foot. Mashine wanazotumia zinatoka kwa Maprofesa wa duniani, teh teh

Ni hivi, watu wa maombi na Sala wameruhusiwa kama wale wa Nyungu.
Ni hiari kufanya maombi sala na nyumngu. Chanjo nayo iwepo na iwe hiari tatizo ni nini?

Mbona hakuna concern ya nyungu ambazo kila nyumba ina formula yake?

Muulize Prof dawa zake zilichukua miaka mingapi kutafiti? Zinatumika wapi duniani?
Zimekuwa published wapi na kufanyiwa ''peer review '
 
Wapi nimesema sina uhakika?
Soma hii ifuatayo kama si shaka sijui ni nini
Usalama wa nyungu unahusiana vipi na Serikali ya Tanzania kuhoji usalama wa Covid-19 vaccine?
Ukihoji usalama wa vaccine , utaulizwa ueleze wa nyungu pia teh teh
'When you live in a glass house don't throw stones' teh teh teh
Usitishike na hilo jina la genome etc., Tanzania tuna wataalam wengi tu ambao wamebobea kwenye nyanja mbali mbali. Tanzania kumenoga usifikirie ile Bongo uliyoiacha.
Nimekuuliza una mashine za gene sequencing? Tunaweza ku isolate genome?
Hilo ndilo swali, sijakuuliza wataalam. Huwa mnafeli mitihani kwa kujibu msichoulizwa. Teh teh
Unaweza kuweka Ushahidi kwamba Vaccine ya Covid-19 imekataliwa Tanzania?
Nani kasema hilo? onyesha
Unaweka maneno yako na kusema fulani kasema. Unajenga narratives fulani, ili kutisha watu teh teh teh
Huo ni ushahidi wa kuishiwa hoja teh teh teh. Strategy ina buma, oh my... teh teh teh

Jibu hoja kwa hoja, kabiliana na hoja kwa hoja. Hiyo strategy wa kutishia watu ni archaic and DOA halafu inaua the initial strategy! know what I mean
BTW Ukubwa/udogo si hoja facts ndizo zinazotawala. Majungu na mipasho haina nafasi tumewaachia wale ambao maisha yamewashinda
Usijali hao walioshindwa maisha, hawajaja kwako kuomba chakula au malazi. Wewe jali kazi yako ndio inakupa siku na kula yako, zamani tukisema mind your own business
, kila uchwao ni kueneza majungu na fitna kufikiria Tanzania ya leo ni ile ya jana waliyoiacha miaka ya nyuma au kufikiria Tanzania ni mali yao.
Haya yanatoka wapi?
Hoja ni kuwa kama maombi, sala na nyungu zipo kwa watu na kwa hiari, kwanini chanjo isiwepo na kwa hiari?
 
Soma hii ifuatayo kama si shaka sijui ni nini

Ukihoji usalama wa vaccine , utaulizwa ueleze wa nyungu pia teh teh
'When you live in a glass house don't throw stones' teh teh teh

Nimekuuliza una mashine za gene sequencing? Tunaweza ku isolate genome?
Hilo ndilo swali, sijakuuliza wataalam. Huwa mnafeli mitihani kwa kujibu msichoulizwa. Teh teh

Nani kasema hilo? onyesha
Unaweka maneno yako na kusema fulani kasema. Unajenga narratives fulani, ili kutisha watu teh teh teh
Huo ni ushahidi wa kuishiwa hoja teh teh teh. Strategy ina buma, oh my... teh teh teh

Jibu hoja kwa hoja, kabiliana na hoja kwa hoja. Hiyo strategy wa kutishia watu ni archaic and DOA halafu inaua the initial strategy! know what I mean

Usijali hao walioshindwa maisha, hawajaja kwako kuomba chakula au malazi. Wewe jali kazi yako ndio inakupa siku na kula yako, zamani tukisema mind your own business

Haya yanatoka wapi?
Hoja ni kuwa kama maombi, sala na nyungu zipo kwa watu na kwa hiari, kwanini chanjo isiwepo na kwa hiari?
Majibu yako yanafurahisha sana. Muda ndio jibu sahihi hizo chanjo utakuja kulia mwenyewe na kukiri.
BTW umeshadungwa hiyo chanjo?
 
Majibu yako yanafurahisha sana. Muda ndio jibu sahihi hizo chanjo utakuja kulia mwenyewe na kukiri.
BTW umeshadungwa hiyo chanjo?
Hata siku moja hakuna kujuta, lakini yapo majuto ya kutokuwa na vaccine.
Huko Ulaya , Marekani na duniani kwingine watu wanapigana vikumbo vya vaccine!

Well, hapa Mjasani ni karibu na Mombasa na wakati ukifika ntavuka kwenda kudungwa, no question about that

Kuna taaluma nyingi sana duniani. Kazi ya spinning ni pro . Wenzetu kila kitu ni elimu
Huwezi kutumbukiza kitu bila kujua unafanya spinning gani na kwa nani, lazima usome audience

Ukiokota vitu mitandaoni au hoja reja reja haisaidii hasa katika spinning teh teh teh

Mumeleta hoja za nyungu na vaccine halafu humuwezi kuzitete zinawalipukia usoni.

Ukizungumzia vaccine huwezi kukwepa nyungu teh teh teh.
kama Maombi, sala na nyungu ni ruksa, vaccine iwe option. vyote ni hiari na kila mmoja wetu ana haki na hiari
 
Hata siku moja hakuna kujuta, lakini yapo majuto ya kutokuwa na vaccine.
Huko Ulaya , Marekani na duniani kwingine watu wanapigana vikumbo vya vaccine!

Well, hapa Mjasani ni karibu na Mombasa na wakati ukifika ntavuka kwenda kudungwa, no question about that

Kuna taaluma nyingi sana duniani. Kazi ya spinning ni pro . Wenzetu kila kitu ni elimu
Huwezi kutumbukiza kitu bila kujua unafanya spinning gani na kwa nani, lazima usome audience

Ukiokota vitu mitandaoni au hoja reja reja haisaidii hasa katika spinning teh teh teh

Mumeleta hoja za nyungu na vaccine halafu humuwezi kuzitete zinawalipukia usoni.

Ukizungumzia vaccine huwezi kukwepa nyungu teh teh teh.
kama Maombi, sala na nyungu ni ruksa, vaccine iwe option. vyote ni hiari na kila mmoja wetu ana haki na hiari
Wajinga ndio wanapigana vikumbo.
 
Wajinga ndio wanapigana vikumbo.
Ahaaa OK!
Hao wanaotengeneza mashine za kupimia Corona ndio wanapigana vikumbo vya chanjo. Si ulaya ni duniani kote

Time will tell, just remember spinning ni profession . Angalia vumbi mliloleta linavyowatimkia usoni! teh teh teh
 
Wakuu mbona mumenisusa na kuniacha mkiwa? Kulikoni! Nijulieni hali zenu tafadhali

Mlenge huko nyuma niliwahi kukueleza kuhusu moral compass na Moral decay

Moral compass ni uwezo wa mtu kuamua kilicho sahihi au la kwa tafakuri na kuchukua maamuzi sahihi

Moral decay ni upotezaji wa maadili ya kiroho.

Wacha1 uliwahi kueleza kuhusu COVIDOL na NIMRCAF. Hizi dawa zinatumika na makundi gani ya jamii na kwa wakati gani?

Mlenge pale MNH na Mloganzila kuna mashine za kufukiza a.k.a nyungu kubwa zimetengenezwa.
Hivi hizi ni kwa ajili ya kinga (vaccine) au ni kwa kutoa utibabu? I mean matumizi yake yapoje.

Nina wa-miss wakuu , njooni tubadilishane mawazo .

Ahsanteni
 
Wakuu mbona mumenisusa na kuniacha mkiwa? Kulikoni! Nijulieni hali zenu tafadhali
Nina wa-miss wakuu , njooni tubadilishane mawazo
Mkuu Nguruvi3, ziko post sizisomi kwani nimeziweka kwenye ignore list. Kwa bahati mbaya mimi sikukanyaga milango ya shule ingawa kwa hii internet ni utundu wangu tu unaniwezesha kuitumia.

Hii thread ilianzishwa na msomi na huku kwetu bongo hawa wasomi wetu nawavulia kofia. Nasikia ndani ya hospitali zetu zote kubwa yamejengwa mabanda ya kupigia nyungu! Nawatakia heri wapiga nyungu popote mlipo nchini.

kupiga nyungu (2).jpg

Napanga kuvuka mpaka kinyemela niingie hapo jirani Kenya nipate chanjo ya Covid-19 kama itawezekana ingawa sijui kama nitafanikiwa. Hata hivyo uhusiano kati ya hewa ya oxygen na nyungu bado unanipa tatizo kidogo.

Endelea tu ndugu yangu, angalau michango yako naisoma. Naona serikali ya wasomi inaionea wivu whatsapp kwa nini imetuwezesha hata sisi kuwapigia simu ndugu zetu huko ughaibuni...from nyungu to whatsapp, kweli!

mask.TZ.style.jpg
 
Nilikuwa bado nasoma tetesi na majungu ya JF ati rais JPM yupo kwenye ventilator Nairobi? JF imekuwa kituko badala ya mijadala muhimu kuendeleza uwezo wa Watanzania ni kupigana vijembe ambavyo havina tija. Sio mara ya kwanza kwa JPM kuzushiwa yupo mahututi. Zito kabwe alifanya na sasa mshiriki wake mkuu Tundu lisu amerudia yale yale, Je wanafaidikaje?

OK hata kama ni kweli kwa nini iwe issue? Kwani akiondoka yeye ndio Watanzania wengi watapenda rais ambaye anawajali wenye nacho peke yao? Wale waliokuwa wanaiba pesa za walipa kodi bila kunawa mikono wajiandae hatuwezi kukubali ujinga wa kuwafanya walipa kodi wa nchi hii kuwa watumwa kwenye nchi yao.
 
Ahaaa OK!
Hao wanaotengeneza mashine za kupimia Corona ndio wanapigana vikumbo vya chanjo. Si ulaya ni duniani kote

Time will tell, just remember spinning ni profession . Angalia vumbi mliloleta linavyowatimkia usoni! teh teh teh
Hakuna anayefahamu hatma ya Covid-19, muda ndio utaongea. Walisema Afrika watu watakuwa wanaokota maiti barabarani lakini hilo halijatokea. Na kuna watu walimwonyesha Mtanzania moja aliyefariki karibu na mahakama kuu pale karibu na feri (Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi) watu wakafikiri ndio mambo yameanza. Tuvute subira hakuna aliye 100% nini kitatokea leo au kesho.

NB Nchi za magharibi wamejikopesha pesa ambazo hawawezi kuzilipa leo wala kesho, wanahaha na kuwatafuta walipaji.
 
Hii thread ilianzishwa na msomi na huku kwetu bongo hawa wasomi wetu nawavulia kofia.
Kama Profesa mmoja anayehoji kwanini vaccine imechukua muda mfupi bila kujua SARS ilileta changamoto gani katika vaccine. Hii ya Corona imeanza kutengenezwa miaka 10 iliyopita kwa mtazamo wa SARS.
Profesa hana habari. Wakati anahoji vaccine yeye ametengeneza mtindi na togwa kwa wiki chache bila kuwa na clinical trial wala peer review. Kumbe Togwa linanywewa na walalahoi walalahai wanatafuta mbadala kwa kusafiri
Nasikia ndani ya hospitali zetu zote kubwa yamejengwa mabanda ya kupigia nyungu! Nawatakia heri wapiga nyungu popote mlipo nchini.!!
Yeah yapo na yanapendeza kweli. Nisichojua watumiaji ni watu wa aina gani? Mbona wengine hawayatumii

Tumeambiwa hayo mabanda ni hiari kuyatumia, tukiuliza kwanini vaccine isiwe hiari tunaambiwa hadi ithibitishwe ubora wake. Tukiuliza mabanda yamethibitishwa na nani tunaambiwa tumekosa uzalendo.
Kuna ''wazalendo'' wanaoyatumia halafu wapo 'Wazamwendo'' hawa huchukua mwendo kutafuta tiba kwingine
Napanga kuvuka mpaka kinyemela niingie hapo jirani Kenya nipate chanjo ya Covid-19 kama itawezekana ingawa sijui kama nitafanikiwa.
Hapa Mjasani Muheza tuna mahusiano mazuri na wenzetu wa Mombasa, tuombe Mola ajalie chanjo ifike Pwani.
Hata hivyo uhusiano kati ya hewa ya oxygen na nyungu bado unanipa tatizo kidogo.
Kwa elimu yangu siwezi kukusaidia, labda 'Nyunguer' na watengenezaji wa COVIDOL na NIMRCAF wana maelezo
Endelea tu ndugu yangu, angalau michango yako naisoma.
Mkuu , upotoshaji unatia karaha. Yaani wapo wanodhani hili ni Taifa la mazombie.
Fikiri kuwa watu hawataki vaccine lakini wanachukua dollar 100 kutumia kipimo cha Corona kilichotengenezwa na wale waliotengeneza vaccine. Halafu watu waotilia shaka vaccine waki shutdown simu, laptop n.k. wanauliza wake zao '' Mama Havijawa hivi Maliwaza kapata chanjo ya surua leo''
Wakati tunasoma std 6 pale Kiwanda zama hizo tukisema '' it defies all logic''
Naona serikali ya wasomi inaionea wivu whatsapp kwa nini imetuwezesha hata sisi kuwapigia simu ndugu zetu huko ughaibuni...from nyungu to whatsapp, kweli!
Hili nitalisema. Kama kuna vitu vya ajabu sana ni tamko hili. Wenye whatsapp hawana habari, wanaileta dunia pamoja kimawasiliano wakitafuta vyanzo vyao. Tanzania ni moja ya nchi zenye gharama kubwa sana ya kupiga simu kutoka nje ya nchi. Imefika mahali kadi nyingi za long-distance Tanzania haipo.

Kupiga simu Uganda na Kenya ni rahisi kuliko kupiga Tanzania tukiwa ukanda mmoja.

Wananchi wanalipia Bundle ili data zifanye kazi watumie whatsapp. Pesa hizo zinakwenda katika kampuni za simu za Tanzania. Sasa Mheshimiwa anaposema wanataka kudhibiti matumizi ni roho za kimasikini sana
Yaani anaona watu masikini kama Tanzania wanaoishi kwa dola 1 wanastahili anachokitaka kuongeza mapato

Huyu Mh badala ya kufikiria namna ya kuwakamua Watanzania masikini ili kupata mapato, angeshauri vikao vya bunge vipunguzwe kwa siku 10 tu kwa kila mkutano serikali ingepata pesa zaidi ya hizo za whatsapp

Mheshimiwa ajue kwamba simu anayotumia ni bure inalipiwa na Watanzania, huo mteremko si kila mtu anao

Mawasiliano si luxury bali kichocheo cha maendeleo kila nyanja.

Wazo hili ni la ajabu sana. Hivi lini tutaacha kuwa 'cheko la dunia'?
 
Nilikuwa bado nasoma tetesi na majungu ya JF ati rais JPM yupo kwenye ventilator Nairobi?
Nimepitia uzi huu sijaona lolote kuhusu hayo usemayo. Ni jukwaa gani yalipo?
JF imekuwa kituko badala ya mijadala muhimu kuendeleza uwezo wa Watanzania ni kupigana vijembe ambavyo havina tija. Sio mara ya kwanza kwa JPM kuzushiwa yupo mahututi.
Hizi habari za Wakenya bwana! wao ndio wanasambaza kuhusu ugeni Nairobi Hospital
Zito kabwe alifanya na sasa mshiriki wake mkuu Tundu lisu amerudia yale yale, Je wanafaidikaje?
Kwani ni aje mkuu? Hii habari ni kweli? Wanayosema yana ukweli au ni uzushi tu!
OK hata kama ni kweli kwa nini iwe issue?
Mkuu ni issue , kiongozi ni mtu muhimu sana. Kwani kuna taarifa zozote rasmi za serikali?
Kwani akiondoka yeye ndio Watanzania wengi watapenda rais ambaye anawajali wenye nacho peke yao?
Mkuu sijui kwakweli
Wale waliokuwa wanaiba pesa za walipa kodi bila kunawa mikono wajiandae hatuwezi kukubali ujinga wa kuwafanya walipa kodi wa nchi hii kuwa watumwa kwenye nchi yao.
Mkuu huku tumefikaje?
 
Guys do you Know why I am back? That's right. Tell me what is going on in Tanzania? Is the president still in the country?
 
Back
Top Bottom