Course ipi nzuri Kati ya hizi, katika usomaji wake, na ajira

Kufanya kazi ya kufundisha watoto wenye mahitaji maalumu ni changamoto hasa. Ulemavu wao ni changamoto kwa mtu anayesomea hiyo kazi si kwa sababu ana wito wa hiyo kazi bali yeye masilahi kwake ndiyo muhimu. Aina ya wanafunzi ni tofauti na wa shule za kawaida kwa hiyo unatakiwa ujitoe zaidi.
Kuna sehemu nimeona Mwl nae kaathirika baada ya kufundisha. Yaani naye anahitaji mahitaji maalumu
 
Mwenzio amesema anataka asome apate ajira wewe unasema akaongeze maarifa utopolo mtupu, mwenzio hana shida na maarifa ana shida na kazi(ajira) apate pesa.
Habari za kusema recruited kila siku ni kumpamba mtu mwisho wa siku anaanza kulia lia nafasi 1 watu 100.

N:B usisome kupoteza pesa ila hali huna pesa za kukusaidia baada ya kusoma utaitwa msomi uchwara na degree yako mtaani kama Msukuma anavyo watusi watu wenye PhD zao bungeni
Hakuna sehemu utakwenda ukute uwiano wa nafasi na walioapply unaridhisha, swala la msingi ni kukomaa maisha ni mapambano.
 
Asante kwa ushauri,ila uko VETA nilishapita kitambo sna,nikapata ujuzi wa kurekebisha electrical equipment,zilizoharbka,now ni fundi
Nenda hatua ya juu zaidi katika taaluma yako ya ufundi kama unahisi kupungukiwa. achana na huko unakotaka. utapoteza muda wako bure.
 
Kasome course yeyote lakini muda wote uwe bize online kutafuta kitu cha kufanya baada ya kumaliza.achana na maswala ya GPA
Mm niliingia darasani first year tu miaka mingine yote nikikua siingii
 
Back
Top Bottom