Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,374
- 5,588
aaaah jkillar nikajua ulishakufa maana sioni nondo zako kabisa majukwaan hasa kweny uzi wa iPhone daaa nimemic zile nondo zako kinyama kamandaTo the moon and back
Blackberry
aaaah jkillar nikajua ulishakufa maana sioni nondo zako kabisa majukwaan hasa kweny uzi wa iPhone daaa nimemic zile nondo zako kinyama kamandaTo the moon and back
Blackberry
aaaah jkillar nikajua ulishakufa maana sioni nondo zako kabisa majukwaan hasa kweny uzi wa iPhone daaa nimemic zile nondo zako kinyama kamanda
umekuwa mvivu sana Kuandika saizKarantin
Blackberry
Yaan hiki ni *KIDOKEZO* tu kma alivosema ila tumefikshwa huku. Tumezunguka Marekani kwa CIA, NSA na idara zote zaulinzi, tumpita mashariki yakati yote mpaka morogoro tumefika
Jamaa ametuchoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mkuu bold umeushangaza umma kubadilisha mtiririko wa story, kisa vilaza wachache wanalialia, mbona tunaielewa vizuri story,umeamua kuwafurahisha vilaza huku sisi tunaoelewa ukituacha kwenye oblivion,hanna mtu amelazimishwa kusoma hii makala kwahiyo kama haelewi aende kusoma thread ya kula tunda kimasihara maana ndio thread ya uwezo wake wa kufikiri.
Hao jamaa wamenichekesha sana yani
Sawa sawa chief naisubiri hapa mkuu
Nilichomgundua Muandishi ni muoga anatamani atujuze mengi Lakin anaogopa umediss mambo ya Uganda 🇺🇬 watu wasiojulikana wakakufwa wakakuambia
kwa usalama wako na usamala wa familia yako achana na hizi Habari zinazohusiana na nchi za Africa mashariki . Kuhusu hii mada hii watu walichovutiwa ni covid-19 sio deep state tatizo uwoga ndio unakusumbua unazunguka Sana China na marekani ni mbali wewe funguka nenda kwenye points na kichwa cha Habari hapo juu usiwe unazunguka zunguka pia icho ndicho kilichowachosha watu kama unavyodai. Ili ndio tatizo la waandishi wetu wa Tanzania mfano Kama bongo movies awajui kumalizia mada
"Nikaushie"Unalazimishe nikunotice?? Hayo mambo tunayaona kwa wanawake wabar. sitak mazoea namapunga nikaushie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu umenena, hawa ndio waalibifu wa wakufanya watu tukose kupata vitu adhimuTumia sasa kama Fursa nenda katafute source zake usome na wewe ufungue group la WhatsApp ...punguza chuki mkuu huyu jamaa kwa anachofanya wewe huwezi ungeweza tungekua tunakujua pia
Mkuu utakapo mtumia Baba Swalehe usisite kunitag please.
Huwa nawaambia watu, logically there is clere diference btn knowing path and walking through a path.si jambo rahisi kufanya anachofanya mwandishiVichwa panzi wameshazingua
Mkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?