Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Finally vichwa panzi wametualibia uzi 😢
Ooooh hatuelewi ooooh unazunguka mbuyu wanashindwa kusoma kichwa apo kinahusu deep state inavyo husika na kuenea kwa covid 19
Sema nn anko The bold umezingua kutulisha ugal bila mboga tushibe haraka kisa vichwa panzi wachache
Njoo kwenye group, story inaendelea kama kawaida.
Huku changanyikeni tunawapa kidogo kidogo.