Coastal Union washindwa kumlipa mshahara Ali Kiba

Uko sawa kabisa lakini kwa maelezo ya mleta mada inaelekea mkataba wa Mofaya na coastal Union umekuwa affected moja kwa moja na kutolipwa mshahara alikiba.
Yani Mofaya ilibidi imalizie malipo ya awamu ya pili ya Million 40 kama mkataba unavyosema haijalishi alikiba kalipwa mshahara au hakulipwa, lakini kwa maelezo ya mleta mada mofaya haitomalizia hiyo 40 milion ili kufidia mshahara wa miezi 4 wa alikiba kitu kinachofanya mkataba wa mofaya uwe directly proportion na alikiba



haviko sawa habari ya mleta iko general hajaingia ndani zaidi.

huo mchakato wa kuhamisha hizoo fedha unaweza ukafikiri nijambo la siku moja lakini inaweza ikawa limetumia miezi 4.

uongozi wa mofaya na uongozi wa alikiba ulikaa ukakubaliana izoo mil 40 zitahamishiwa kwenye acc ya kingkiba kutoka mofaya kwasababu ilikuwa moja ya expenses za mofaya.
 
haviko sawa habari ya mleta iko general hajaingia ndani zaidi.

huo mchakato wa kuhamisha hizoo fedha unaweza ukafikiri nijambo la siku moja lakini inaweza ikawa limetumia miezi 4.

uongozi wa mofaya na uongozi wa alikiba ulikaa ukakubaliana izoo mil 40 zitahamishiwa kwenye acc ya kingkiba kutoka mofaya kwasababu ilikuwa moja ya expenses za mofaya.
Well mimi nilikuwa na argue kutoka na aliyeasilisha taarifa kama haiko hivyo then nafuta kauli
 
Mmmh Simba hii Simba. Kuna jamaa kaweka chart ya mishahara mikubwa soka la bongo. Wa juu kabisa ni 8.7m . Msaada wa sourcr yako please
hiyo ya mwaka jana,huyo ni niyonzima ambaye sasa hivi kwanza ni mfanyakazi hewa,wame upgrade mwaka huu,embu fikiria kama chama yule si wa kumpa hata milioni 20
 
Afadhali umemaliza hii battle. Naona wa juu kabisa ni 8.7
mkuu ya mwaka jana hiyo,kina kagere hawjafika,kwanza huyo wa milioni 8.7 msimu hajacheza hata zaidi ya mechi tatu,ni mfanya kazi hewa kabisa,huyo okwi hadi nyumba this year kahamishwa kapangiwa apartment upanga sea view na milioni 10
 
-Mshambuliaji wa klabu ya Coastal Union Ali Salehe Kiba amefanya mabadiliko kwenye mkataba wake na klabu ya Coastal Union ya Tanga. Mwanzo wa msimu huu Alikiba alisaini mkataba wa miaka miwili ndani ya klabu ya Coastal Union ambao alitakiwa kulipwa mshahara wa milioni 10 kwa mwezi.

-Klabu ya Coastal Union imeshindwa kuulipa mshahara huo ndio wakakaa meza moja na Alikiba ambaye pia ni mdhamini wa klabu hiyo kwa asilimia 40 kwa kinywaji cha Mo Faya pande zote mbili zimekubaliana Alikiba kuwa asilipwe mshahara wowote na awe na uhuru wa kuamua kucheza mechi au laah bila kupangiwa na mtu, kocha au uongozi wa klabu hiyo.

-Pia Alikiba ameteuliwa kuwa kiongozi wa klabu hiyo na sasa atafanya kazi Coastal Union kama kiongozi na si Mchezaji ila akiamua kucheza ni uamuzi wake. Mkataba wa udhamini wa Mo Faya na Coastal ulikuwa kutoa milioni 80 kwa msimu na sasa tayari Alikiba ametoa milioni 40 za Mwanzo na milioni 40 zilizobaki hazitatolewa kutokana na klabu ya Coastal kushindwa kumlipa mshahara kwa miezi minne.

View attachment 963487
Kama naona nyoto nyota vile, yaani Mfadhili wa Timu bado analipwa mshahara tena mkubwa kiasi hicho !!!
 
Katoa mil 40, kinywaji chenyewe hakijafanya mauzo yoyote...

#kaziNaBata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom