Founder wa blackwater worldwide ambayo sasa hivi inaitwa Academi Erik Prince ambaye alikuwa Navy Seal Officer.
View attachment 1500148
Mkuu deep state tunaisubiria hivyo ooh...
Chifu nilupoteza namba yako ..naomba niipate tena
Ahahaha Uzi ushakufa huuNaanza raSmi kufatilia kila nukta ya huu uzi
Sasa hivi ni mkurugenzi wa Lancaster 6 Group (L6G) ameshaachana na BlackwaterFounder wa blackwater worldwide ambayo sasa hivi inaitwa Academi Erik Prince ambaye alikuwa Navy Seal Officer.
View attachment 1500148
cc pinye kitambo sanaChifu nilupoteza namba yako ..naomba niipate tena
Hahahaha niaje ma men Bayi ..nipe no yako ci nmepoteza aise, afu mbona unitumii picha tena..unafeli kinomaacc pinye kitambo sana
hahaa ntakutext whatsupp pinyee namba yako ninayoHahahaha niaje ma men Bayi ..nipe no yako ci nmepoteza aise, afu mbona unitumii picha tena..unafeli kinomaa
Huyu ndiye Mwanamama Mtafiti na Mwanasayansi Yanging Ye. Hii picha nimeipiga mchana wa leo kwenye tovuti ya FBI. Unaweza kuitazama hata sasa kwenye kipengele cha watu wanaotafutwa (Most Wanted list).
Mwanamama huyu bado angali anatafutwa na FBI kutokana na masuala kadhaa ambayo FBI wanahitaji kumuhoji. Hasa, wanahisi alitumika ku-recruit wanasayansi wengine kadhaa. Lakini wasiwasi mkubwa zaidi wanahitaji kumuhoji kuhusi mradi wa kijeshi wa kibaolojia ambao waliona akijadili na wenzake wa NUDT walipodukua jumbe zake kwenye mtandao wa WeChatView attachment 1487737