babu ibrahim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 253
- 108
Watu na maakili yako bwana syo sisi
haa haa huku nyeusi inaitwa nyeupe na nyeupe inaitwa nyeusi.....Yupo anabukua kesho ana pepa ,si unajua huku kwetu ukiwa mtoto wa mkubwa Udom unasoma Degree wakati path aliyopitia Jesika haieleweki
Americans will miss his great speeches!
Mi Rais ya Africa ilivyo Mijitu ya ku copy na ku paste Miaka ya Baadae lazima atakuja Kifaa Kama cha Ghana ataichukua na kuiingiza Maabara then anachomoka nayo kuja kuaga Raia wake
Hahahaaa. Afrika na viongozi wasanii.Mi Rais ya Africa ilivyo Mijitu ya ku copy na ku paste Miaka ya Baadae lazima atakuja Kifaa Kama cha Ghana ataichukua na kuiingiza Maabara then anachomoka nayo kuja kuaga Raia wake
Yaani pole mwenzangu yaani amekushambulia utafikiri katoto kadogo usiejua" A" wala "B"mwenzangu bora umenisaidia maana kanishambulia utafikiri nimemkosea yeye personally....wakati kupitiwa kwa binadamu ni jambo la kawaida tu
Uwe unasoma kabla hujauliza ili kuficha uwezo wako mdogo wa akili.
Ukisoma hapo juu mwandishi kasema huyo binti alibaki nyumbani kujisomea maana ana test hivyo aliangalia hotuba ya baba yake kupitia tv.
Sio tatizo lako, nimegundua kusoma vizuri hujui. Haya ndio matatizo ya elimu ya MEMKWA. Tafta mtu hapo jirani anaejua kusoma vizuri akusomee utaona sehemu ilipoandikwa hivyo.wapi wamesema alibaki nyumbani akawa anaangalia hotuba kwenye TV?
unamtukana mwenzio hana akili wakati kumbe we ndo zuzu lisilojijua
Tafta mtu hapo jirani anaejua kusoma vizuri akusomee utaona sehemu ilipoandikwa hivyo.
mkuu humu jf kuna watu wa kila aina wengine ni wa kuwasamehe tu..maana unaweza kijikuta unajibizana na mtoto wa miaka 13....mtu mzima aliye mature hawezi kukurupuka kutoa lugha chafu bila sababu za msingiwapi wamesema alibaki nyumbani akawa anaangalia hotuba kwenye TV?
unamtukana mwenzio hana akili wakati kumbe we ndo zuzu lisilojijua