Clark cian
Senior Member
- Jul 3, 2021
- 153
- 139
- Thread starter
- #21
maneno yako hayakuweza kufanikiwa namshukuru mungu wanguAchana hiyo course huwezi chaguliwa,sio kwamba huna vigezo Bali competition itakutoa out.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maneno yako hayakuweza kufanikiwa namshukuru mungu wanguAchana hiyo course huwezi chaguliwa,sio kwamba huna vigezo Bali competition itakutoa out.
SUA si mchezo, kijana ajiandae. Tena hilo liBVM halihitaji masihara hata kdgHyo kozi ni heavy kijana,, ukija hapa SUA sahau kula bata kabisa japo kozi zote hapa especially Sciences ni ngumu ila hiyo ni balaa kama ulizoea kulala masaa zaid ya 8 basi ukija huku inabidi ulale chini ya 4...
Kila kila kheri, karibu SUA but kumbuka hapa C yetu inaanza na 50+
Kuna BVM na kozi za engineering, hizi ndio kozi zinazo kimbiza pale SUA.SUA si mchezo, kijana ajiandae. Tena hilo liBVM halihitaji masihara hata kdg
acha uongo hujapata,unajifariji tumaneno yako hayakuweza kufanikiwa namshukuru mungu wangu
😂😁😄😅 we jitose tu achana na watu wa humuBro na mm nataka nipigee vp mzikiii
Njoo tuuh tupo kibao sanaBro na mm nataka nipigee vp mzikiii
Sorry bro tunawezea badilishana nba unipe mwongozo kidg kuhusu sua sorry kwa usumbufuNjoo tuuh tupo kibao sana