Mtanzanyika
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 370
- 424
Wakuu Salaamu..!!
Ningependa kufahamishwa course gani kati ya nitakazozitaja hapa chini ni nzuri katika Chuo Cha kilimo cha Sokoine - SUA na pia upatikanaji wa ajira kwa course hizo. Kozi zenyewe ni:
1. Bsc in Biotechnology and Laboratory science.
2. Bsc in Family and consumer studies.
3. Bsc in Food science and Technology.
4. Bsc in Human nutrition
Karibuni kwa mawazo yenu kuhusu ubora wa kozi tajwa hapo juu na kuhusu upatikanaji wa ajira baada ya kumaliza masomo.
Ningependa kufahamishwa course gani kati ya nitakazozitaja hapa chini ni nzuri katika Chuo Cha kilimo cha Sokoine - SUA na pia upatikanaji wa ajira kwa course hizo. Kozi zenyewe ni:
1. Bsc in Biotechnology and Laboratory science.
2. Bsc in Family and consumer studies.
3. Bsc in Food science and Technology.
4. Bsc in Human nutrition
Karibuni kwa mawazo yenu kuhusu ubora wa kozi tajwa hapo juu na kuhusu upatikanaji wa ajira baada ya kumaliza masomo.