Maelezo yangu yalilenga kukuonyesha kuwa sayansi ipo open and vulnerable kwa abuseNilichomaanisha si Matumizi Mabaya ya Sayansi, bali ni Udanganyifu unaoweza kuwa ndani ya Sayansi.
Nikuulize kwani ni sayansi pekee ambayo hatuna blue print?Binafsi ninatambua wazi kuwa Hii Sayansi ya leo INA MIPAKA ya karibu sana, haiko perfect 100%. Bahati mbaya Utambuzi ulio nje ya mipaka yake umepewa laana na kukaririshwa watu na kuuimba kama barbaric way, ujinga, ushirikina, uchawi, nk...
Kinachouma zaidi sisi wenyewe kutumika kujilaani wenyewe kwa kujivunia ujuzi wa Sayansi za majuu ambazo hatuna hata Blue print zao.
Je ni sayansi pekee?Nikuhakikishie tu, Upo Ujuzi na Maarifa nyeti sana beyond hii Sayansi ya leo. Na uwezekano mkubwa zaidi, hao wanaotuletea hii yenye mipaka wanatumia juzi hizo beyond today's science, they won't tell you.
Kwanini tunadhani Lab ni limited !Kosa ni kutumia hizi Limited Scientific Laboratories, ku-asses science beyond today's science findings... Ni kutwanga Maji. Ni kujitia kitanzi.
No thank you.Tuwaruhusu waje, ila waje wakiwa na uthibitisho wa chanjo ya COVID.
Do you approve the above message?
Sayansi haina uongo. Hii internet inayotuunganisha tukiwa sehemu tusizojuana ni sayansi si uongoHukunielewa Mkuu, nilichomaanisha ni Uongo/Udanganyifu wa Sayansi, Si matumizi mabaya ya Sayansi.
Yes haina majibu yote. Haiwezi kukubali maarifa mengine yasiyo na ithibati.Hii bookish science ya Leo haina majibu yote, still haiwezi kukubali juzi na maarifa mengine nje ya kanuni zake. KWANINI?
Yes na sayansi haijawahi kukamilika ni 'work in progress''Lab ni limited kwasababu today's science is limited. Sayansi ya Leo haina majibu ya kila kitu...
OK kama tunakubaliana hilo tuachie hapo. Kuna mengi hatuna blue print lakini tunayakubaliSi Sayansi pekee ambayo hatuna blue print nayo, hakika. Ndio maana shaka yetu i juu ya kila kitu, na mwishowe kabisa tunaona haja ya Reforms.
Cheche za reforms za kijinga hazitusaidii. Tulijaribu kwenda kununua dawa ya Covid Madagascar.Tunachojiuliza HAKIKA yenu inatoka wapi?????? Kiasi cha mtu mpaka kutamka kwamba "Tunataka Chanjo..." Hii hakika inatoka wapi? Kiasi cha kubeza aina youote ya cheche za reforms na kuzidunisha kabisa, Wapi wenzetu mnatoa Hakika yenu?
Yapo maarifa, yawekwe hadharani.Nikuhakikishie tu, Yapo Maarifa mengi, makubwacna bora zaidi nje ya haya sayansi ya leo. Tufungue vifungo vyetu tupate kuelea katika bahari kubwa ya maarifa. Sayansi ya Imejaa HILA na GHIRIBA.
Third-World status yao ni kwa ajili ya kugema rasilmali toka nchi za Magharibi, na kufaudu upendeleo wanaopewa nchi za Dunia ya Tatu toka taasisi za kifedha za kimataifa. India inatengeneza chanjo yake yenyewe ya korona. Ni space-faring nation. Ni Nuclear-armed nation. How much more first-world can a nation be?Kuwaruhusu waje kunafungua njia ya kuwa na certificates fake. India ni third world , mind you!
Hapana! chanjo wanayotengeneza ni AstraZeneca ambayo si 'intellectual property ' yao.Third-World status yao ni kwa ajili ya kugema rasilmali toka nchi za Magharibi, na kufaudu upendeleo wanaopewa nchi za Dunia ya Tatu toka taasisi za kifedha za kimataifa. India inatengeneza chanjo yake yenyewe ya korona. Ni space-faring nation. Ni Nuclear-armed nation. How much more first-world can a nation be?
Iinaonekana hauamini tu kwamba chanjo+(mask+testing wanavyokuwa subjected wasafiri wa kimataifa) inaweza kuwa na manufaa ya afya ya jamii.
Ni kweli wanatengeza AstraZeneca under licence. Lakini pia wanayo chanjo ya Covaxin ambayo ni ya kwao wenyewe. Angalia:Hapana! chanjo wanayotengeneza ni AstraZeneca ambayo si 'intellectual property ' yao.
Leo wameomba wapewe materials zaidi ya kutengeneza
Kinachotokea India ni capacity yao ya kutengeneza ni kubwa na ni cheap kwahiyo kuna 'sourcing' ili kuweza kupunguza gharama za chanjo zinazokwenda nchi masikini.
Kuhusu sisi kuwa uchumi wa kati huwa ninatatizwa na uwezekano wa mawili yanayokinzana:Kuhusu first world, hata sisi ni uchumi wa kati lakini je, tukilanganisha na zenye uchumi wa kati tupo?
That is one broad brush to use against a nation. Tukiipeleka hoja hiyo mbele zaidi, ina maana hata nchi za Kiafrika, ambazo ni masikini zaidi, tutasema nazo zinafanya usanii tu kwenye masuala haya ya chanjo ya korona. Kwa hiyo we should not take them vaccination claims seriously.India ina watu wengi na moja ya sifa yao ni 'forgery'
Ukiamini wana satellite na Nuke basi uamini kila kitu chao utakuwa doomed
Hivi umeona umasikini ulivyotamalaki India? Usione hao wa Dar, nenda Mumbai utashangaa! Abject poverty
China walitengeneza yao , just to realize haifanyi kazi. Wamekubali kuiacha. Hii ya India sijui vipi maana wanaomba materials kutoka US na EuropeNi kweli wanatengeza AstraZeneca under licence. Lakini pia wanayo chanjo ya Covaxin ambayo ni ya kwao wenyewe. Angalia:
COVAXIN - India's First Indigenous Covid-19 Vaccine | Bharat Biotech
COVAXINÂ, India's first indigenous COVID vaccine is developed by the corona vaccine manufacturer Bharat Biotech. It is an inactivated COVID-19 vaccine and human trials are about to commence across India.www.bharatbiotech.com
What do we know about India’s Covaxin vaccine?
India has rapidly approved and rolled out Covaxin, its own covid-19 vaccine. Kamala Thiagarajan examines what we know so far. Covaxin was developed by Indian pharmaceutical company Bharat Biotech in collaboration with the Indian Council of Medical Research, a government funded biomedical...www.bmj.com
OK, tuna choice kama ile ya Madagascar ! iliyoishia na aibu tu . Tukaonekana hayawani na kuwa cheko la duniaThat is one broad brush to use against a nation. Tukiipeleka hoja hiyo mbele zaidi, ina maana hata nchi za Kiafrika, ambazo ni masikini zaidi, tutasema nazo zinafanya usanii tu kwenye masuala haya ya chanjo ya korona. Kwa hiyo we should not take them vaccination claims seriously.
I can't trust any Cert of vaccination from India. Indians are crooks like our' Nigerian broda'So, still... we either still allow Indians to arrive as we allow anyone else, or, we can force them to come here already vaccinated.
OK, but here is the fact , B.1.617 is ravaging India, the health care system is near collapseLet us give them the benefit of doubt kwamba watachanja kweli. Or for the purpose of discussion, kwamba watachanja kweli.
Kumbe ni simpo tu ufumbuzi ni kuvaa mask! Kwa nini Wahindi hawavai mask ili wasiambukizwe? Na wao kwani wameacha kuiita COVID?Tukaambiwa tusipovaa mask hakuna corona, yaani kama kuna eneo watu hawana mask basi hakuna corona
Huu ujinga tukaumbatia badala ya kukumbatia tahadhari, tukalipa gharama kubwa
Tukaambiwa tusiseme COVID tuite changamoto ya kupumua ili kuficha ukweli, haikutusaidia tukazika
Ni hivi kuna mshamba alisema '' Hakuna corona kwasababu watu hawavai mask''Kumbe ni simpo tu ufumbuzi ni kuvaa mask! Kwa nini Wahindi hawavai mask ili wasiambukizwe? Na wao kwani wameacha kuiita COVID?
Kama huamini cheti cha India, would you distrust their vaccine too?
Safari ya kumkomboa Mwafrika aelewe kuwa majani ya ng'ombe hayatibu Virus unless yatafitiweMlenge
All is good this side, tumemaliza msiba na safari yetu bado inaendelea kumkomboa Mwafrika katika koti kuu kuu ambalo wazungu wamelivaa na kuligubika bara letu.
Tumetoa angalizo kuhusu B.1617. Kama kawaida Wapambe wakatumbia eti '' Usitishe watu''.Hii variant ya India naona inapukutisha vibaya huko. Tuombe isifike huku kwetu!