COVID-19 health alerts: US Embassy Dar es Salaam

That's not love but stupidity of the highest order found only in Tanzania. Fools in high places have made our country and its people a laughing stock while stupidly themselves holing in places unknown thinking the disease will not find them. Wajifukize, wanywe kikombe cha Babu wa Loliondo au juju toka Madagascar, Tanzanians will be better off without the bustards on this earth. They deserve to be already 2 meters under the surface of the earth!
Kunywa maji ya kutosha upumzike

Corona inatia hofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo sasa. Repatriation or not, hospitali ya Amana ina ventilator moja, kila mtu ashinde mechi zake otherwise tunakwenda mawinguni kumpokea Yesu yaani. Pamoja na mipango yako mingi, kaburi linakusubiri. Chickens coming home to roost. Enjoy yaani,
Maiti zishaanza okotwa hko Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
***********************************************************************************************************************
Kufuatia ukimya wa serikali ya Tanzania juu ya takwimu za wagonjwa wa COVID -19 ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umewataka wafanyakazi wao na familia zao waliopo jijini Dar es Salaam kusalia majumbani isipokuwa kwa mahitaji muhimu kwani hatari ya maambukizi ya corona ni kubwa.

***********************************************************************************************************************


View attachment 1448818

Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam

The Tanzanian government has not released any data on COVID in Tanzania since April 29, so there are no current data on the number of people diagnosed with COVID-19 in Tanzania.

The Department of State has issued a Global Level 4 Health Advisory for COVID-19. For emergency American Citizen Services, including emergency passports, please visit ourwebsite for additional information.

The risk of contracting COVID-19 in Dar es Salaam is extremely high. Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania. The Embassy has strongly recommended that U.S. government personnel and their families remain at home except for essential activities (e.g., grocery shopping) and substantially limit into private homes the entry of anyone but regular residents.

Many hospitals in Dar es Salaam have been overwhelmed in recent weeks. Limited hospital capacity throughout Tanzania could result in life-threatening delays for medical care, including for those with COVID-19.

The Government of Tanzania suspended all international scheduled passenger planes to Tanzania effective April 11 and international commercial flight options no longer exist in Tanzania.

U.S. citizens who remain in Tanzania should be prepared to remain abroad for an indefinite period. The U.S. government does not anticipate arranging additional repatriation flights in Tanzania at this time. However, in the event that opportunity becomes available, we are asking you to let us know if you are interested in being contacted. Please enter your information via the following link: bit.ly/USCitizenInfo and complete the form for each U.S. citizen or U.S. legal permanent resident guardian accompanying minor children in your family or group. If a repatriation flight is arranged, an email will be sent to anyone who submitted information via this form. If you have already submitted your information via email you do not need to submit your information again.

Actions to Take:
Consult the CDC website for the most up-to-date information.
Visit the COVID-19 crisis page on travel.state.gov for the latest information.
Visit our Embassy webpage on COVID-19.
Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.

Assistance:
U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani,
P.O. Box 9123
Dar es Salaam, TANZANIA
+255 22 229-4000
drsacs@state.gov
tz.usembassy.gov
Na Kule White House kwako mbona hawabaki nyumbani wakati tayari Wasaidizi wao wameambukizwa???
 
Hata Kenya waliambiwa kuwa Alshabaab watapiga. kenya wakasema kama unavyosema kilichotokea kama hukijui katafute.

Kiufupi hawa wakikuambia kitu hasa jambo la kushambuliwa ukilipuuza basi itakula kwako.

Putin mwenyewe alishawashukuru baada ya kumpa Russia tip off ya tukio la kigaidi.

Sasa wewe Mataga ni nani hata ukebehi info za Wamarekani? Tena hawakuambii wewe mmatumbi. Wamarekani wanawaambia wamarekani wenzao.
Wewe mmatumbi nenda kariakoo kafanye shopping.
Wewe si nunda.

Im out!!!!!!!!
Wameanza kitambo hizo tabiri hata hivyo..
Ugonjwa hauna mjanja huu
Tunadedishwa dunia nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
***********************************************************************************************************************
Kufuatia ukimya wa serikali ya Tanzania juu ya takwimu za wagonjwa wa COVID -19 ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umewataka wafanyakazi wao na familia zao waliopo jijini Dar es Salaam kusalia majumbani isipokuwa kwa mahitaji muhimu kwani hatari ya maambukizi ya corona ni kubwa.

***********************************************************************************************************************


View attachment 1448818

Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam

The Tanzanian government has not released any data on COVID in Tanzania since April 29, so there are no current data on the number of people diagnosed with COVID-19 in Tanzania.

The Department of State has issued a Global Level 4 Health Advisory for COVID-19. For emergency American Citizen Services, including emergency passports, please visit ourwebsite for additional information.

The risk of contracting COVID-19 in Dar es Salaam is extremely high. Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania. The Embassy has strongly recommended that U.S. government personnel and their families remain at home except for essential activities (e.g., grocery shopping) and substantially limit into private homes the entry of anyone but regular residents.

Many hospitals in Dar es Salaam have been overwhelmed in recent weeks. Limited hospital capacity throughout Tanzania could result in life-threatening delays for medical care, including for those with COVID-19.

The Government of Tanzania suspended all international scheduled passenger planes to Tanzania effective April 11 and international commercial flight options no longer exist in Tanzania.

U.S. citizens who remain in Tanzania should be prepared to remain abroad for an indefinite period. The U.S. government does not anticipate arranging additional repatriation flights in Tanzania at this time. However, in the event that opportunity becomes available, we are asking you to let us know if you are interested in being contacted. Please enter your information via the following link: bit.ly/USCitizenInfo and complete the form for each U.S. citizen or U.S. legal permanent resident guardian accompanying minor children in your family or group. If a repatriation flight is arranged, an email will be sent to anyone who submitted information via this form. If you have already submitted your information via email you do not need to submit your information again.

Actions to Take:
Consult the CDC website for the most up-to-date information.
Visit the COVID-19 crisis page on travel.state.gov for the latest information.
Visit our Embassy webpage on COVID-19.
Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.

Assistance:
U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani,
P.O. Box 9123
Dar es Salaam, TANZANIA
+255 22 229-4000
drsacs@state.gov
tz.usembassy.gov
 
Ukiona mwezako ananyolewa zako tia maji, unashangaa marekani kesi milioni, subiri Tanzania zikianza kupamba moto unaweza tamani ungeishi marekani, kwa kua wameficha hawatangazi vifo unahisi tuko pazuri hahaha, pole sana, we endelea kuzembea utashangaa kaukoo kazima kanapotea kwa korona ndo ushike adabu, hii kitu sio ya kuichezea kama tunavyofanya Tanzania
Kwani ile wiki ya maambukizi kwa wingi na vifo mpaka tukose pa kuzika haijafika bado hapa Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni lugha tu imekupita kando kidogo, na hilo si kosa lako ni kosa la chama kilichotuongoza toka tupate uhuru.

US embassy wanasema hospitali Dar zina wagonjwa wengi hivyo uwezo wa kuhimili wagonjwa wapya pamoja na gonjwa la Covid-19 ni mdogo, wanahofia kuwa matibabu yanaweza kuchelewa kutokana na msongamano kwenye mahospitali.

US ni kweli kuna wagonjwa wengi lakini at least wana medical facilities zinazoweza kuhimili wagonjwa wengi.

Sababu hasa ya kuweka Lockdown ilikuwa kupunguza maambukizi yasizidi uwezo wa hospitali kuweza kuhimili wingi wa wagonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kinyume chake kinaweza tokea pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninafikiri ujinga ni kutofahamu nchi yako inajiendesha vipi unabaki na akili na mitazamo tegemezi kwa hao wamarekani. Eti afya yetu inawategemea kwa 80%! Pathetic imbecile! Bajeti ya serikali ya wizara ya afya ni 100% pesa za ndani mzee. Hii ni awamu nyingine.

Pia akiyekwambia kuwa asilimia kubwa ya watalii wetu ni wamarekani bila shaka alijua anaongea na empty head akaona apenyeze rupia kwenye uzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza dada, endelea kudanga haya mambo ya uchumi huyawezi. Unakurupuka huko kutoka kupigwa miti unakuja kuzungumzia mambo ambayo huyawezi. Tafta mwanaume akutulize mimi ni mume wa mtu, mke wangu akijua nataka nikutindue atakuua.
 
***********************************************************************************************************************
Kufuatia ukimya wa serikali ya Tanzania juu ya takwimu za wagonjwa wa COVID -19 ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umewataka wafanyakazi wao na familia zao waliopo jijini Dar es Salaam kusalia majumbani isipokuwa kwa mahitaji muhimu kwani hatari ya maambukizi ya corona ni kubwa.

***********************************************************************************************************************


View attachment 1448818

Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam

The Tanzanian government has not released any data on COVID in Tanzania since April 29, so there are no current data on the number of people diagnosed with COVID-19 in Tanzania.

The Department of State has issued a Global Level 4 Health Advisory for COVID-19. For emergency American Citizen Services, including emergency passports, please visit ourwebsite for additional information.

The risk of contracting COVID-19 in Dar es Salaam is extremely high. Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania. The Embassy has strongly recommended that U.S. government personnel and their families remain at home except for essential activities (e.g., grocery shopping) and substantially limit into private homes the entry of anyone but regular residents.

Many hospitals in Dar es Salaam have been overwhelmed in recent weeks. Limited hospital capacity throughout Tanzania could result in life-threatening delays for medical care, including for those with COVID-19.

The Government of Tanzania suspended all international scheduled passenger planes to Tanzania effective April 11 and international commercial flight options no longer exist in Tanzania.

U.S. citizens who remain in Tanzania should be prepared to remain abroad for an indefinite period. The U.S. government does not anticipate arranging additional repatriation flights in Tanzania at this time. However, in the event that opportunity becomes available, we are asking you to let us know if you are interested in being contacted. Please enter your information via the following link: bit.ly/USCitizenInfo and complete the form for each U.S. citizen or U.S. legal permanent resident guardian accompanying minor children in your family or group. If a repatriation flight is arranged, an email will be sent to anyone who submitted information via this form. If you have already submitted your information via email you do not need to submit your information again.

Actions to Take:
Consult the CDC website for the most up-to-date information.
Visit the COVID-19 crisis page on travel.state.gov for the latest information.
Visit our Embassy webpage on COVID-19.
Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.

Assistance:
U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani,
P.O. Box 9123
Dar es Salaam, TANZANIA
+255 22 229-4000
drsacs@state.gov
tz.usembassy.gov
Walinzi wakuu wa roho zetu na tamko jingine kwetu
Hivi hao RAIA wao kwanini hawaondoki kipindi chote hicho?
Hili tamko la Mara ya ngapi kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Tanzania tuko vizuri sana mkuu 'mijngamimi'!
Unaweza kueleza siri ya mafanikio yetu hayo; au kwa sababu tu ya maombi tuliyohimizwa kuyafanya?

Ni matumaini yangu utajitahidi kunipa jibu la kiutu uzima ili tuuendeleze mjadala huu.
Huo ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Hofu tunazua sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaiwaza chadema unajua serikali ina mambo ya kitoto sana

Mambo ya kitoto kuliko Swalehe my son

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wamarekani lakini nini kinaqafanya wasiende kwao?
Mbona wanapewwa alert mara nyingi sana?
Nchi wanaiona mbovu kutoka hawatoki kuna nini?
Tanzania ndio imesababisha corona ulimwenguni lazima itengwe na maambukizi wanayo mengi plus vifo hovyo hovyo mpaka mlinzi wa roho zetu kutoka marekani anatuhurumia hatujali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzako wana population ya 350m wewe Dar una 6m vifo zaidi ya 1000 piga asilimia.Nyie vigo 2000 nchi mzima estimate population ya 55m pigs asilimia kama wewe sio uko kwa shimo.Halafu yeye kasema the hospital is overwhelmed
Tupambane na ya kwetu
Unazimanya Hesabu?
 
Back
Top Bottom