THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,143
- 12,542
Without a further ado,INATOKA AU HAITOKI??
Kesho tunaendeleza zile harakati za kutoskia blah blah na fake promises za mafisadi na wale waliodhamiria kutukata mapembe,
Baada ya kukamatwa kwa wanaharakati kadhaa akiwemo KATIBU WA VIJANA WA CUF NDUGU KHATANI KHATANI na Mbunge wa Mtwara Mjini Ndugu ASNEIN MURJI kwa tuhuma za uchochez na kusababisha vurugu za gesi,wananchi wa kusini na viunga vyake kama newala,tandahimba na mtwara vijijin tunaendeleza harakati zetu za kuiasa serikali kuwaachia viongoz hao kwa njia yetu ile ile ya PASSIVE RESISTANCE NA PEACEFUL DEMOSTRATIONS KUITANGAZIA TANZANIA NA DUNIA NZIMA...
WATU WAMEENDELEA NA UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA NA MAHITAJI YAO YOTE KWA AJILI YA KUJIANDAA NA HALI YA TAHARUKI KWA SIKU YA KESHO NA KUENDELEA...
IKUMBUKWE YA KWAMBA KWA SASA MTWARA PAKO CHINI YA UANGALIZI WA JESHI LA WANANCHI LA TANZANIA,NA WANANCHI WAMEONEKANA KULIFAHAM HILO NA KUENDELEA NA MSIMAMO WAO KWA KUUNGANISHA NGUVU ILI KUJUA HATIMA YA VIONGOZ WAO...
STAY TUNED..!
HAPA HAPA JAMII FORUM NDIPO TUTAPOHABARISHANA.
Kesho tunaendeleza zile harakati za kutoskia blah blah na fake promises za mafisadi na wale waliodhamiria kutukata mapembe,
Baada ya kukamatwa kwa wanaharakati kadhaa akiwemo KATIBU WA VIJANA WA CUF NDUGU KHATANI KHATANI na Mbunge wa Mtwara Mjini Ndugu ASNEIN MURJI kwa tuhuma za uchochez na kusababisha vurugu za gesi,wananchi wa kusini na viunga vyake kama newala,tandahimba na mtwara vijijin tunaendeleza harakati zetu za kuiasa serikali kuwaachia viongoz hao kwa njia yetu ile ile ya PASSIVE RESISTANCE NA PEACEFUL DEMOSTRATIONS KUITANGAZIA TANZANIA NA DUNIA NZIMA...
WATU WAMEENDELEA NA UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA NA MAHITAJI YAO YOTE KWA AJILI YA KUJIANDAA NA HALI YA TAHARUKI KWA SIKU YA KESHO NA KUENDELEA...
IKUMBUKWE YA KWAMBA KWA SASA MTWARA PAKO CHINI YA UANGALIZI WA JESHI LA WANANCHI LA TANZANIA,NA WANANCHI WAMEONEKANA KULIFAHAM HILO NA KUENDELEA NA MSIMAMO WAO KWA KUUNGANISHA NGUVU ILI KUJUA HATIMA YA VIONGOZ WAO...
STAY TUNED..!
HAPA HAPA JAMII FORUM NDIPO TUTAPOHABARISHANA.