Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,489
- 8,533
Tunatangaziwa kuchukua tahadhari, lakini pamoja na ilani zote hizo kama taifa tumejipanga vipi kugharamia matibabu ya wote watakaokumbwa na hili janga la Covid-19, kuanzia vipimo na kadhalika?
Je, huko kwa Mkemia Mkuu uwezo upo wa kupima sampuli nyingi kiasi gani?
Je, hospitali zetu zina sehemu maalumu kuwaweka wagonjwa hawa?
Wataalamu wetu wa afya wana vitendea kazi vya kutosha?
Au bado tunajipa moyo kuwa hili tatizo haliwezi kumdhuru Mtanzania?
Je, huko kwa Mkemia Mkuu uwezo upo wa kupima sampuli nyingi kiasi gani?
Je, hospitali zetu zina sehemu maalumu kuwaweka wagonjwa hawa?
Wataalamu wetu wa afya wana vitendea kazi vya kutosha?
Au bado tunajipa moyo kuwa hili tatizo haliwezi kumdhuru Mtanzania?