Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Asiee Ruta ulikua wapi? Nilipata tetesi kua na wewe ilikua utekwe maana ndio issue siku hizi!
[MENTION]mimi nimekuona unapiga mihayo thats all au huamini nimekuona? kwani wewe mtoto ulishwe?
tehetehe ndio umenikaba sasa nimeshindwa kuuzima Rutashubanyuma kiswahili kigumu kweli angalia avatar yangu ufanye hivyohivyo hapo mezani kma hutaki kwenda kulanivea unapowasha moto jiandae kuuzima...........
Asiee Ruta ulikua wapi? Nilipata tetesi kua na wewe ilikua utekwe maana ndio issue siku hizi!
Dating cougars
9) Wengi kwenye mahusianohaya huambukizana magonjwa ya zinaa kama vila miwaya, kaswsende, kisonono, saratani ya shingo ya uzazi n.k..............
QUOTE]
hapa ndipo hua tatizo kubwa maana kuna jamaa ni mshikaji wa karibu kabisa anatoka na jimama moja hilo jimama hua linachukuliwa na Mbunge mmoja hivi, na hilo jimama limekaa kikahaba kahaba, jamaa na yeyehua ananunuliwa vitu kama Simu,Viatu na kutolewa out ndogo ndogo lakini hana hatimiliki maana mheshimiwa Mbunge akilihitaji hilo jimama yaani jamaa hua anabaki kwenye mataa na anapelekeshwa kama mtoto mdogo
Si anataka kulelewa, hivyo lazima akubaliane na masharti yote
Rutashubanyuma hili jambo umeliongea na lipo sana
Sio kwamba ni jambo la kuficha ila miongoni mwa vijana limeenea sana
Na kinachotisha ni kuwa wengine wanatembea na wamama ambao ni size ya mama zao wazazi na wala hawaoni ajabu
Dating cougars
Zipo sababu 10 za kwa nini vijana wengi wanatumbukia kwenye mahaba feki na cougars............zikiwemo:-
1) Uvivu wa kujipatia kipato kwa jasho lao wenyewe.....
2) Kupenda dezo na kukwepa dhiki na karaha za umasikini......
3) Kutojua mbinu za kuwatongoza wale wa saizi yao kwa baadhi yao.............
4) Kutojali jamii inawaonaje katika mahusiano na mama zao kiumri ili mradi tu watimize mradi wao........
5) Kukubali na kuvumilia kujisalimisha kwenye mfumo jike....................
6) Utetezi hadaa wa ya kuwa wao wenyewe wanapendana mara nyingi huwa ni danganya toto na ni kisingizio cha kuhalalisha mahusiano husika..................
7) "Cougar" huwa ana kiburi cha pesa na huitumia nafasi hiyo kuthibitisha ya kuwa yuko juu ya mfumo dume ambao huona umemyanyasa kiasi cha kutosha.....................
8) Tatizo la "Cougar" na mwathirika wake ni kuwa huwa hawatosheki na walichonacho na hivyo kila mmoja wao kuhangaika kutafuta mapungufu kwenye mahusiano yao...................hivyo kujikuta wana wapenzi zaidi ya mmoja.........
9) Wengi kwenye mahusianohaya huambukizana magonjwa ya zinaa kama vila miwaya, kaswsende, kisonono, saratani ya shingo ya uzazi n.k..............
10) Furaha wanayodai kuwa wameipata hujionyesha kwenye kadamnasi tu lakini wakiwa faragha huwa ni wapweke na kugubikwa na majonzi ya kuasi asilia.......................
Ni Aibu kubwa kwa kijana kuwa na mahusiano na sugar mummy.
Hivi upendo anaodai wanapendana sijui unatoka wapi? How can someone loves his mummy for sexual relationship? Huu ni uongo kabisa. Ni pesa tu wanafata.
Wanao angukia kwa ma cougar ni sawa sawa na wale wanao angukia kwa ma sugar daddy hakuna tofouti.
Kila moja anatafuta vya bure.
[MENTION]love has no boundaries....
[MENTION]tehetehe ndio umenikaba sasa nimeshindwa kuuzima Rutashubanyuma kiswahili kigumu kweli angalia avatar yangu ufanye hivyohivyo hapo mezani kma hutaki kwenda kula