#COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

Hakuna anayefahamu hatma ya Covid-19, muda ndio utaongea.
Nadhani muda unaongea sasa, leo wewe ndiye wa kusema haya!
Walisema Afrika watu watakuwa wanaokota maiti barabarani lakini hilo halijatokea.
Nani anajua nini kinatokea Africa? Hili bara hakuna takwimu na maisha ya watu ah sijui kama yanathaminiwa hivyo
Na kuna watu walimwonyesha Mtanzania moja aliyefariki karibu na mahakama kuu pale karibu na feri (Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi) watu wakafikiri ndio mambo yameanza.
Hadi leo unasubiri yaanze, kwa mara ya ngapi?
Tuvute subira hakuna aliye 100% nini kitatokea leo au kesho.
Hee amakweli yakitimia hakuna pa kujificha, leo tuna mabanda ya fukiza nyungu pale MNH na Mloganzila
Tuna Covidol na NIMRCAF bado huna uhakika nini kitatokea! real? amakweli ukweli umetimia.

NB Nchi za magharibi wamejikopesha pesa ambazo hawawezi kuzilipa leo wala kesho, wanahaha na kuwatafuta walipaji.
Please stop this ...! Nchi za magharibi hazina sababu yoyote ya kutafuta pesa za Tanzania
Hatuna pesa wala cha kuibiwa na wakitaka kuiba tutawapa tu

Nani alidanganya watu Tanzania ni nchi tajiri? sisi tunaopitisha mabakuli ya kuomba misaada

Jana Congress imepitisha pesa za covid relief, katika maeneo yote hakuna eneo lililotengewa pesa sawa au chini ya Bajeti yetu nzima. Leo wanataka nini kwa nchi fukara kama Tanzania

Mzungu akitaka madini yetu anayachukua kwa njia nyingine.
Mashine zote zinatoka kwakwe, akipanga bei anayotaka wewe Mtanzania utafanya nini.

Yeye ndiye mwenye soko na pound sterling na Dollar. Hivi nani anayeweza kununua Tanzanite hapa Tz

Zukckeberg hatudai tukitumia whatsapp leo sisi tunavizia pesa za mapato kutoka kwa watoto wanaosoma nje eti wasitumie whatsapp, halafu tunadhani Zuckberg anataka kutuibia. Siyo nchi bali Zuckerber

Sisi tunaotibu watu wetu kwa pesa za Bill & Belinda ndio tunadhani mzungu anataka kutuibia!phwee

Achana kabisa na hoja za kitoto kama hizi. Mag3 anahoji kwamba hawa ndio wasomi wetu!

Unanikumbusha Profesa anayehoji vaccine kutumia muda mfupi wa ugunduzi, wakati Prof huyo huyo hatuelezi Togwa na Mtindi aliotengeneza kutibu changamoto ametumia muda gani teh teh teh





 
Please stop this ...! Nchi za magharibi hazina sababu yoyote ya kutafuta pesa za Tanzania
Hatuna pesa wala cha kuibiwa na wakitaka kuiba tutawapa tu

Nani alidanganya watu Tanzania ni nchi tajiri? sisi tunaopitisha mabakuli ya kuomba misaada

Mzungu akitaka madini yetu anayachukua kwa njia nyingine.
Mashine zote zinatoka kwakwe, akipanga bei anayotaka wewe Mtanzania utafanya nini.

Yeye ndiye mwenye soko na pound sterling na Dollar. Hivi nani anayeweza kununua Tanzanite hapa Tz

Zukckeberg hatudai tukitumia whatsapp leo sisi tunavizia pesa za mapato kutoka kwa watoto wanaosoma nje eti wasitumie whatsapp, halafu tunadhani Zuckberg anataka kutuibia. Siyo nchi bali Zuckerber

Achana kabisa na hoja za kitoto kama hizi. Mag3 anahoji kwamba hawa ndio wasomi wetu!

Unanikumbusha Profesa anayehoji vaccine kutumia muda mfupi wa ugunduzi, wakati Prof huyo huyo hatuelezi Togwa na Mtindi aliotengeneza kutibu changamoto ametumia muda gani teh teh teh
Hold on fire my friend. Technology yote hapa duniani inategemea asilimia 60 ya madini kutoka Africa kuanzia cobalt inayohitajika kwenye magari ya umeme na tantalum inayotumika kwenye mobile phones. Kama sisi ni masikini hivyo kwa nini wanakuwa na nyege sana na mali zetu.
 
Hold on fire my friend. Technology yote hapa duniani inategemea asilimia 60 ya madini kutoka Africa kuanzia cobalt inayohitajika kwenye magari ya umeme na tantalum inayotumika kwenye mobile phones. Kama sisi ni masikini hivyo kwa nini wanakuwa na nyege sana na mali zetu.
oh OK ,Africa! may be Congo, may be S.Africa etc.
Tanzania ina kauchumi kadogo sana kwa nchi kubwa kunyemelea , please

Tuache kujifaragua kwa kitu kisichokuwepo. Hao Japan na China watasemaje
Kuna obsession ya kwamba tuna uchumi mkuubwa na hiyo Paranoia inatufanya tufikiri kinyume nyume

Covid imeua wazungu wengi sana, Waasia na Walatino pia. Hivi tunawezaje kufikiri eti imetengenezwa kutudhuru kwasababu ya madini yetu?

Mbona tunachukua vaccines za kawaida kila siku, sasa kama ni kutudhuru kwanini wasidhuru watoto ambao ni future generation ili wapate urahisi wa kuiba hayo madini?

Hawa wazungu wanaokwenda Mars wakitaka lolote hatuna choice, tuache obsessions na paranoia zisizo na kichwa wala miguu. Uchumi wa Tanzania ni mdogo sana tunashindana na vitongoji vya huko duniani si mataifa

Sisi hatuwezi kutengeneza hata chepeo,tunachimba kwa mashine zao. Hapo tu wanaweza kutupiga tukanyooka
Wana uwezo wa kununua, wana masoko n.k.
Jiulize Mkonge ulikufaje Tanzania ! Pamba je, Kahawa je!
 
oh OK ,Africa! may be Congo, may be S.Africa etc.
Tanzania ina kauchumi kadogo sana kwa nchi kubwa kunyemelea , please

Tuache kujifaragua kwa kitu kisichokuwepo. Hao Japan na China watasemaje
Kuna obsession ya kwamba tuna uchumi mkuubwa na hiyo Paranoia inatufanya tufikiri kinyume nyume

Covid imeua wazungu wengi sana, Waasia na Walatino pia. Hivi tunawezaje kufikiri eti imetengenezwa kutudhuru kwasababu ya madini yetu?

Mbona tunachukua vaccines za kawaida kila siku, sasa kama ni kutudhuru kwanini wasidhuru watoto ambao ni future generation ili wapate urahisi wa kuiba hayo madini?

Hawa wazungu wanaokwenda Mars wakitaka lolote hatuna choice, tuache obsessions na paranoia zisizo na kichwa wala miguu. Uchumi wa Tanzania ni mdogo sana tunashindana na vitongoji vya huko duniani si mataifa

Sisi hatuwezi kutengeneza hata chepeo,tunachimba kwa mashine zao. Hapo tu wanaweza kutupiga tukanyooka
Wana uwezo wa kununua, wana masoko n.k.
Jiulize Mkonge ulikufaje Tanzania ! Pamba je, Kahawa je!
Mkuu kama wewe una umri wa kukumbuka jaribu kufikiria mwaka 1970 China walikuwa wapi? Au Malaysia, Korea nk. Tupe muda na sisi, ''usione vinaelea vimeundwa.'' We are in the right track.
 
Mbona tunachukua vaccines za kawaida kila siku, sasa kama ni kutudhuru kwanini wasidhuru watoto ambao ni future generation ili wapate urahisi wa kuiba hayo madini?

Nearly a dozen nations temporarily halted the use of AstraZeneca’s coronavirus vaccine this week amid reports that it can cause severe blood clots. On Friday, the European Medicines Agency added "severe allergic reactions" to the jab’s list of potential side effects. The World Health Organisation says the vaccine’s benefits outweigh the risks.
US officials are reportedly debating whether or not to send tens of millions of doses of AstraZeneca’s coronavirus vaccine abroad as the Food and Drug Administration continues to drag its feet on approving it for use on Americans.
Unnamed senior Biden administration officials told the New York Times that the White House has seen “intense debate” about whether to ship tens of millions of doses of the vaccine currently sitting in manufacturing facilities in Ohio and Maryland to other countries amid requests by nations which have already approved its use.
====
Huu mpango haikubaliki. GAzeti NYT ndiyo chanzo cha habari sputniknews wamenukuu!!!
 
Sisi tunaotibu watu wetu kwa pesa za Bill & Belinda ndio tunadhani mzungu anataka kutuibia!phwee
Madawa tuna nunua...! Hakuna hela za bure anatoa Bill na Belinda!!?
===
"Tanzania's health authorities also refused to purchase vaccines( for corona virus)." Sputniknews
XXXXXXXXX
Ndiyo maana amefura Gate, watu wanagomea kununua chanjo zake!!! Ona wapiga debe wa Bill wanavyoaha kusukuma 'mzigo wa bosi'
=====
Countries should not stop using AstraZeneca's Covid-19 vaccine over fears it causes blood clots as there is no indication this is true, the World Health Organization says.
Bulgaria, Denmark and Norway are among the countries that have paused its use.
But on Friday a WHO spokeswoman said there was no link between the jab and an increased risk of developing a clot.
Margaret Harris said it was an "excellent vaccine" and should continue to be used.
BBC
 
ziko post sizisomi kwani nimeziweka kwenye ignore list
Ha haaaa! Unakosa uondo wa kuelemika kutokana na hoja motomoto kutoka kwa wale ambao hukudhani kama wanaweza kugundua hila za wale unaowaamini.

Wafungulie tu. Kupata taarifa usizotaka kupata kutoka kwa hao ambao uliwatilia shaka uwezo hapo awali itakusaidia sana kukuondoa kutoka kwenye mwelekeo wa kumiliki 'distructive ego'
 
Mkuu kama wewe una umri wa kukumbuka jaribu kufikiria mwaka 1970 China walikuwa wapi? Au Malaysia, Korea nk. Tupe muda na sisi, ''usione vinaelea vimeundwa.'' We are in the right track.
Siyo umri wa kukumbuka bali tumeishi hayo uyasemao. Tanzania ya Dr Salim Ahmed ndio waliojenga hoja ya China kurudi UN. Tanzania ilikuwa sawa na Asian Tigers na tulikuwa kundi moja la group 77

Miaka 50 later wenzetu wametuacha. Kwanini? Tumepoteza muda wa kukumbatia mfumo usiotoa majibu ya matatizo yetu. Tumekumbatia uwekezaji katika maeneo yasiyo na tija kama mjengoni Dodoma badala ya R&D

Miaka 50 wenzetu wamefikia mahali simu na mawasiliano ni kila sehemu bila kusubiri internet cafe, sisi tunafikiria namna ya kuzuia WhatsApp kwa wananchi

Miaka 50 sisi tunatafuta mbinu za kuumizana badala ya kutatua matatizo ya wananchi.

Miaka 50 hatuaimini sayansi ya Apolo 11 ya 1967 tunajivunia TogwaCaf na Mtindidol

Please!
 
Siyo umri wa kukumbuka bali tumeishi hayo uyasemao. Tanzania ya Dr Salim Ahmed ndio waliojenga hoja ya China kurudi UN. Tanzania ilikuwa sawa na Asian Tigers na tulikuwa kundi moja la group 77

Miaka 50 later wenzetu wametuacha. Kwanini? Tumepoteza muda wa kukumbatia mfumo usiotoa majibu ya matatizo yetu. Tumekumbatia uwekezaji katika maeneo yasiyo na tija kama mjengoni Dodoma badala ya R&D

Miaka 50 wenzetu wamefikia mahali simu na mawasiliano ni kila sehemu bila kusubiri internet cafe, sisi tunafikiria namna ya kuzuia WhatsApp kwa wananchi

Miaka 50 sisi tunatafuta mbinu za kuumizana badala ya kutatua matatizo ya wananchi.

Miaka 50 hatuaimini sayansi ya Apolo 11 ya 1967 tunajivunia TogwaCaf na Mtindidol

Please!
Unafahamu kwa nini tupo hapo. Mzee Rukhsa alipwaya then akaja BWM na sera zake za kun-binafisha hata ambavyo havikutakiwa kubinafsishwa. Baada ya hapo unafahamu alikuja mvumbuzi na watu walikuwa na nongwa wanaipiga nchi ki-roho mbaya. JPM anakabiliana na shida aliyoikuta ingawa bado tupo mbali sana lakini kwa speed ambayo ameanza na kuiweka Tanzania katika trajectory nzuri baada ya miaka kama kumi hivi tutaanza kuona matunda . ... ....... ... we are in the right track.
 
Unafahamu kwa nini tupo hapo. Mzee Rukhsa alipwaya then akaja BWM na sera zake za kun-binafisha hata ambavyo havikutakiwa kubinafsishwa. Baada ya hapo unafahamu alikuja mvumbuzi na watu walikuwa na nongwa wanaipiga nchi ki-roho mbaya. JPM anakabiliana na shida aliyoikuta ingawa bado tupo mbali sana lakini kwa speed ambayo ameanza na kuiweka Tanzania katika trajectory nzuri baada ya miaka kama kumi hivi tutaanza kuona matunda . ... ....... ... we are in the right track.
Hao wote ni viongozi kutoka CCM!

Katika timu iliyopo madarakani hakuna aliyekuwa nje ya 'inner circle' iliyofeli mwanzoni

Wengine walikuwa 'privy' na mawaziri wakati wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete yote yakitokea , hawakusema, hawakukemea walifaidika tu kama walivyofaidika wapigaji.
Leo wale wale unataka tuamini wana jipya! huu si mvinyo wa zamani katika chupa mpya!!

Tunakuwaje katika trajectory wakati nchi inategemea kodi za WhatsApp za watoto weanaosoma nje.
Nchi inategemea kodi za Drone wakati Ghana zinatumika kusambaza chanjo.

Kwamba toy za drone ni chanzo cha mapato ya Taifa la watu milioni 60! Hii ni right track kweli!

Huu ni mfano tu kuwa tupo desperate .

Asian Tigers hawakusubiri miujiza, akina Mahathir Mohamed walikuwa na clear vision

Miaka 2 baada ya COvid eti ndio tunaunda timu ya kutafiti ikiwa vaccines zinafanya kazi wakati mamilioni duniani wanachanjwa kila siku. Katika mitazamo butu potofu na ya kijinga namna hii wapi ilipo right track

Yaani siku zote hatukujua Corona ipo! kwamba wenzetu wametengeneza chanjo na kwamba chanjo ni bure katika nchi masikini. Kama hawajui hilo kuna ubutu gani zaidi ya huo! Inasikitisha sana

Hatuna plan, hatujui tunafanya nini, tumegeukia mitishamba tusiojua inafanya kazi vipi.
Tunafukiza watu wetu mavumba, kavumbasi na michachai tukinanga vaccine!

Nyungu ni mfano mzuri pamoja na Togwa na Mtindi kutoka taasisi ile ya Profesa wetu.

Halafu ndio wa kwenda kushindana na South Korea! Ndio wa kushindana na China. Kuna ndoto za mchana zingine ni maradhi tusiite ndoto. Tumefeli kwasababu ya recycling katika leadership ! Hakuna jipya

Hata communication skills hatuna halafu tunaangalia mbele kuwatafuta Korea ili tukimbizane nao!

Narudia kuna ndoto za mchana, zingine si ndoto ni maradhi. Hili la kudhani kuna lolote jipya ni maradhi
 
Hao wote ni viongozi kutoka CCM!

Katika timu iliyopo madarakani hakuna aliyekuwa nje ya 'inner circle' iliyofeli mwanzoni

Wengine walikuwa 'privy' na mawaziri wakati wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete yote yakitokea , hawakusema, hawakukemea walifaidika tu kama walivyofaidika wapigaji.
Leo wale wale unataka tuamini wana jipya! huu si mvinyo wa zamani katika chupa mpya!!

Tunakuwaje katika trajectory wakati nchi inategemea kodi za WhatsApp za watoto weanaosoma nje.
Nchi inategemea kodi za Drone wakati Ghana zinatumika kusambaza chanjo.

Kwamba toy za drone ni chanzo cha mapato ya Taifa la watu milioni 60! Hii ni right track kweli!

Huu ni mfano tu kuwa tupo desperate .

Asian Tigers hawakusubiri miujiza, akina Mahathir Mohamed walikuwa na clear vision

Miaka 2 baada ya COvid eti ndio tunaunda timu ya kutafiti ikiwa vaccines zinafanya kazi wakati mamilioni duniani wanachanjwa kila siku. Katika mitazamo butu potofu na ya kijinga namna hii wapi ilipo right track

Yaani siku zote hatukujua Corona ipo! kwamba wenzetu wametengeneza chanjo na kwamba chanjo ni bure katika nchi masikini. Kama hawajui hilo kuna ubutu gani zaidi ya huo! Inasikitisha sana

Hatuna plan, hatujui tunafanya nini, tumegeukia mitishamba tusiojua inafanya kazi vipi.
Tunafukiza watu wetu mavumba, kavumbasi na michachai tukinanga vaccine!

Nyungu ni mfano mzuri pamoja na Togwa na Mtindi kutoka taasisi ile ya Profesa wetu.

Halafu ndio wa kwenda kushindana na South Korea! Ndio wa kushindana na China. Kuna ndoto za mchana zingine ni maradhi tusiite ndoto. Tumefeli kwasababu ya recycling katika leadership ! Hakuna jipya

Hata communication skills hatuna halafu tunaangalia mbele kuwatafuta Korea ili tukimbizane nao!

Narudia kuna ndoto za mchana, zingine si ndoto ni maradhi. Hili la kudhani kuna lolote jipya ni maradhi
Kwa hiyo tatizo lako kwa sababu viongozi wote ni CCM? With all due respect I wouldn't care less nani anawavusha Watanzania. Tumechelewa na kuna wengi walafi waliokuwa hawana aibu, Tanzania have everything. Fikiria hilo.

BTW umefika Ghana?
 
Kwa hiyo tatizo lako kwa sababu viongozi wote ni CCM? With all due respect I wouldn't care less nani anawavusha Watanzania. Tumechelewa na kuna wengi walafi waliokuwa hawana aibu, Tanzania have everything. Fikiria hilo.

BTW umefika Ghana?
Bado hujajibu hoja, ni hivi ili twende mbele kama ilivyokuwa Korea na China lazima kuwa na mabadiliko ya fikra na wanaotoa fikra hizo. Kwetu sisi hatujawahi kuongozwa na chama kingine zaidi ya CCM tangu Uhuru.

Nyerere alimkabidhi Mwinyi naye akampa Mkampa na kumpasia Kikwete na Sasa Magufuli

Huwezi kuwa na uzao wa Fisi ukategemea ipo siku uzao huo utatoa Swala!!

Yes , nilifika Accra, Kumasi hadi Okosombo Dam kule Ghana. Siku za karibuni zijafika, hatua wanazopiga ni za kupigiwa mfano. Mfumo wao wa uchaguzi ni superb hapa Africa. Uchumi wao una malengo makubwa

Ghana hakuna kufungua kontena za baiskeli wala kudai kodi za drone achilia mbali kuvizia vijana wanaosoma nje wakitongozana na wenzao waliopo Tz kwa WhatsApp, eti kukusanya mapato!!!!

BTW tunahitaji chanjo kwa wanaotaka wasiotaka wana hiari.
Hii ndio hoja muhimu kwasasa kwasababu nyungu na mabanda ya MNH na Mloganzila mhh tunayakimbia.
Togwa na Mtindi wa research institute yetu haujulikani popote duniani. Bupiji mhhh

Kuna mzee wangu anaishi Pongwe kila mara akinikumbusha '' sumu haijaribiwi kwa kuonja''
 
Bolsanaro alienda chaka! He denied the presence of covid; therefore, no measures were put in place for that matter in Brazil.

Sisi tulikuwa strategic, tulikubali upo na tukaweka plan B ( kufukizia nakadhalika) ya kukabilana nao bila kutishana wala kuumizana kiuchumi. Tuliona ķupima covid, kwa teknolojia iliyopo na uendeshaji wa teknolojia ambayo reliability ya matokeo yake ni less than 70% wakati confidence level ya ubora wa matokeo ya teknolojia ya masuala haya inabidi iwe zaidi ya 95% , ni kujidanganya!

Mpaka sasa sioni tulipokosea kushughulikia covid, sisi kama nchi.
!
 
Rais yupo Ikulu anachapa kazi usisikilize porojo za Tundu Lisu na Zito Kabwe. Wamewajaza Reuters majungu.
OK, nimesoma gazeti la The Daily Nation

Pili, nimekumbuka yale ''majungu'' kwamba hakuhudhuria kikao cha EAC

Kuna kitu wanakiita 'chronology'' sijui kama umeshakisikia !
 
Back
Top Bottom