Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,185
- 79,366
- Thread starter
- #7,061
700 wagons for MGR under rehabilitation 20-30 wagons per month since Jan 2019!
Hii design iko very simple ila tamu sana
Hii design iko very simple ila tamu sana
Heheheheheeee hadi huruma
Tulishaanza hii kazi kwa MGR level ya SGR Kenya
halafu sie hatujaweka restriction ya trucks halafu we have free room for price wars against SGR Kenya! Aisee hawa jamaa tunawanyima usingizi vibaya mno anagalia hata suala la coronavirus saa hii Uhuru anachekea chooni! Maana kila alichojaribu kupinga inambidi a-rectract his earlier stand...kiswahili fasaha ni kwamba ile mizigo yote wafanyabiashara wanaoamua mizigo yao ipite Kenya itasafiriwa kwa SGR .. ila kuna wengine wanapitisha Tanzania.. kazi kwako kujua ratio ya mizigo ya hizo nchi inayopita kati ya KE na TZ!
MGR capacity yake ya kitoto sana ndio ulinganishe na sgr dumehalafu sie hatujaweka restriction ya trucks halafu we have free room for price wars against SGR Kenya! Aisee hawa jamaa tunawanyima usingizi vibaya mno anagalia hata suala la coronavirus saa hii Uhuru anachekea chooni! Maana kila alichojaribu kupinga inambidi a-rectract his earlier stand...
Mimi swala langu ni kwanini wakenya hamtaki kujitawaza mkitoka chooni eti mnadai kujitawaza ni uislamu na uarabu wakati mkijitawaza matakoo yenyu ndiyo yananufaika kwa kuwa safi siyo ya muarabu? Naombeni jibu
Ndio ulinganishe na chuma sgr dume ke katika sekta ya mizigoMGR Tanzania speed 70 km/h wakati SGR Kenya speed 80 km/h, hamna tofauti ya maana hapo.
How old are you?Mimi swala langu ni kwanini wakenya hamtaki kujitawaza mkitoka chooni eti mnadai kujitawaza ni uislamu na uarabu wakati mkijitawaza matakoo yenyu ndiyo yananufaika kwa kuwa safi siyo ya muarabu? Naombeni jibu
Send by APOLO 1
Bwaaaaahhhhwe nugu patia mm jibu? achanga maneno ya maejii bana
Tena una watotoBwaaaaahhhhwe nugu patia mm jibu? achanga maneno ya maejii bana
Send by APOLO 1
For now inatosha at 5 mln tons per annum inatosha ku-disrupt SGR Kenya dominance na kusababisha economic mayhem while the real thing is being constructed!