Kila nikikumbuka haya mauaji machozi yananilenga....najiuliza kwanini Tanzania haikufanya chochote na ikasubiri USA na nchi nyingine za maghalibi.
Am I missing something?Nakumbuka Primary school tulisoma kwamba in 1884 Otto von Bismarck, the first Chancellor of Germany aliweka kikao cha kuigawanya Africa kiliitwa Scramble for Africa, A.k.a the Race for Africa.Sasa kama tunajua tuligawanywa kwanini leo tunapokuwa tunabatatizo tunasubiri waliotugawanya waje kutusaidia?
Am I missing something?Nakumbuka Primary school tulisoma kwamba in 1884 Otto von Bismarck, the first Chancellor of Germany aliweka kikao cha kuigawanya Africa kiliitwa Scramble for Africa, A.k.a the Race for Africa.Sasa kama tunajua tuligawanywa kwanini leo tunapokuwa tunabatatizo tunasubiri waliotugawanya waje kutusaidia?