Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,723
Wewe ni mkewe?sasa kama umemkubali mume mmoja unataka unikubali na mimi ili iweje?mimi sihitaji kupiga hela kwa kuwadanganya vilaza.mi nawaelimisha bure.umaarufu wangu ni mkubwa nje ya Jamiiforums kwa jina langu halisi.humu naburudika na kuelimisha watu.
Wajinga siku zote ndio waliwao.kama unavyojitanabaisha hapa.unaliwa kila sehemu kwa ubwege wako....namsaidia mwandishi asidhani humu mmejaa nyie tu vilaza.baadaye anawaunga kwenye group anawatoza pesa....😁😁😁😁 Na mnaliwa kimapenzi pia.
Wajinga siku zote ndio waliwao.kama unavyojitanabaisha hapa.unaliwa kila sehemu kwa ubwege wako....namsaidia mwandishi asidhani humu mmejaa nyie tu vilaza.baadaye anawaunga kwenye group anawatoza pesa....😁😁😁😁 Na mnaliwa kimapenzi pia.
Write your reply...mkuu Chizi Maarifa usitafute umaarufu kwa kumpinga jamaa,shusha nondo za maana tutakukubali na utakuwa maarufu na utaipiga hela, acha majungu Fanya kilicho bora umaarufu utakufuata.