Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 405
- 427
Bila kujali vyama, bila kujali itikadi ningeambiwa mimi nipendekeze couple ya rais na waziri mkuu baada ya muda wa muheshimiwa kumalizika, bila shaka yoyote ningeyaweka haya majembe
Nayakubali sana haya majembe, b'se mimi ni muumini wa kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi na hawa washikaji kwa analysis zangu nilizofanya wana quality zote za kuukimbiza uchumi mpaka wakenya wakaomba tuwasubiri kidogo.
Lakini ukiachana na uchumi jamaa wana hekima sana na utu, vitu ambavyo kiongozi yoyote ili awe mzuri lazima awe navyo.
Ni mtazamo wangu lakini naomba muweke couples zenu za president na pm wa 2025 wakuu.
Note: sio lazima wawe wa chama kimoja, na wala sio lazima awe mwanasiasa.
Love tz
Nayakubali sana haya majembe, b'se mimi ni muumini wa kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi na hawa washikaji kwa analysis zangu nilizofanya wana quality zote za kuukimbiza uchumi mpaka wakenya wakaomba tuwasubiri kidogo.
Lakini ukiachana na uchumi jamaa wana hekima sana na utu, vitu ambavyo kiongozi yoyote ili awe mzuri lazima awe navyo.
Ni mtazamo wangu lakini naomba muweke couples zenu za president na pm wa 2025 wakuu.
Note: sio lazima wawe wa chama kimoja, na wala sio lazima awe mwanasiasa.
Love tz