concious mind
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 984
- 580
Uzi wetu pendwa siupati
Sasa wewe kwann uliutelekeza?
Habib
Kwa waliosoma biology zipo sababu za kitu kuwa hai nazo ni naomba nizitaje kwa kizunguKaka naendelea kusoma vyema makala yako na huku nikiwa natafakari.
Inawezekana vipi katika hali halisi mtu utengeneze kitu kisha ushindwe kukimudu ? Hapa napataka gagaiko.
Pili, tunaambiwa Virus sio hai, lakini tunajiuliza kitu kinachoenea kupitia njia fulani vipi kisiwe hai huku kima athiri ?
Tatu, umesema ya kuwa Bacteria nao wanaundwa (Wanatengenezwa), ila kwao wao wanasayansi husema Bactria ni living organism au living things, kwa maana ni hai, uhai unapatikana wapi ? Yaani sawa sawa leo hii mtu atuambie amemtengeneza mbwa na kuwa hai.
Hili limekaaje, naomba msaada wa maelezo juu ya utengenezwaji wa viwili hivi, au kwao wao Wanasayansi wanamaanisha nini wanaposema "Wametengeneza" kitu fulani. Ila sharti la kitu kiwe kimetengenezwa, lazima kitanguliwe na kutokuwepo kwake kisha ndio kije kuwepo.
Naendelea kusoma makala yako.
Ahsante.
Imekuwa vyema sasa kuliko watu mpaka wamanza kujaribu kuhack jf ili wauondoeKuna watu walikuwa wanatuharibia ule uzi.
Uzi umewekwa 'gizani' kwanza.. lets see
Kama vipi story iendelee hapa hapaSikuutelekeza...nilikuwa na majukumu.
Watu sio wavumilivu. Ni bora ubakie gizani tu
Uzi nmeutafuta ule Hadi nikafkr labda mimi Tu ndo siuoniHabib, wapi Unit 15?
Miongon mwa wafatiliaj wa ule uzi Ni Mello baada ya kuona alosto imemzid na mwandishi haonyesh ushirikiano akalazimika kumwaga ugali ili mwandish aonje ladha ya alosto kwa kubak na stor yakeUzi nmeutafuta ule Hadi nikafkr labda mimi Tu ndo siuoni
Miongon mwa wafatiliaj wa ule uzi Ni Mello baada ya kuona alosto imemzid na mwandishi haonyesh ushirikiano akalazimika kumwaga ugali ili mwandish aonje ladha ya alosto kwa kubak na stor yake
Mkuu unit 15Sikuutelekeza...nilikuwa na majukumu.
Watu sio wavumilivu. Ni bora ubakie gizani tu