Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,912
😃😃😃duhhWewe ni mkewe?sasa kama umemkubali mume mmoja unataka unikubali na mimi ili iweje?mimi sihitaji kupiga hela kwa kuwadanganya vilaza.mi nawaelimisha bure.umaarufu wangu ni mkubwa nje ya Jamiiforums kwa jina langu halisi.humu naburudika na kuelimisha watu.
Wajinga siku zote ndio waliwao.kama unavyojitanabaisha hapa.unaliwa kila sehemu kwa ubwege wako....namsaidia mwandishi asidhani humu mmejaa nyie tu vilaza.baadaye anawaunga kwenye group anawatoza pesa....😁😁😁😁 Na mnaliwa kimapenzi pia.
😄😄😄😄Majani ya kidato cha nne
😂😂Njoo kwenye group, story inaendelea kama kawaida.
Huku changanyikeni tunawapa kidogo kidogo.
民在不为 民不民不Лодно!
民在不为 民不民不
😃😃😃Tutaharibu uzi wa watu wataanza kutupa makavu
😁😁😁weka mzeeLeo jioni baada ya iftar nitaweka sehemu ya 11 inshallah
Umenasa hatimaeAisee niunge tu katika group lako la WhatsApp maana hapa naona nachelewa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenasa hatimae
Aisee niunge tu katika group lako la WhatsApp maana hapa naona nachelewa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipanga nisicomment kwenye huu uzi hata maramoja mpaka unaish lakini sasa inabidi tu. Mkuu the bold sijui kasusa kwa wale wachache waliomwambia hawaelewi issues za deep state?! 😌Aisee niunge tu katika group lako la WhatsApp maana hapa naona nachelewa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makala yako ina hoja nzito za kufikirisha iwapo COVID-19 ni ugonjwa kama magonjwa mengine kutokana na virusi (mafua, surua, UKIMWI, nk) au ni moja ya silaha za kibailojia? Hata HIV pia imezungumziwa sana na hadi sasa chanjo haijapatikana.