Nge6
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 286
- 234
Jikite katika hoja yake mkuu!Dawa zote mnachukua nje kwanini msitengeneze ARV zenu na chanjo zenu za kifua kikuu ,tb,polio badala mnazikimbilia za hao mabeberu ..Kama hizi dawa na chanjo mmeshindwa kutengeneza kwa ukilaza wenu mtatwngeneza chanzo za Corona labda mchanganye muarubaini na mitishamba ndio uwezo wenu
Dawa karibia zote pharmacy na mahospitalini ni za kutoka nje hlafu leo hii unataka kujitia kiburi utengeneze chanjo ya ugonjwa sumbufu wa Corona?
Kwanini tuulingize taifa zima katika jaribio hili hatarishi hasa walinzi wetu hawa?