The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,152
- 51,038
Kama yeye hajui basi wewe unayejua tuelezee hapa.Wewe unajua hiyo chanjo ina nini ndani?
Have you studied it?
Unajua madhara yake ya muda mfupi na ya muda mrefu?
Kama yeye hajui basi wewe unayejua tuelezee hapa.Wewe unajua hiyo chanjo ina nini ndani?
Have you studied it?
Unajua madhara yake ya muda mfupi na ya muda mrefu?
Umejuaje kama najua?Kama yeye hajui basi wewe unayejua tuelezee hapa.
Sasa kama hujui inakuaje una muhukumu mtu kwa kumwambia kua "Hajui kitu?"Umejuaje kama najua?
Fikra kama hizi, jiandae kuwa mtumwa Milele.Hapo kwenye kutengeneza ya kwetu, wewe umetengeneza nini? Au sisi kama taifa nimewahi kutengeneza dawa gani zaidi ya Ngetwa?
Kumbe uliamua kuja kwenye hii mada kwa lengo la kubishana tu sio?Kuhukumu maana yake nini?
To be frank, wewe jamaa ni mjingaBado kuna wasaliti wanaodanganywa kwa kipande cha mkate.
Yaani unataka kudhoofisha watetezi wa wananchi.
Eti:- uanze kuchanja wanajeshi tutalindwa na nani kama chanjo ikienda vibaya!?
Eti:- uchanje viongozi wa dini huu ni ushetani wa yule mnyama 666. Viongozi wa dini ndio wanaoleta amani katika nchi kuwaua viongozi wa dini ni kuondoa amani nchini. Nchi inakuwa chini ya ulizi wa UN na mapigano hayatakuwa na mwisho. Huu ni ushetani
Eti:- uchanje wahudumu wa wafya. Maana yake wahudumu wote watakufa hatutakuwa na wahudumu wa afya. Nchi itakuwa maskini wa kutupwa. Magonjwa yataongezeka, NGO zitatamalaki kutoa misaada ya chakula. Tutakuwa nchi ya ovyo duniani.
Bill Gates kaachana na mke wake ni dalili tosha kuwa Bill Gates anachokifanya ni ushetani. Mke wake kaamua kuachana na ushetani huo.
Tukatae kuwa sehemu ya Bill Gate plan kama mke wake walivyokataa.
Siku ukila nauli ndo utajua kuwa kumbe hata kwa mguu unaeza fika na gari utaliona kuwa unapoteza hela yako bureDawa zote mnachukua nje kwanini msitengeneze ARV zenu na chanjo zenu za kifua kikuu ,tb,polio badala mnazikimbilia za hao mabeberu ..Kama hizi dawa na chanjo mmeshindwa kutengeneza kwa ukilaza wenu mtatwngeneza chanzo za Corona labda mchanganye muarubaini na mitishamba ndio uwezo wenu
Dawa karibia zote pharmacy na mahospitalini ni za kutoka nje hlafu leo hii unataka kujitia kiburi utengeneze chanjo ya ugonjwa sumbufu wa Corona?
Umenena vyema. Yaani Kamati ya COVID 19 inashauri tuanze kuchanja wanajeshi chanjo ya majaribio. Je, chanjo ikienda kombo kwao. Taifa liangamie. Wataalamu wa afya nao wakidhurika NGO zitamalaki kutuletea wa kututibu n.k. Kweli, ndio maana Maprofesa na wasomi wengine wamadhihakiwa siku hizi.Bado kuna wasaliti wanaodanganywa kwa kipande cha mkate.
Yaani unataka kudhoofisha watetezi wa wananchi.
Eti:- uanze kuchanja wanajeshi tutalindwa na nani kama chanjo ikienda vibaya!?
Eti:- uchanje viongozi wa dini huu ni ushetani wa yule mnyama 666. Viongozi wa dini ndio wanaoleta amani katika nchi kuwaua viongozi wa dini ni kuondoa amani nchini. Nchi inakuwa chini ya ulizi wa UN na mapigano hayatakuwa na mwisho. Huu ni ushetani
Eti:- uchanje wahudumu wa wafya. Maana yake wahudumu wote watakufa hatutakuwa na wahudumu wa afya. Nchi itakuwa maskini wa kutupwa. Magonjwa yataongezeka, NGO zitatamalaki kutoa misaada ya chakula. Tutakuwa nchi ya ovyo duniani.
Bill Gates kaachana na mke wake ni dalili tosha kuwa Bill Gates anachokifanya ni ushetani. Mke wake kaamua kuachana na ushetani huo.
Tukatae kuwa sehemu ya Bill Gate plan kama mke wake walivyokataa.
Mzee huwezi kunipunguzia chochote. But ukweli ndio huo.To be frank, wewe jamaa ni mjinga
Hiyo ripoti ni magumashi tupu haina ushahidi wowote wenye mashiko kufikia uamuzi wa kushauri serikali kujiunga na kampuni ya 'COVAX' ili ifaidike na msaada wa dawa za chanjo dhidi ya UVIKO.Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.
Sijawahi kua na Imani na huyu jamaa anajiita Bill.Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA
Sina uhakika kama hiyo ni tume kwa maana uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria. Je, hiyo kamati ilikuwa na mjumbe Jaji ili uamuzi kutokana na walichokifanya kikubalike kisheria. Kama wajumbe walikuwa ni madaktari na wanasiasa kutoka wizara ya mambo ya nje hapo limezalishwa balaa la kufa mtu. Eti umdunge chanjo tata ya UVIKO mwanajeshi, mfanyakazi wa afya, kizembekizembe tu hivyo?Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.
Watu tuna kalili sana. Hatukui kua technologia ina badirika kila siku.Mtu anasema "inachukua miaka mitano kutengeneza chanjo' utadhani na yeye ashawahi kutengeneza chanjo yoyote na kuweka hiyo standard..
Rubbish thread.
Mwenda zake ame wa brain wash sana watanzaniaWamuuwe mtu mweusi ili iweje?
Population duniani ndo biashara yenyewe.
Acheni conspiracy za kishamba wazee.
Mzee kwa habari ya shule wala huwezi hata kunigusa. Cha msingi hapa tunaongelea chanjo ya Bill Gates na Mke wake. Tujikite kuongelea hapo. Mipasho ya akina Khadija Koppa peleka Zanzibar.
Hapa tunaongea serious issue mzee.
Mzee mipasho waachie akina khadija koppa.
Usitupigie kelele za akina abber luti