Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,212
- 6,972
Umeona wapi??Nimeona waChina wenu hawajaweka...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wapi??Nimeona waChina wenu hawajaweka...
Nakumbuka ukicheka rail platform za Kenya last month, hahahahahaha kumbe ulikua haujaona zenu hahahahahaha, yes mawweka steel pillars alafu wakaweka Mabati kama canopy, Mabati!!1! hahahahahah
View attachment 1222374
Alafu BTW, hizo steel si stainless steel, Stainless steel hazipakwi rangi!
Hebu sasa linganisha za hii platform ya Voi station
Umeona wapi??
Typical Tanzanian, can't put money where his mouth is... ni mdomo kubwa tuI have my means and sources
I see you trying to deflect the issueCan you add the pictures of the smoke powered 18th century locomotives??
Wakenya mliokuwa mnacheka station ya Soga hapa inabidi mlie kabisa. Station kama stendi ya bus za mjini (Dar). Compare and contrastView attachment 1200907View attachment 1200908
kumbe sikujuaHizo mashini pia hutumika huku
Hata hiyo reli yenyewe pia wanatumia mashini kuitandaza
CC
Mabati roofs r plenty on ur SGR! BTW I don't see the essense of putting a concrete shed at a waiting platform!I see you trying to deflect the issue
Hebu rudi page 204 uangalie vile jamaa walikua eti "wanacheka" railway platform ya stesheni ya maai mahiu phase 2A, wakisema inafanana na stendi ya bus ya UDART
From page 204
Yani jamaa alisema hii railway platform ya Maai mahiu
Inafanana na bus stage ya DART
Hebu sasa angalia hii platform yenu ya Soga station
Ni ya nani ndo inafanana na stendi ya bus , Ifanct hio ya UDART hata ni nzuri kushinda hio ya SGR TZ 😂😂, Kuna wakati niliwaambia mnafaa kutulia hadi reli yenu ikamilike na ianze kufanya kazi, alafu baada ya miaka 2-5 ndo muanze kukashifu na kuingilia reli ya Kenya baada ya kuona yenu ikifanya kazi kwa miaka kadhaa...
kwasasa mnapenda kuingilia reli ya kenya wakati yenu hata haijaanza kufanya kazi, Ushawahi kusikia msemo wa "Don't count your chicks before they hatch???"
Mabati roofs r plenty on ur SGR! BTW I don't see the essense of putting a concrete shed at a waiting platform!
hizo za kwenu ni kaa veranda za shule ama hosii..mabati za MRM..Mabati united indeed!!Watasema mabati yao ni Chinese class 1. Imported from Shenzhen China!!
Tuliza ball dogo, mambo mazuri yanakuja mtakimbiana humu.I see you trying to deflect the issue
Hebu rudi page 204 uangalie vile jamaa walikua eti "wanacheka" railway platform ya stesheni ya maai mahiu phase 2A, wakisema inafanana na stendi ya bus ya UDART
From page 204
Yani jamaa alisema hii railway platform ya Maai mahiu
Inafanana na bus stage ya DART
Hebu sasa angalia hii platform yenu ya Soga station
Ni ya nani ndo inafanana na stendi ya bus , Ifanct hio ya UDART hata ni nzuri kushinda hio ya SGR TZ , Kuna wakati niliwaambia mnafaa kutulia hadi reli yenu ikamilike na ianze kufanya kazi, alafu baada ya miaka 2-5 ndo muanze kukashifu na kuingilia reli ya Kenya baada ya kuona yenu ikifanya kazi kwa miaka kadhaa...
kwasasa mnapenda kuingilia reli ya kenya wakati yenu hata haijaanza kufanya kazi, Ushawahi kusikia msemo wa "Don't count your chicks before they hatch???"
wazee wa maliakaniWatasema mabati yao ni Chinese class 1. Imported from Shenzhen China!!
Tazara copyright
Wewe ndio yafaa utulie yaje ndio upige domo.Tuliza ball dogo, mambo mazuri yanakuja mtakimbiana humu.
Mimi nimetulia kitambo ila wewe unafungua bakuli lako na kuni quote bila kuwa na hoja. Acha kubwabwajaWewe ndio yafaa utulie yaje ndio upige domo.
Hahahaha nimechoka kweli. Hhmn. Nilisema hapa. The quality is just terrible. I have a feeling we have not seen enough. This SGR TZ may turn out terribly worse than we even thought.I see you trying to deflect the issue
Hebu rudi page 204 uangalie vile jamaa walikua eti "wanacheka" railway platform ya stesheni ya maai mahiu phase 2A, wakisema inafanana na stendi ya bus ya UDART
From page 204
Yani jamaa alisema hii railway platform ya Maai mahiu
Inafanana na bus stage ya DART
Hebu sasa angalia hii platform yenu ya Soga station
Ni ya nani ndo inafanana na stendi ya bus , Ifanct hio ya UDART hata ni nzuri kushinda hio ya SGR TZ 😂😂, Kuna wakati niliwaambia mnafaa kutulia hadi reli yenu ikamilike na ianze kufanya kazi, alafu baada ya miaka 2-5 ndo muanze kukashifu na kuingilia reli ya Kenya baada ya kuona yenu ikifanya kazi kwa miaka kadhaa...
kwasasa mnapenda kuingilia reli ya kenya wakati yenu hata haijaanza kufanya kazi, Ushawahi kusikia msemo wa "Don't count your chicks before they hatch???"
in 1950s inabidi tufanye igizo la kuntakinte part 2 pale kenya SGRHahahaha nimechoka kweli. Hhmn. Nilisema hapa. The quality is just terrible. I have a feeling we have not seen enough. This SGR TZ may turn out terribly worse than we even thought.
I now believe there is nothing Tanzania can do better than Kenya. Nothing at all.in 1950s inabidi tufanye igizo la kuntakinte part 2 pale kenya SGR