Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kwanza nakuunga mkono kuhusu central part of Tz kuwa semi arid (Dodoma na Singida), ila mengine uliyo ongea umeongea kibepari zaidi nasiwezi kukulaumu. Tatizo la kaskazini mwa Kenya ilibidi litatuliwe toka awamu ya kwanza ila haikufanyika kwa sababu ya sera zenu.

Nyerere na serikali yake waligundua hili kutumia sera za kijamaa walitia nguvu na kusaidia kuboresha mazao yanayo kubali sehemu hizo na kuwekeza kwenye fursa chache zinazopatikana huko. Dodoma kilimo cha zabibu kiliwekewa mkazo na viwanda vya wine kujengwa, leo hii Dodoma ndiyo sehemu inayo ongoza kwa kuzalisha wine Tz na ndani ya E.A Tz inaongoza kwa kuzalisha wine. Dodoma pamoja na sababu zingine ilifanywa pia kuwa capital city. Magufuli amekuja kukazia, Leo hii ukifika Dodoma utashanga ujenzi unao endelea. So ardhi ambayo aina rutuba inajengwa majengo. Kama vile mnge amua capital yenu iwe Turkana, Nairobi watu wange lima. In my unbiased opinion at this rate Dodoma is going to be the most beautiful city in Tz in the next 10 yrs. Its central location is a plus. Bila kusahau sekta ya ufugaji Tz ni nchi ya pili kwa kuwa na ng'ombe wengi Africa na Dodoma ni wafugaji wakubwa hapa Tz wa mifugo mingi wakiwamo ng'ombe.

Singida a.k.a Singapore, ukifika utafuta kauli yako, kwanza hamna njaa, watu wanalima mazao rafiki na hali ya hewa. Mfano zao la kibiashara alizeti, hili ndiyo eneo linalo ongoza kwa kulima alizeti Tz. Viwanda vya mafuta ya alizeti vimetapakaa na mafuta yao yanauzwa nchi nzima pia wana export. Nimeeleza kwa uchache ila hamna namna unaweza uka compare semi arid areas za Tz na Kenya. Your politicians have failed you, msipende kuwatetea kila sehemu vitu vingine vipo uchi. Wangejenga ata vyuo vikuu huko Marsabit kuchangamsha uchumi. Nakuwekea picha, halafu waza huko Turkana pia mnaweza fanya hivi. View attachment 1202839View attachment 1202840View attachment 1202842View attachment 1202843View attachment 1202844View attachment 1202845View attachment 1202846View attachment 1202847View attachment 1202849View attachment 1202850View attachment 1202851View attachment 1202853View attachment 1202854
Yani hilo eneo ambalo liko green ndo unaliita semii Arid!!! we acha ulevi!!!! Nyinyi Tanzania hamjawahi ona wala kujua ukame na uhaba wa maji ni nini. Hata hapo dodoma ambapo ni semi arid, Mto rufuji hauko mbali na dodoma, kumaanisha water services inaweza kufikisha maji kirahisi....

Hebu linganisha hizi satelite image utofautishe huko northern Kenya Vs Northern Tanzania

1568203506782.png




1568203609791.png



Tena mito mmejaza kibao

tanzania-river-map.jpg



Sasa linganisha na mito yetu iliobaki

30395102-kenya-political-map-with-capital-nairobi-national-borders-most-important-cities-rivers-and-lakes.jpg






Hio sehemu ya Marsabit hivi ndo inakaa

dESZrEJ.jpg

Chalbi-Desert.jpg



Desert.jpg

aerial-view-of-sand-dunes-in-suguta-valley-kenya-picture-id182696992



Maeneo mengine huko marsabit ni full blown desert -- Chalbi

Desert-Safari-in-Chalbi-Dessert-Kenya.jpg

deserts-in-kenya.jpg








Pitia hapa uangali marsabit town ambayo iko upande wa pili wa mlima (Sehemu ilio kama osasis) inavyoendelea kujengwa tangu tuanze ugatuzi
 
Yani hilo eneo ambalo liko green ndo unaliita semii Arid!!! we acha ulevi!!!! Nyinyi Tanzania hamjawahi ona wala kujua ukame na uhaba wa maji ni nini. Hata hapo dodoma ambapo ni semi arid, Mto rufuji hauko mbali na dodoma, kumaanisha water services inaweza kufikisha maji kirahisi....

Hebu linganisha hizi satelite image utofautishe huko northern Kenya Vs Northern Tanzania

View attachment 1204478



View attachment 1204481


Tena mito mmejaza kibao

tanzania-river-map.jpg



Sasa linganisha na mito yetu iliobaki

30395102-kenya-political-map-with-capital-nairobi-national-borders-most-important-cities-rivers-and-lakes.jpg






Hio sehemu ya Marsabit hivi ndo inakaa

dESZrEJ.jpg

Chalbi-Desert.jpg



Desert.jpg

aerial-view-of-sand-dunes-in-suguta-valley-kenya-picture-id182696992



Maeneo mengine huko marsabit ni full blown desert -- Chalbi

Desert-Safari-in-Chalbi-Dessert-Kenya.jpg

deserts-in-kenya.jpg








Pitia hapa uangali marsabit town ambayo iko upande wa pili wa mlima (Sehemu ilio kama osasis) inavyoendelea kujengwa tangu tuanze ugatuzi
Kuna mmoja wenu ali sema ata Tz kuna maeneo yamechapa kama huko Kenya kaskazini ndiyo nika anza kumjibu. Too bad hilo eneo lipo pembeni ya Kenya. Ila kuna kitu kina weza fanyika na kuondoa hiyo hali, mfano serikali yenu inge amua huko kujengwe ma vyuo, viwanda, maji yapelekwe, miti na mazao yanayo stahimili ukame ipandwe kwa wingie.t.c. ila i admit Tz sijaona sehemu ina ukame kama huo. Nakusahihisha kaskazini mwa Tz siyo kame ila ni katikati mwa Tz ndiyo kuna ukame e.g Dodoma.
 
Kuna mmoja wenu ali sema ata Tz kuna maeneo yamechapa kama huko Kenya kaskazini ndiyo nika anza kumjibu. Too bad hilo eneo lipo pembeni ya Kenya. Ila kuna kitu kina weza fanyika na kuondoa hiyo hali, mfano serikali yenu inge amua huko kujengwe ma vyuo, viwanda, maji yapelekwe, miti na mazao yanayo stahimili ukame ipandwe kwa wingie.t.c. ila i admit Tz sijaona sehemu ina ukame kama huo. Nakusahihisha kaskazini mwa Tz siyo kame ila ni katikati mwa Tz ndiyo kuna ukame e.g Dodoma.
Kupeleka bomba hadi huko itabidi litoke Centrak Kenya hadi huko ...
Jambo ambalo lilikua limefanywa na serekali ni kuchimba visima vingi vya maji huko kaskazini, lakini tangu mwaka jana inasemekana hivyo visima vyote vilikauka!

Lakini kuna eneo ambalo linanishangaza ni hapo Turkana county.... Hao ndo hupata pesa nyingi baada ya Nairobi County. Tangu 2013 hadi 2019, Turkana imepokea jumla ya zaidi ya $500m, lakini hakuna lolote limegeuka hapo Turkana! hizi psa zote sijui huyu gavana aalitumia kufanya nini badala ya kupeleka maji!

 
Kupeleka bomba hadi huko itabidi litoke Centrak Kenya hadi huko ...
Jambo ambalo lilikua limefanywa na serekali ni kuchimba visima vingi vya maji huko kaskazini, lakini tangu mwaka jana inasemekana hivyo visima vyote vilikauka!

Lakini kuna eneo ambalo linanishangaza ni hapo Turkana county.... Hao ndo hupata pesa nyingi baada ya Nairobi County. Tangu 2013 hadi 2019, Turkana imepokea jumla ya zaidi ya $500m, lakini hakuna lolote limegeuka hapo Turkana! hizi psa zote sijui huyu gavana aalitumia kufanya nini badala ya kupeleka maji!

Hizo pesa ni nyingi sana kutokuleta utofauti, hapo watu watakua wanapiga pesa. Hivyo visima sitaki kuamini walikosekana wataalamu kuliona hilo la visima kukauka. Kabla kujengwa lazima tathimini hufanyika ata Tz hilo la visima kuchimbwa na kutokutoa maji limetokea sana ila chamoto wamekipata baada ya Magu kuingia. Sasa hivi kila mradi wa maji unatoa maji na ile ambayo haikutoa watu wamerudishwa site na watendaji kuchuliwa hatua za kisheria. Huwa nawashangaa wakenya mnao msema Magu kuhusu sijui u dictator! Africa raisi hapaswi kukenua kenua, adabu hakuna. Kuna mtu aliniambia Uhuru amekulia kwenye pesa kwa hiyo pesa wanazo iba watendaji wake yeye anaona ni ndogo nakuchukulia sawa tu.
 
Kupeleka bomba hadi huko itabidi litoke Centrak Kenya hadi huko ...
Jambo ambalo lilikua limefanywa na serekali ni kuchimba visima vingi vya maji huko kaskazini, lakini tangu mwaka jana inasemekana hivyo visima vyote vilikauka!

Lakini kuna eneo ambalo linanishangaza ni hapo Turkana county.... Hao ndo hupata pesa nyingi baada ya Nairobi County. Tangu 2013 hadi 2019, Turkana imepokea jumla ya zaidi ya $500m, lakini hakuna lolote limegeuka hapo Turkana! hizi psa zote sijui huyu gavana aalitumia kufanya nini badala ya kupeleka maji!


That woman had great points until she went of the rails. It is a rant not a coherent statement.

However I do understand her frustration, how the fvck has the governor and county government not planned for this kind of adversity?! Totally mind boggling

County and national officials need to be held accountable here and solution presented to prevent this kind avoidable crisis
 
Kupeleka bomba hadi huko itabidi litoke Centrak Kenya hadi huko ...
Jambo ambalo lilikua limefanywa na serekali ni kuchimba visima vingi vya maji huko kaskazini, lakini tangu mwaka jana inasemekana hivyo visima vyote vilikauka!

Lakini kuna eneo ambalo linanishangaza ni hapo Turkana county.... Hao ndo hupata pesa nyingi baada ya Nairobi County. Tangu 2013 hadi 2019, Turkana imepokea jumla ya zaidi ya $500m, lakini hakuna lolote limegeuka hapo Turkana! hizi psa zote sijui huyu gavana aalitumia kufanya nini badala ya kupeleka maji!


The media has their points skewed. Things are changing.
A number of irrigation schemes are up and the future looks bright for these fellows in Turkana
IMG_20190912_111135.jpg
IMG_20190912_111124.jpg
IMG_20190912_111232.jpg
IMG_20190912_111219.jpg
IMG_20190912_111148.jpg
 
The media has their points skewed. Things are changing.
A number of irrigation schemes are up and the future looks bright for these fellows in Turkana
View attachment 1205202View attachment 1205204View attachment 1205206View attachment 1205207View attachment 1205211
Kuna sehemu flani flani ndogo za Turkana ziko hivyo, iko one the other side of the desert area beyond the hills, its a geography phenomenon, I think hua inafundishiwa senior primary school. but on the other side of the hill its just bare land with only shrubs.

Like this zoomed in satellite image in Turkana, it shows one side of a hilly area having a small forest, the the other side is desert. the real triumph would be to turn that desert area into a livable place.


1568281927418.png
 
Kuna sehemu flani flani ndogo za Turkana ziko hivyo, iko one the other side of the desert area beyond the hills, its a geography phenomenon, I think hua inafundishiwa senior primary school. but on the other side of the hill its just bare land with only shrubs.

Like this zoomed in satellite image in Turkana, it shows one side of a hilly area having a small forest, the the other side is desert. the real triumph would be to turn that desert area into a livable place.


View attachment 1205307
Ile kauli ya "mficha maladhi kifo humu umbua" wewe umeilewa vizuri, keep it up.
 
From Central Tanzania onwards, the Rift Valley drops less than 400 meters and in most of its length, one may not even be aware one is crossing the Rift Valley
Only in the Northern part around LakeNatron is there visible evidence of the Rift.
On the other hand Kenya's Rift drops by over 1000 meters from Nairobi to Naivasha and rises by over 2000 meters westward(the old Railway reached up to 3000 meters at Timboroa for example)
Can you show any railway in Tanzania that drops by 1000 meters then rises by 2000 meters ANYWHERE???
Please. Revise your Standard 5 Social Studies
 
From Central Tanzania onwards, the Rift Valley drops less than 400 meters and in most of its length, one may not even be aware one is crossing the Rift Valley
Only in the Northern part around LakeNatron is there visible evidence of the Rift.
On the other hand Kenya's Rift drops by over 1000 meters from Nairobi to Naivasha and rises by over 2000 meters westward(the old Railway reached up to 3000 meters at Timboroa for example)
Can you show any railway in Tanzania that drops by 1000 meters then rises by 2000 meters ANYWHERE???
Please. Revise your Standard 5 Social Studies
Tazara
 
Back
Top Bottom