COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

Bwana Kivumishi Elekezi, mimi nataka kukuuliza swali.

Wewe hapo umechanjwa Chanjo ya Polio na Surua?
Utafiti wa chanjo hizo ulikuwaje!? Hivi unajua huko Naijeria walichanjwa na magonjwa yamekuwa mengi!?
kwanini wasilete chanjo ebora!?




Mzee miaka ya 1961 population duniani ilikuwaje!? Hiyo miaka walikuwepo mashetani hawa akina Bill Gates!?

Je, hiyo miaka DNA Technology ilikuwaje!? Je, walikuwa wanaikua GNOME ya binadamu kama sasa!?

Jibu maswali yangu.
 
Utafiti wa chanjo hizo ulikuwaje!? Hivi unajua huko Naijeria walichanjwa na magonjwa yamekuwa mengi!?
kwanini wasilete chanjo ebora!?




Mzee miaka ya 1961 population duniani ilikuwaje!? Hiyo miaka walikuwepo mashetani hawa akina Bill Gates!?

Je, hiyo miaka DNA Technology ilikuwaje!? Je, walikuwa wanaikua GNOME ya binadamu kama sasa!?

Jibu maswali yangu.
Sasa nijibu maswali yako wakati wewe umekuta swali langu hapo na hutaki kulijibu! Ebo!!!
 
Unajua kuhusu ukoloni mambo leo au ulikimbia shule?
Inaonesha hajui kuhusu ukoloni mambo leo. Ingia Google tafuta Neo colonialism usome
Upo unabweka tu JF huku umevimbiwa kiporo cha ugali na simu yako ya Itel. Simu yenyewe unatumia Itel unafikiri utakuwa na akili ya kujua ukoloni mamboleo (Neo Colonialism)
Mzee kwa habari ya shule wala huwezi hata kunigusa. Cha msingi hapa tunaongelea chanjo ya Bill Gates na Mke wake. Tujikite kuongelea hapo. Mipasho ya akina Khadija Koppa peleka Zanzibar.

Hapa tunaongea serious issue mzee.
 
Sasa nijibu maswali yako wakati wewe umekuta swali hapo na hutaki kulijibu! Ebo!!!
Swali gani tena mwanangu!? Unaobgela Surua na Polio!?
Kwahiyo umesusa kujibu swali langu!?
Kwa mantiki hiyo wewe ni hopeless. Kwenye mjadala tunajadilia usitake ku dictate mjadala eti ujibiwa unavyotaka.

Hapa siyo Nyumbani kwako mzee. Tunajadili kisomi.
 
Swali gani tena mwanangu!? Unaobgela Surua na Polio!?
Kwahiyo umesusa kujibu swali langu!?
Kwa mantiki hiyo wewe ni hopeless. Kwenye mjadala tunajadilia usitake ku dictate mjadala eti ujibiwa unavyotaka.

Hapa siyo Nyumbani kwako mzee. Tunajadili kisomi.
Wewe umequote swali langu. Maana yake, mimi ndiye wa kwanza kuuliza.

Sasa unaqoute swali langu,badala ya kulijibu hilo swali unauliza swali lako hapohapo halafu unataka mimi nikujibu.

Umeona shida gani kujibu swali langu ambalo ndilo la kwanza kuulizwa? Au unaliogopa?
 
wazungu wa sasahivi sio kama wale wa zamani , na ukitaka kujua hawako real hata huyo engineer mwenyewe Billgate kaachana na mkewe, sembue genuinite of the Vaccine , kwa hili napata mashaka kidogo, hapa naanza kuona mwendazake alikua anamachale flani hivi ya kiafrika, sio kila kitu kikija ukubali tu, kama kitu kiko kwenye majaribio kwanini tunakimbilia
 
C'mon... Usikimbie maswali.

JIBU NILICHOKUULIZA kwa hoja kama unaamini unachokitetea.

Nimekuuliza, kama wazungu wanataka kutuua (kama mlivyoaminishwa), Kwanini wasingetuua kwenye Chanjo ya Polio,Surua,Tb,Homa ya manjano?

Toka tumepata uhuru 1961,Kila mtoto anayezaliwa hapa TZ anachanjwa chanjo ya Polio na Surua(hata wewe ulichanjwa),Kama ni kutuua, kwa nini hawakutuua kwenye hizo chanjo then wakae wasubirie kutuua kwenye chanjo ya corona ya mwaka 2020/2021?

Jibu haya maswali yangu.
Aliounda chanjo ya Polio na surua mission na vision yake ilikuwa kuokoa maisha ya infants! Hakukuwa na mrengo wa kibiashara katika hilo na waliotekeleza hilo sio akina Bill Gates!
 
wazungu wa sasahivi sio kama wale wa zamani , na ukitaka kujua hawako real hata huyo engineer mwenyewe Billgate kaachana na mkewe, sembue genuinite of the Vaccine , kwa hili napata mashaka kidogo, hapa naanza kuona mwendazake alikua anamachale flani hivi ya kiafrika, sio kila kitu kikija ukubali tu, kama kitu kiko kwenye majaribio kwanini tunakimbilia
Exactly, hivi ndivyo ambavyo nimewajibu alietengeneza hio chanjo lengo lake linajulikana ni kupiga hela so he doesnt give a fvck kama itawadhuru au la! Imeonesha kudhuru watu kwa asilimia 30% anaetaka kuwa scape goat atumie tu as long as siumwi sintotumia ng’oo ntabaki matumbi tu siendi hata kenya
 
Wewe umequote swali langu. Maana yake, mimi ndiye wa kwanza kuuliza.

Sasa unaqoute swali langu,badala ya kulijibu hilo swali unauliza swali lako hapohapo halafu unataka mimi nikujibu.

Umeona shida gani kujibu swali langu ambalo ndilo la kwanza kuulizwa? Au unaliogopa?
Mzee acha udikteta kwenye mijadala. Unapouliza swali usimchagulie mwingine namna ya kukujibu. Huo ni utoto.
Maswali mengine yanajibiwa kwa maswali. Wakati mwingine kutaka kujua je unakielewa unachouliza!?

Wakati mwingine unaropoka tu kumbe hujui hata unachouliza.

Ukiweza jibu kama umeshindwa funga domo.
Hata hivyo tunaongelea Chanjo ya bwana Bill Gates na mke wake.
 
Mzee acha udikteta kwenye mijadala. Unapouliza swali usimchagulie mwingine namna ya kukujibu. Huo ni utoto.
Maswali mengine yanajibiwa kwa maswali. Wakati mwingine kutaka kujua je unakielewa unachouliza!?

Wakati mwingine unaropoka tu kumbe hujui hata unachouliza.

Ukiweza jibu kama umeshindwa funga domo.
Hata hivyo tunaongelea Chanjo ya bwana Bill Gates na mke wake.
Pita hivi
 
images (1).jpg
 
Aliounda chanjo ya Polio na surua mission na vision yake ilikuwa kuokoa maisha ya infants! Hakukuwa na mrengo wa kibiashara katika hilo na waliotekeleza hilo sio akina Bill Gates!
Aliyeunda chanjo ya Polio na Surua si mzungu huyohuyo anayetuchukia watu weusi na anataka kutuua?

Sasa iweje awe na mission nzuri ya kuokoa maisha ya infants wa kiafrika kwa Surua, halafu mzungu huyohuyo awe na mission mbaya ya kuwaua waafrika kwa korona?

Does this even make sense to you?

Halafu, tukija kwenye swala la mzungu anayeitwa Bill Gates,Mbona dawa za malaria na vyandarua vya Bill Gates tunatumia hapa Tz toka muda mrefu na hamjawahi kupiga kelele?

Billgates akiwapa vyandarua na dawa za malaria hapa Tz mnatumia kiroho safi wala hamtoi povu,ila akiwapa Chanjo ya Korona anakuwa anataka kuwaua.

Nyie watu hivi mnatumia akili zenu kureason au akili mmeweka kwenye kabati?
 
Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.

Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.

Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?

Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.

Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.

Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.

Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.

Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.

HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.

Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.

WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.
Endelea kutufumbua macho mkuu wangu!! Appriciated for that... Natamani watz wote tuelewe hii issue imekaa kimaslai zaidi!! Afu hapo kwa jeshi ndo wamearibu kabisaaa, thanks mkuu
 
Bado kuna wasaliti wanaodanganywa kwa kipande cha mkate.
Yaani unataka kudhoofisha watetezi wa wananchi.
Eti:- uanze kuchanja wanajeshi tutalindwa na nani kama chanjo ikienda vibaya!?

Eti:- uchanje viongozi wa dini huu ni ushetani wa yule mnyama 666. Viongozi wa dini ndio wanaoleta amani katika nchi kuwaua viongozi wa dini ni kuondoa amani nchini. Nchi inakuwa chini ya ulizi wa UN na mapigano hayatakuwa na mwisho. Huu ni ushetani

Eti:- uchanje wahudumu wa wafya. Maana yake wahudumu wote watakufa hatutakuwa na wahudumu wa afya. Nchi itakuwa maskini wa kutupwa. Magonjwa yataongezeka, NGO zitatamalaki kutoa misaada ya chakula. Tutakuwa nchi ya ovyo duniani.


Bill Gates kaachana na mke wake ni dalili tosha kuwa Bill Gates anachokifanya ni ushetani. Mke wake kaamua kuachana na ushetani huo.

Tukatae kuwa sehemu ya Bill Gate plan kama mke wake walivyokataa.
 
Mtu mweusi aangamizwe na nani? Na kwa nini?

Hivi mtu mweusi ni tishio kwa nani duniani mpaka atake kuangamizwa?
Mbona mnakuwa wajinga hivi nyie watu????

Hivi hao wazungu wangetaka kuwaua watu weusi (kama mnavyoaminishwa) walikuwa na haja gani kusubiri chanjo ya korona ya mwaka 2020/2021?

Kama wazungu wangetaka kutuua, kwa nini wasingetuua kwenye chanjo ya Polio (ambayo KILA mtoto hapa Tz amechanjwa,including wewe hapo),Chanjo ya Surua,Chanjo ya Kifua kikuu etc...?

Hebu tumieni akili zenu kureason, Msiwe wapumbavu kiasi hiki
Na cha ajabu corona imetokea china na kusambaa nchi nyingine ila Sasa hivi tunaambiwa imetengenezwa na mabeberu.
 
Ivi hawa walioleta hili janga la corona wapo wapi? Maana hawa mbwa ndo wametufikisha hapa tulipo.... Ili takiwa wapitikane kwanza wanyongwe hadharani ndo tuangaike na haya machanjo
 
Back
Top Bottom