Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,664
- 59,734
- Thread starter
- #61
Utafiti wa chanjo hizo ulikuwaje!? Hivi unajua huko Naijeria walichanjwa na magonjwa yamekuwa mengi!?Bwana Kivumishi Elekezi, mimi nataka kukuuliza swali.
Wewe hapo umechanjwa Chanjo ya Polio na Surua?
kwanini wasilete chanjo ebora!?
Mzee miaka ya 1961 population duniani ilikuwaje!? Hiyo miaka walikuwepo mashetani hawa akina Bill Gates!?
Je, hiyo miaka DNA Technology ilikuwaje!? Je, walikuwa wanaikua GNOME ya binadamu kama sasa!?
Jibu maswali yangu.