Kakimbia ndio tatizo la watunzi wetu wa kibongo wapo wengi hata kule bongo movies. Mfano movie inaenda vizuri ki mbembe mwisho wa movie utacheka ndio kama huyu mtunzi uchwara Sijui alikopi wapi huu ushuzi wake huyu jamaa namfananisha na Eric shigongo wa gazeti la uwazi enzi hizo alitupata baada ya kumshituki kwamba riwaya zake anakopi akanza kulia lia na gazeti lake likajifia akabadilisha Gia angani akajiingiza kwenye siasa hawa watunzi uchwara hapo bongo wapo wengi Sana ni bora ukae kimya hivyo hivyo atutaki story zako za kukopi
Mtunzi anapata iftar tulia atakujaKakimbia ndio tatizo la watunzi wetu wa kibongo wapo wengi hata kule bongo movies. Mfano movie inaenda vizuri ki mbembe mwisho wa movie utacheka ndio kama huyu mtunzi uchwara Sijui alikopi wapi huu ushuzi wake huyu jamaa namfananisha na Eric shigongo wa gazeti la uwazi enzi hizo alitupata baada ya kumshituki kwamba riwaya zake anakopi akanza kulia lia na gazeti lake likajifia akabadilisha Gia angani akajiingiza kwenye siasa hawa watunzi uchwara hapo bongo wapo wengi Sana ni bora ukae kimya hivyo hivyo atutaki story zako za kukopi
shigongo typeKakimbia ndio tatizo la watunzi wetu wa kibongo wapo wengi hata kule bongo movies. Mfano movie inaenda vizuri ki mbembe mwisho wa movie utacheka ndio kama huyu mtunzi uchwara Sijui alikopi wapi huu ushuzi wake huyu jamaa namfananisha na Eric shigongo wa gazeti la uwazi enzi hizo alitupata baada ya kumshituki kwamba riwaya zake anakopi akanza kulia lia na gazeti lake likajifia akabadilisha Gia angani akajiingiza kwenye siasa hawa watunzi uchwara hapo bongo wapo wengi Sana ni bora ukae kimya hivyo hivyo atutaki story zako za kukopi
Sijui shida nini, kwasababu hukulazimishwa wala hujalazimishwa kuufatilia uzi huu povu linatoka wapi? Tuache na uzi wetu we fanya yako mkuu, watu wengine bahna mnatakaga kuwa kero tu bila sababu.Kakimbia ndio tatizo la watunzi wetu wa kibongo wapo wengi hata kule bongo movies. Mfano movie inaenda vizuri ki mbembe mwisho wa movie utacheka ndio kama huyu mtunzi uchwara Sijui alikopi wapi huu ushuzi wake huyu jamaa namfananisha na Eric shigongo wa gazeti la uwazi enzi hizo alitupata baada ya kumshituki kwamba riwaya zake anakopi akanza kulia lia na gazeti lake likajifia akabadilisha Gia angani akajiingiza kwenye siasa hawa watunzi uchwara hapo bongo wapo wengi Sana ni bora ukae kimya hivyo hivyo atutaki story zako za kukopi
Huko kwenu corona imeisha?Huu uzi kipindi cha corona ndo ulikuwa unabamba lakini sa ivi ata usipoleta muendelezo poa tu
Kakimbia ndio tatizo la watunzi wetu wa kibongo wapo wengi hata kule bongo movies. Mfano movie inaenda vizuri ki mbembe mwisho wa movie utacheka ndio kama huyu mtunzi uchwara Sijui alikopi wapi huu ushuzi wake huyu jamaa namfananisha na Eric shigongo wa gazeti la uwazi enzi hizo alitupata baada ya kumshituki kwamba riwaya zake anakopi akanza kulia lia na gazeti lake likajifia akabadilisha Gia angani akajiingiza kwenye siasa hawa watunzi uchwara hapo bongo wapo wengi Sana ni bora ukae kimya hivyo hivyo atutaki story zako za kukopi
We muache afu wengi wa akili izi unakuta ajui ata nini maana ya hkl wanajikuta wataalamu akati dunda headMkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?
Wewe sio kilaza?.Thibitisha.Nadhani mwandishi alitegemea angekutana na vilaza tu humu wangekuwa wanamwimbia nyimbo za kusifu na kuabudu. Amekutana na changamoto kakimbia akawale kwenye group lake la whatsapp mjini hapa. Nlijua kifuatacho kilikuwa nini.