Kaka,kwa course zote hizo mbili...kuna watu wa proc. & llb waliotoboa...bila kusahau kuna wanaopigika mpaka sasa. Chagua yenye thaman kwako.IPi ina wigo mpana katika kuajiriwa na kujiajiri?? Pia naombeni ushauri nisome IPI kati ya hizo kozi pale chuo cha ushirika moshi(MoCU)
Kasome law.IPi ina wigo mpana katika kuajiriwa na kujiajiri?? Pia naombeni ushauri nisome IPI kati ya hizo kozi pale chuo cha ushirika moshi(MoCU)
Iko poa nenda kasomeWakuu HRM Nayo imekaaje usawa huu
Chuo mocu