Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm ndiyo kwanza nazisikia leo, ngoja wanakuja kukupa msaada!1,. Bed special needs
2, Bed psychology
3,Bed in policy planning & management,
Sasa ivi Hali ya ajira Ni ngumu we Soma unachokipenda usije ukalaumu baadae1,. Bed special needs
2, Bed psychology
3,Bed in policy planning & management,
Bed special needs. Lakini uwe na wito siyo unaangalia mshahara tumm ndiyo kwanza nazisikia leo, ngoja wanakuja kukupa msaada!
Wengi wanaipenda hii kwa hiyo competition ni kubwa na hata kupata kazi.3 ipo bomba ukifaulu vizuri utajikuta Wizarani au TET
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
acha kukatisha watu tamaa, pamoja na kupata ajira lakini pia mtu unaongeza maarifa, swala la ajira ni kwa neema tu. Kwani kila uchwao watu wapya wanakuwa rucruited katika halmashauri na taasisi mbalimbali tu. Hato huko Tanesco unaposema wewe ni mbombongafu vilevile. Acha watu wasome mpaka kifo.Hivi kumbe bado wanawaza kusoma waje kuajiliwa kwa awamu hii ? Pole sana kasome VETA umeme utapata ajira chap za TANESCO kuliko hizo degree
Kufanya kazi ya kufundisha watoto wenye mahitaji maalumu ni changamoto hasa. Ulemavu wao ni changamoto kwa mtu anayesomea hiyo kazi si kwa sababu ana wito wa hiyo kazi bali yeye masilahi kwake ndiyo muhimu. Aina ya wanafunzi ni tofauti na wa shule za kawaida kwa hiyo unatakiwa ujitoe zaidi.Ndo unamaanisha nini unaposema niwe na wito,au kazi yake ngumu
We una mawazo mazuri sna ya kushauri mtu, asanteeacha kukatisha watu tamaa, pamoja na kupata ajira lakini pia mtu unaongeza maarifa, swala la ajira ni kwa neema tu. Kwani kila uchwao watu wapya wanakuwa rucruited katika halmashauri na taasisi mbalimbali tu. Hato huko Tanesco unaposema wewe ni mbombongafu vilevile. Acha watu wasome mpaka kifo.
We una mawazo mazuri sna ya kushauri mtu, asantee
Asante kwa ushauriKufanya kazi ya kufundisha watoto wenye mahitaji maalumu ni changamoto hasa. Ulemavu wao ni changamoto kwa mtu anayesomea hiyo kazi si kwa sababu ana wito wa hiyo kazi bali yeye masilahi kwake ndiyo muhimu. Aina ya wanafunzi ni tofauti na wa shule za kawaida kwa hiyo unatakiwa ujitoe zaidi.
Mwenzio amesema anataka asome apate ajira wewe unasema akaongeze maarifa utopolo mtupu, mwenzio hana shida na maarifa ana shida na kazi(ajira) apate pesa.acha kukatisha watu tamaa, pamoja na kupata ajira lakini pia mtu unaongeza maarifa, swala la ajira ni kwa neema tu. Kwani kila uchwao watu wapya wanakuwa rucruited katika halmashauri na taasisi mbalimbali tu. Hato huko Tanesco unaposema wewe ni mbombongafu vilevile. Acha watu wasome mpaka kifo.
Asante kwa mawazo yko mmi naenda kusoma kuongeza maarifa maana tiar ajira ninayo,niliuliza nikilenga kwa baadae nkiamua kubadilisha mazingra ya kufanya kazi ipi Kati ya hzo naweza fanikiwa kubadilisha kwa wepesiMwenzio amesema anataka asome apate ajira wewe unasema akaongeze maarifa utopolo mtupu, mwenzio hana shida na maarifa ana shida na kazi(ajira) apate pesa.
Habari za kusema recruited kila siku ni kumpamba mtu mwisho wa siku anaanza kulia lia nafasi 1 watu 100.
N:B usisome kupoteza pesa ila hali huna pesa za kukusaidia baada ya kusoma utaitwa msomi uchwara na degree yako mtaani kama Msukuma anavyo watusi watu wenye PhD zao bungeni
Ungesema hivyo ajira ninayo ila nataka kuongezea maarifa na yenye uhitaji sanaAsante kwa mawazo yko mmi naenda kusoma kuongeza maarifa maana tiar ajira ninayo,niliuliza nikilenga kwa baadae nkiamua kubadilisha mazingra ya kufanya kazi ipi Kati ya hzo naweza fanikiwa kubadilisha kwa wepesi