Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
😳😳😳😳
Kweli mzeeHapa JF kwa muda wa miaka mitano iliyopita nimeandika nyuzi za Intelijensia zaidi ya hamsini. Kama ni msomaji wangu mzoefu utaelewa kwamba, sijawahi ku-lose focus, siwezi ku-lose focus na haitokuja kutokea nika lose focus. NEVER.!!
Huu wali ndio kwanza tumeupalia mkaa.. subiri uive tukwangue ukoko.
Endelea kufuatilia.. kuna jambo jipya kubwa sana utalipata hapa.
Regards
Habib
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote hamna mwenye akili ya abramovich labda makonda shida akili yake ndogo sana hawezi mudu mikiki alivyopendwa angekuwa na akili kidogo angekuwa mbali sanaTumfuate kule whatsap!!!Lakini ile makala ya roman abramovich ilichora mwelekeo wa siasa za tanzania!!Ndo maana unaona ujasusi wa kiuchumi kwa matajiri wazawa hadi wanakufa kwa presha na matatizo mengine!!!!BADO NAMTAFUTA ROMAN ABRAMOVICH WETU HAPA NCHINI JE NI ROSTAM?MAKONDA?NANI? NA PUTIN WETU JE NI JIWE???NAJIULIZA BADO HADI SASA!!
Yaani wewe uko kama mimi make wangu anachukia maana hata kula naahirisha mpaka nimalizeDaaah hivi brother najaribu kuwaza unatumia mda kuandaa makala zako? Pia huwa nawazaga tena unafikiaga kutupa ujumbe gan kweny baadhi ya makala zako , mf " the other half"
Uko vizur sana brother hakika unakipaji cha hali ya juu M/ mungu kakujalia hongera sna , yaaan inafika wakati nikianza kusoma makala zako hadi. wife anachukia anajua kwa mda huo siwezi kumwelewa akiniongelemesha kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃😃CORONA ITAISHA HII NDUDE ITAKUWA BADO
duu jomba povu limekutoka hatari.utakuwa mtu wa kigoma!Na huwa wanaweka references. Unajua hilo Mkuu? Hawafanyi kama ni zao hiyo tunaita plagiarism. Jamaa anachofanya ni kama anasimulia riwaya ingawa kiuahalisia anataka pia ionekane ni habari ya kweli kabisa.sasa anakuwa katikati.mwishowe anajikuta kama naye ni mhusika anasimulia mambo ambayo ameshiriki kabisa.hapo ndo anapodanganya umma wa wanajamiiforums wanaojitambua.wale vilaza wao hawahangaiki kutafakari.wanasema tu hadithi njoo uongo njoo...utamu kolea.
neno "though" naona limeanza kukaa kichwani muha..kila epsode ya comments zako unalichomekeaLa msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.
Watu wengine KB moja ni shida mimi mwenyewe nimesilitika sanaBinafsi namwelewa sana The bold toka mwaka 2014 kwenye sakata la mchungaji mmoja, aliutendea haki uandishi wake.
Siwashangai sana wanaosema hawamwelewi kwa sababu hili jukwaa ni kawaida kuwa na mambo magumu mno.
duu jomba povu limekutoka hatari.utakuwa mtu wa kigoma!
neno "though" naona limeanza kukaa kichwani muha..kila epsode ya comments zako unalichomekea
Kweli inawezekanaTunaweza kua tunalalamika apa kumbe jamaa kapatwa na janga huko
Labda Corona imempenda sana yupo bize na kujifukiza.Tunaweza kua tunalalamika apa kumbe jamaa kapatwa na janga huko
Poleni niliwahi kujiunga huko mwisho wa mwezi ndio anakuwa active kweli kudai michango mkishamchangia anaanza kuwaringia kana kwamba anafanya msaada! Halafu dizain anapenda kubembelezwaHamna ndo alivyo hata kwenye group ndo hivi hivi karibia wiki hajatuma story
Tatizo mnapenda kutafuniwa na hamtaki kutoa chochote.
Tumeshawaambia njoeni kwenye group hamtaki, sasa kuleni jeuri yenu.