papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Naomba mwenye kuelewa course hii anifahamishe utaratibu wake chuoni na malipo yake na baada ya kumaliza mafunzo hayao unakuwa mwalimu wa shule zipi za msingi au sekondari, na vipi ugumu au urahisi wa ajira pia na upatikanaji wa degree unapo maliza stashahada,