Ndugu,
Ungekuwa ni mtu makini ungepitia topic za miezi ya nyuma sidhani kama ungekuwa na ulazima wa kuomba ushauri kama ulivyoandika hapa, kuna mada moja ya mambo ya ujenzi ipo hapa, watu walichangia kwa mapana saana na ungeisoma ungepata idea ya hicho kitu ulichouliza,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.