Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

hata uadd vip ujue sisi tuna engineers kuliko nyinyi..

pia, kuna jamaa mmoja kutoka kenya (nadhan alikuwa kiongozi kwenye board yenu) aliwahi kuja kwenye kongamano letu (ambalo mim mwenyewe nikikuwepo) akasema maengineers wa tanzania wapo wengi kuliko wa kenya

got no time to argue for that

afu mtu umesomea mambo ya biology sijui mambo gan unataka kuargue kuhusu mambo ya engineers.. mwanzo ulikuja na 2000 saiz umekuja na mengine .. mlete engineer twende sawa, because he may know a lot of things than you non engineer
Case closed
 
so this tendency of locals not wanting to register with local registration boards is only happening in Kenya only? every engineer has a number and so far a comparison is local registered engineers! And Tanzania beats Kenya by far!
I am not talking about locals in Kenya/Tanzania, it was just an open minded issue of knowing where the issue originated. Just perused previous responses and realised where the argument stands, thanks though.
 
Kenya has five times the number of registered engineers as Tanzania
The amount and quality of infrastructure in the next 5 - 10 years ndiyo itasema nani anao wengi. Pia the fact that ujenzi wa projects zetu kubwa unahusisha engineers wengi kuliko nyinyi unatosha kuelezea aina ya Engineers mlio nao.
 
1606832505011.png
 
but not a first class as u claim in China ur model is slow train!
Do you even understand what you have said?

Classification of Railway has nothing to do with the train!!!!!!
1st class railway standard is about the railway itself! not the train!!


Alafu slow train in China is 160Km/hr just like your TZ SGR, fast train in China is above 300km/hr
 
Do you even understand what you have said?

Classification of Railway has nothing to do with the train!!!!!!
1st class railway standard is about the railway itself! not the train!!


Alafu slow train in China is 160Km/hr just like your TZ SGR, fast train in China is above 300km/hr
The other thing the Chinese one r electric trains!
 
Kafrican amekujibu kwa evidence halafu umeanza tabia ya kihuni ya kuhamisha goal- post. Ndio maana huwa siargue na Watanzania wazimu kama wewe.
Achana na huyo mwendawazamu ambae ako radhi avue nguo abaki uchi ili tu ashinde mjadala, next atakwambia dunia si duara manake yeye mwenyewe kama mtu binafsi hajawahi safiri hadi nje ya dunia na kuitazama kutoka huko nje! Ama atakwambia Tanzania ndo nchi pekee dunia nzima manake hajawahi safiri hizo nchi zengine na kuziona au kuhesabu na macho yake!
 
Back
Top Bottom