We kweli m.senge na Mo Dewji asemeje?, Na wanaomiliki timu kama Chelsea wasemeje?, Hii inaonysha una akili fupi sana. Kwahiyo mwisho wako wa mafanikio nyumba nne?, Dah mnaaibisha jamani. Kwahiyo ukiona ID fulani akili tayari unajua huyu ana nyumba moja, yule ana tatu, yule hana. We ilibidi uwe Facebook huku unatujazia server tu.Nina nyumba huku nje, Tanzania nina nyumba nne Dar es salaam na moja Mwanza na sio za mkopo zote nimetoa hela mfukoni, wewe una nini? Aliyekuja na matusi kwanza si wewe hapo? naona yamekuuma nyoko