Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ka African..uwezo wa kununua ndege na helicopter za kivita upo...kama tumetumia zaidi ya $300mil kununua q400s 5 ndani ya miaka mitano $500mil kununua dreamliner mbili na $200mil kununua A220s mbili..hivi vi sukhoi S30 vya dola $30mil unahisi vinatushinda...

Tukiamua kuweka budget ya dola $300mil in 5yrs tutakuwa na Su-8mpka 10 ambayo ni upgrade ya kutosha. sana na tutapita nchi nying tu..lakini sio priority ya sasa cause ndege za kivita zinahitaji maintance na pia ni liabilities sio asset kama passenger planes au other business

Tuna project nying ambazo goverment ime inject hela yake kama SGR,Stiglers, Kujenga Zonal hospitals na ku imrpove transport in Big cities
Ukisema mko na uwezo wa kununua ndege za kivita. Ukumbuke bajeti ya Kenya ni mara dufu ya Tanzania, kwahivyo pia sisi tunao uwezo lakini kama ulivyosema, ni priority ndo hakuna maana hakuna tishio lolote kubwa ukanda huu kwahivyo hakuna haja ya kununua vifaa vikubwa vikubwa ilhali watu ndani ya nchi wanashida tele, kwahivyo afadhali kutumia hela hizo kuboresha maisha ya watu kwa sasa kuliko kununua makombora makubwa ambayo haya saidii kitu kwa saasa.
 
Ukisema mko na uwezo wa kununua ndege za kivita. Ukumbuke bajeti ya Kenya ni mara dufu ya Tanzania, kwahivyo pia sisi tunao uwezo lakini kama ulivyosema, ni priority ndo hakuna maana hakuna tishio lolote kubwa ukanda huu kwahivyo hakuna haja ya kununua vifaa vikubwa vikubwa ilhali watu ndani ya nchi wanashida tele, kwahivyo afadhali kutumia hela hizo kuboresha maisha ya watu kwa sasa kuliko kununua makombora makubwa ambayo haya saidii kitu kwa saasa.
Bajeti ipi hiyo maradufu yetu? Hii ambayo mnakopa kuitekeleza na pia nusu yake inalipa madeni? Hebu leta percent ya debt servicing kwa Kenya's budget!
 
ni bora uendelee kupost gari moshi zenu kuliko kuzungumzia vitu usivyovijua mambo ya kijeshi hauyawezi mzee ojwani achana nayo

hebu jibu maswali hayo,kisha ndiyo uje na hoja zako za utumbo zakufikirika ,kutafuta link ruksa angaika kote kisha zicopy na upaste kama kawaida yakp jinsi ilivyo


1.Je ulishawahi kutembelea military base zilizopo tanzania na ukahesabu idadi ya vyombo au vifaa vyote vya kivita. vilivyopo..?..kama ni ndiyo je kwa ujumla vipo vingapi....?

2.Jeshi la Tanzania linamiliki ndege na helicopter ngapi..,?..,je ni aina gani za ndege na helicopter zinazomilikiwa na tanzania....?..je gharama zake kwa kila kimoja ni kiasi gani,,..? ndege zilinunuliwa mwaka gani,saa ngapi,na ilikuwa ni siku gani...pia zilichukua mda gani mpaka kukamilisha matengenezo na kufika tanzania...?

3.Jeshi la tanzania linamiliki vifaru na magari mangapi ya kijeshi..?...je ni brand gani ya magari yanayotumiwa na jeshi la tanzania na yametoka ama yamenunuliwa kiwanda gani na yalinunuliwa mwaka gani....?...

4.Jeshi la Tanzania linamiliki silaha ngapi za kivita..?..kisha nitajie aina ya silaha zinazomilikiwa na jeshi la tanzania na zilinunuliwa wapi mwaka gani saa ngapi mwezi gani...?...

,,,,,,,,,KARIBU SANA MZEE OJWANI UJIBU KWA EVIDENCE......
NImejaribu kukwambia vitu vyote hivi vina kua tracked kote duniani na ni vigumu sana kuficha hizi siri. (labda iwe ni kampuni inayotengeneza silaha iko ndani ya nchi yako ndo unaweza kuficha ukweli kwa mda mrefu)


Sasa naona ulikua unafikiri mimi ni wale watanzania wenzako ambao hua wanaongea tu ili washinde mada lakini hawana ushahidi wowote.

source


Kuhusu ndege: Hizi hapa ndege zenu amzo mshawahi kua nazo tangu 1964 hadi 2019.
Hapo utapata info kuhusu aina ya ndege, iliagizwa na kupokewa mwaka gani na comments kama ilikua msaada, second hand au mlinunua kwa cash.

1606380772160.png


1606380972580.png




Kuhusu vifaru na magari:

1606381386607.png



---------------------------------------------------------------------------------

Na nikimalizia, Nitakuwachia summary ya silaha zote ambayo Tanzania ishwai kupokea tangu 1964


1606381580208.png

1606381638552.png

1606381707896.png



-----------------------------------------------------------------------------------------
Unaona hadi hapo mwisho wameweka hadi database ya "Unkown suppliers", yani walikua hawajui zimetoka wapi lakini bado walijua ni zenu na pia walijua ni silaha za aina gani!
----------------------------------------------------------------------------------------



Alafu kesho urudi hapa kunipigia hadithi za sijui Tanzania ina ndege nyingi lakini hio ni "top secret" information 🤣🤣🤣🤣 upuzi mtupu ambao waliokula propaganda ya CCM pekee ndo wanaamini.
 
Mna F5 si F16! Tena most of those F5 mli-acquire Jordan zime-crash!
Soma hapo kwa RED nimeandika nini kabla uropokwe. HApo kwa red nimesema hakuna hata siku moja utanisikia nikisema tuko na hizo ndege za F15, f16 kwasababu ni porojo tupu.. Sawa sawa na vile nyinyi mnapiga porojo za kusema mko na ndege nyingi lakini zimefichwa 🤣 🤣 🤣 🤣

Alafu F-5E TigerII za Jordan kumi na tato tulipokea 2010, Kabla hapo tulikua na F5 zengine kumi na tano tulizopokea 1978! kutoka USA.
 
Bajeti ipi hiyo maradufu yetu? Hii ambayo mnakopa kuitekeleza na pia nusu yake inalipa madeni? Hebu leta percent ya debt servicing kwa Kenya's budget!
Out of $30b dollar budget, we only use $9b (30%) to service our loans unlike in Tanzania where $6b out $10b dollar budget is used to service your loans, that's around 60% of your budget is used to service your. Also remember Tanzanian budget of $10b is 50% funded by grants and donations.
 
Nimekuonyesha wanawake wanao repair/maintain ndege ya Rais na ndege za kijehi we unanionyesha mambo ya civilian aircraft! Sasa nikikuonyesha mambo ya civilian aviation Kenya si utahama JF
kwani wanawake wana tofauti gani na engineers wanaume? wewe unajua kuna wanawake wangapi kwenye ujenzi wa madaraja yetu? na je unajua Tanzania ina engineers wengi zaidi ya Kenya?
 
kwani wanawake wana tofauti gani na engineers wanaume? wewe unajua kuna wanawake wangapi kwenye ujenzi wa madaraja yetu? na je unajua Tanzania ina engineers wengi zaidi ya Kenya?
Mi naongelela kuhusu wanawake wenye vyeo muhumu kwenye Jeshi/polisi ambako wanaume ndo kawaida hua wako juu. So kama hauna mifano ya jeshi/polisi usitafute ushindani!
 
NImejaribu kukwambia vitu vyote hivi vina kua tracked kote duniani na ni vigumu sana kuficha hizi siri. (labda iwe ni kampuni inayotengeneza silaha iko ndani ya nchi yako ndo unaweza kuficha ukweli kwa mda mrefu)


Sasa naona ulikua unafikiri mimi ni wale watanzania wenzako ambao hua wanaongea tu ili washinde mada lakini hawana ushahidi wowote.

source


Kuhusu ndege: Hizi hapa ndege zenu amzo mshawahi kua nazo tangu 1964 hadi 2019.
Hapo utapata info kuhusu aina ya ndege, iliagizwa na kupokewa mwaka gani na comments kama ilikua msaada, second hand au mlinunua kwa cash.

View attachment 1635125

View attachment 1635129



Kuhusu vifaru na magari:

View attachment 1635130


---------------------------------------------------------------------------------

Na nikimalizia, Nitakuwachia summary ya silaha zote ambayo Tanzania ishwai kupokea tangu 1964


View attachment 1635139
View attachment 1635140
View attachment 1635141


-----------------------------------------------------------------------------------------
Unaona hadi hapo mwisho wameweka hadi database ya "Unkown suppliers", yani walikua hawajui zimetoka wapi lakini bado walijua ni zenu na pia walijua ni silaha za aina gani!
----------------------------------------------------------------------------------------



Alafu kesho urudi hapa kunipigia hadithi za sijui Tanzania ina ndege nyingi lakini hio ni "top secret" information upuzi mtupu ambao waliokula propaganda ya CCM pekee ndo wanaamini.
bado haujitambui,,unadhani ni kwanin nakupinga..?... sasa wewe ingia kwenye uwanja wa ya vita kwa kuzifuata hizo protocal uone kitakachokutokea
unaishi kwa nadhalia sana nimekuuliza swali dogo tu ,,

1.Je alishawahi kutembelea military base zilizopo kenya au tanzania na kuhesabu idadi ya vyombo au vifaa vyote vya kivita. vilivyopo..?.
 
bado haujitambui,,unadhani ni kwanin nakupinga..?... sasa wewe ingia kwenye uwanja wa ya vita kwa kuzifuata hizo protocal uone kitakachokutokea
unaishi kwa nadhalia sana nimekuuliza swali dogo tu ,,

1.Je alishawahi kutembelea military base zilizopo kenya au tanzania na kuhesabu idadi ya vyombo au vifaa vyote vya kivita. vilivyopo..?.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Angalia vile umebaki kuuliza maswali ya kijinga, Next nikikwambia Tanzania ina watu 55 Million na Kenya in watu 50 Million utaniuliza kama nishawahi kutembea Kenya nzima au Tanzania nzima na kuhesabu kila mtu..... Village boy, rudi kijiweni naona huko ndo unaweza kutamba kwa kujadili kama mtoto wa chekechea!
 
Angalia vile umebaki kuuliza maswali ya kijinga, Next nikikwambia Tanzania ina watu 55 Million na Kenya in watu 50 Million utaniuliza kama nishawahi kutembea Kenya nzima au Tanzania nzima na kuhesabu kila mtu..... Village boy, rudi kijiweni naona huko ndo unaweza kutamba kwa kujadili kama mtoto wa chekechea!
jibu swali mzee ojwani,,,,,,

vyakuambiwa unachanganya na vya kwako jiongeze,,,,,au haujui kama kwenye hao 55 na hao 50M kuna mmoja na zaidi kati ya hao wamekufa na wengine wengi zaidi wamezaliwa ndani ya sekunde na saa...
 
jibu swali mzee ojwani,,,,,,

vyakuambiwa unachanganya na vya kwako jiongeze,,,,,au haujui kama kwenye hao 55 na hao 50M kuna mmoja na zaidi kati ya hao wamekufa na wengine wengi zaidi wamezaliwa ndani ya sekunde na saa...
Wewe unae sema Tz ina ndege nyingi zaidi umetembea ndani ya kambi zote hata useme hivyo? Village boy, hebu nieleze
 
Vita vya enzi hizo za kutumia tactics za WWII vilipitwa na wakati, Kufika Tanzania hakuna mtu atakuja kwa miguu ifact jambo la kwanza ni Dar ndo itavamiwa ya kwanza pamoja na makao makuu ya Tanzania Airforce na pale mnapoweka hanger za ndege za kivita na mafuta.

Anyway, Vita vya conventional sio lazima mkue totally defeated, Vita vya nchi kwa nchi unaweza kushinda kwa technicallity... Kwa mfano ule wakati ule kabla Uganda ivamie Tanzania. Kumbuka walitishia na walijaribu kuvamia Kenya mwanzo. Kenya ikaamua ku block mafuta na bidhaa za Uganda zinazo ingia Mombasa port kwa miezi kadhaa, Uganda ikaona ikienda vitani na Kenya watashindwa baada ya mda mchache manake watakua hawana mafuta wala supply ya maana ya kuendeleza vita... Kwahivyo tulikua tushawapiga tecnicall knockout.

Kuna nchi zengine hata zili surrender bila hata jeshi kuingia ndani, Jamaa walitumia hackers wakaharibu mitambo ya Radar,communication, power plants, banking na financial system... Jamaa walipoona nchi inaambaratika kifedha wakaamua hawataenda vitani tena..... Hivi ndo vita vya kisasa, usitaraajie eti jambo la kwanza litakalo fanywa na nchi mnayopigana nayo ni kuingia kwa mpaka wenu eti tupigane hadi kufika makao makuu yenu... Hilola kuingia na vifaru kupitia mpaka itakua ni jambo la mwisho kabisa!
Ngoja tuache kujadili humu si mahala pake kuna uzi wake humu utafute,Hakuna watu weupe kama nyinyi Wakenya,ukikamata Nairobi na Mombasa kwisha,Kwanza mna njaa nchi kame eneo kubwa ni semi arid tunaweza kuamua kuficha chakula tu..mkafa..pia uchumi wote ukaharibika kbs kitu cha Hyper Inflation..kwny mazao ya chakula,Hivi ushaskia Kenya wakijinasibu kwny swala la stock ya chakula...mtaagiza mpk pumba mchemshe..mkitaka kusimama na sisi mguu kwa mguu.Tanzania ndio kiongozi kwny hii Afrika mashariki sema ni kiongozi mpole asiyependa tambo na ana mapenzi ya dhati na wadogo zake wote,Sema mdogo wake Kenya ana kiburi kiburi wakati mweupe tu hana kitu pia sometimes haelewiki anapokutana na wazungu mshobokaji sana.
 
Wewe unae sema Tz ina ndege nyingi zaidi umetembea ndani ya kambi zote hata useme hivyo? Village boy, hebu nieleze
nimekuuliza swali kazi yako ilikuwa ni kujibu tu,,kisha ndiyo ujipe hilo jukumu la kuuliza....

kuwa na adabu hivyo ndivyo ulivyofumdishwa?
 
Ngoja tuache kujadili humu si mahala pake kuna uzi wake humu utafute,Hakuna watu weupe kama nyinyi Wakenya,ukikamata Nairobi na Mombasa kwisha,Kwanza mna njaa nchi kame eneo kubwa ni semi arid tunaweza kuamua kuficha chakula tu..mkafa..pia uchumi wote ukaharibika kbs kitu cha Hyper Inflation..kwny mazao ya chakula,Hivi ushaskia Kenya wakijinasibu kwny swala la stock ya chakula...mtaagiza mpk pumba mchemshe..mkitaka kusimama na sisi mguu kwa mguu.Tanzania ndio kiongozi kwny hii Afrika mashariki sema ni kiongozi mpole asiyependa tambo na ana mapenzi ya dhati na wadogo zake wote,Sema mdogo wake Kenya ana kiburi kiburi wakati mweupe tu hana kitu pia sometimes haelewiki anapokutana na wazungu mshobokaji sana.
Kwanza, unlike Uganda, Kenya tuko na ufuo wa bahari na Tanzania haina uwezo wa kuwekea Kenya maritime blockade ya kutuzulia ku import chakula au zana za kivita.

Miaka ya 1977 EAC ilipovunjika mlifungia Kenya mipaka kwa miaka kadhaa mkidhani eti mmetuweza, Uchumi wa Kenya haukusambaratika hata kidogo mkabaki aibu tupu! Kwahivyo Tanzania ni irrevant ikija kwa swala la kutegemea kwa chakula au kiuchumi.
 
nimekuuliza swali kazi yako ilikuwa ni kujibu tu,,kisha ndiyo ujipe hilo jukumu la kuuliza....

kuwa na adabu hivyo ndivyo ulivyofumdishwa?
Sema tu hauna hoja ndo umebakia kushindana kijinga kama kuniuliza sishawahi kutembea kambi zote za kijeshi.... ilhali we mwenyewe haujawahii na uko hapa ukinipinga.
Kwa kifupi Tanzania ina ndege 34 za kijeshi. Take that to the bank! na kama unabisha toa ushahidi au urudi kijiweni
 
Sema tu hauna hoja ndo umebakia kushindana kijinga kama kuniuliza sishawahi kutembea kambi zote za kijeshi.... ilhali we mwenyewe haujawahii na uko hapa ukinipinga.
Kwa kifupi Tanzania ina ndege 34 za kijeshi. Take that to the bank! na kama unabisha toa ushahidi au urudi kijiweni
Naona ukiwapea dose vilivyo. Continue with the good work.
 
Sema tu hauna hoja ndo umebakia kushindana kijinga kama kuniuliza sishawahi kutembea kambi zote za kijeshi.... ilhali we mwenyewe haujawahii na uko hapa ukinipinga.
Kwa kifupi Tanzania ina ndege 34 za kijeshi. Take that to the bank! na kama unabisha toa ushahidi au urudi kijiweni
hoja gani unaitaka wewe wakati swali dogo unaishia kuzunguka zunguka.....

upo empty mzee hujui chochote kuhusu masuala ya kijeshi unachokijua wewe ni sare tu tena kwa kuziona....ni bora ukae kimya kuliko kujifanya mjuaji for nothing
 
Back
Top Bottom