Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tatizo la watanzania hua hadithi nyingi lakini watu wakianza kuongea techical utapotea hapa..... sasa vile umeanzisha, hebu lete hizo takwimu za stesheni zote zenu (both major and mini) na ulete pia average interval ya hizo stesheni kutoka Dar hadi makutopora..... Leta hizo takwimu zote nikuonyeshe vile hakuna kitu unaeza kuniambia ambacho sijui tayari....
jibu maswali uache kuropoka ropoka hovyo.....

technical gani hiyo unayoweza kutuambia hauna jipya mkuu......usiwe unapoteza mda kwa kuropoka ropoka kama mdada.....

ivi unajua kipimo cha mchanga na cement inayotumia ipo kwenye grade gani....?...je cement inayotumika ina density gani ambayo ipo covered kupitia udongo uliopo kwenye ardhi ya tanzania....?..unajua kiwango cha station quality kinachotumika tanzania mpaka project ikisha kamilika...?....je umewahi fanya tafiti kwa kutembelea na kufanya vipimo vya kila section...?...

usijifanye mjuaji mzee wa technical unayumbs hizo ni akili za pombe..ukijibu nilivyokuuliza tutaenda sawa...ila ukiendelea kuropoka unaonekana mama lishe
 
Loose-matic has gone loose
jibu maswali uache kuropoka ropoka hovyo.....

technical gani hiyo unayoweza kutuambia hauna jipya mkuu......usiwe unapoteza mda kwa kuropoka ropoka kama mdada.....

ivi unajua kipimo cha mchanga na cement inayotumia ipo kwenye grade gani....?...je cement inayotumika ina density gani ambayo ipo covered kupitia udongo uliopo kwenye ardhi ya tanzania....?..unajua kiwango cha station quality kinachotumika tanzania mpaka project ikisha kamilika...?....je umewahi fanya tafiti kwa kutembelea na kufanya vipimo vya kila section...?...

usijifanye mjuaji mzee wa technical unayumbs hizo ni akili za pombe..ukijibu nilivyokuuliza tutaenda sawa...ila ukiendelea kuropoka unaonekana mama lishe
 
33 Havard Professors and their staff visit KPA and travel with SGR to/fro Nairobi/Mombasa

D9-PNUrVUAAyb65
 
jibu maswali uache kuropoka ropoka hovyo.....

technical gani hiyo unayoweza kutuambia hauna jipya mkuu......usiwe unapoteza mda kwa kuropoka ropoka kama mdada.....

ivi unajua kipimo cha mchanga na cement inayotumia ipo kwenye grade gani....?...je cement inayotumika ina density gani ambayo ipo covered kupitia udongo uliopo kwenye ardhi ya tanzania....?..unajua kiwango cha station quality kinachotumika tanzania mpaka project ikisha kamilika...?....je umewahi fanya tafiti kwa kutembelea na kufanya vipimo vya kila section...?...

usijifanye mjuaji mzee wa technical unayumbs hizo ni akili za pombe..ukijibu nilivyokuuliza tutaenda sawa...ila ukiendelea kuropoka unaonekana mama lishe
Temana na hao wanga
 
jibu maswali uache kuropoka ropoka hovyo.....

technical gani hiyo unayoweza kutuambia hauna jipya mkuu......usiwe unapoteza mda kwa kuropoka ropoka kama mdada.....

ivi unajua kipimo cha mchanga na cement inayotumia ipo kwenye grade gani....?...je cement inayotumika ina density gani ambayo ipo covered kupitia udongo uliopo kwenye ardhi ya tanzania....?..unajua kiwango cha station quality kinachotumika tanzania mpaka project ikisha kamilika...?....je umewahi fanya tafiti kwa kutembelea na kufanya vipimo vya kila section...?...

usijifanye mjuaji mzee wa technical unayumbs hizo ni akili za pombe..ukijibu nilivyokuuliza tutaenda sawa...ila ukiendelea kuropoka unaonekana mama lishe
Typical Tanzanian!!!! Yani nyi jamaa huwa mna shida kubwa sana, Sijui hua ni kwasababu huwa mmezoea kupiga udaku mtaani ndo hua inawasababisha muwe hivi??? Yani jamaa atajifanya expert na maswali mengi na vitisho vingi vya "unajua mini ni nani? unajua mi nilisomea nini? unajua tissue inatengenezwa na nini?" , lakini pale utakapo muulizia alete ushahidi, atajifanya kurukia maswali mengine zaidi... Sasa naona ushatoka kwa idadi/ukubwa wa stesheni umeenda kwa mambo ya michanga na simiti kana kwamba unajua desity iliotumika Tz vs Kenya.... Ilhali tunajua haujui hizo details, ni mdomo mkubwa tu!!!!


Wacha nikusaidie manake tukiendelea hivi utabaki kupiga kelele za chura

Hizi ndo stesheni zote za abiria mlizo nazo (Kubwa na ndogo) kutoka Dar hadi Makutopora 541km ni 14

1568023858848.png




1568024034461.png



Kutoka Dar hadi Moro 205KM mtakua na jumla ya stesheni sita .
According to the project manager, the modern railway from Dar es Salaam to Morogoro would have a total of six stations Dar es Salaam, Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere and Morogoro. Source . Kama kuna stesheni nyengine za abiria zaidi ya hizi zitaje hapa na utuoneshe mionekano yake...



Sasa tulinganishe hio sehemu ya Dar-Moro 210km vs Nairobi-Naivasha 120km

1568024631138.png



Huku kwetu Stesheni kubwa tunaziita District station na stesheni ndogo tunaziita Intermidiate station , Ukichanganya hizo tuko na atleast 8 stations kwa hio section ya 120km na nyinyi mko na sita pekee kwa section ya 210km , yani hata ukilinganisha na Moro-Makutopora 510km ambayo ni 9 stations total karibu sawa na Nairobi-Naivasha ya 120km!!!!!!


Haya sasa ongea vizuri vile ulikua unaniuliza kama najua tz mko na mini stations ngapi ... blah blah blah




CC:
Umeshindwa kuelewa braza, vituo vikubwa vipo katika kila mji wa mikoa ambapo reli inapita, ila katika vijiji ambavyo vipo mbali na mjin kunaekwa vituo vidgo vidgo kama hvyo ili kuepusha gharama za wanavijiji kupelekwa hadi mjini alafu wapande usafir mwingne kurudi, kwahyo katika miji kutakua na vitua vikubwa kama dar es salaam lakn kutakua na vituo vidog kwa wale wa vijiji ambavyo ni kama hvyo ili kuondoa ulazima wa wao kwenda hadi mjini kwenye vituo vikubwa, kitu ambacho kwenye hii comment ako inaonyesha kenya haijafanya hvyo
 
Typical Tanzanian!!!! Yani nyi jamaa huwa mna shida kubwa sana, Sijui hua ni kwasababu huwa mmezoea kupiga udaku mtaani ndo hua inawasababisha muwe hivi??? Yani jamaa atajifanya expert na maswali mengi na vitisho vingi vya "unajua mini ni nani? unajua mi nilisomea nini? unajua tissue inatengenezwa na nini?" , lakini pale utakapo muulizia alete ushahidi, atajifanya kurukia maswali mengine zaidi... Sasa naona ushatoka kwa idadi/ukubwa wa stesheni umeenda kwa mambo ya michanga na simiti kana kwamba unajua desity iliotumika Tz vs Kenya.... Ilhali tunajua haujui hizo details, ni mdomo mkubwa tu!!!!


Wacha nikusaidie manake tukiendelea hivi utabaki kupiga kelele za chura

Hizi ndo stesheni zote za abiria mlizo nazo (Kubwa na ndogo) kutoka Dar hadi Makutopora 541km ni 14

View attachment 1202467



View attachment 1202475


Kutoka Dar hadi Moro 205KM mtakua na jumla ya stesheni sita .
According to the project manager, the modern railway from Dar es Salaam to Morogoro would have a total of six stations Dar es Salaam, Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere and Morogoro. Source . Kama kuna stesheni nyengine za abiria zaidi ya hizi zitaje hapa na utuoneshe mionekano yake...



Sasa tulinganishe hio sehemu ya Dar-Moro 210km vs Nairobi-Naivasha 120km

View attachment 1202490


Huku kwetu Stesheni kubwa tunaziita District station na stesheni ndogo tunaziita Intermidiate station , Ukichanganya hizo tuko na atleast 8 stations kwa hio section ya 120km na nyinyi mko na sita pekee kwa section ya 210km , yani hata ukilinganisha na Moro-Makutopora 510km ambayo ni 9 stations total karibu sawa na Nairobi-Naivasha ya 120km!!!!!!


Haya sasa ongea vizuri vile ulikua unaniuliza kama najua tz mko na mini stations ngapi ... blah blah blah




CC:
nimegundua kitu....hauna akili mkuu ...
 
Muone sasa. Hata tuyaache mengine, is BRT Dar anything you can brag about!?
Mafanikio yapo makubwa mno. Ndiyo maana kila siku ma bus yanajaa, watu zaidi ya 250,000 wanasafirishwa kwa siku. Mradi umeshinda tuzo za kimataifa, WB wame ufanyia review na kuona mafanikio yake na kutoa pesa za phase zinazofuata. Phase 2 ipo under construction, phase 3 imeshapata funds pia. Wewe nani mpaka useme hakuna kitu! Au una soma habari za wapinga maendeleo wachache mtandaoni then una ruka kwa furaha kuona mradi ume fail. Changamoto zipo, ndiyo maana nikasema kila mradi una changamoto zake. BRT changamoto yake ni ma bus kuwa machache, hii inaonyesha kuwa umefanikiwa. Ma bus yalipaswa kuongezwa ila kuna changamoto za kimkataba ndiyo zina wekwa sawa. Safari ambayo ilikua inachukua masaa 2 sasa inafanywa ndani ya dakika 25-30 then useme "there is nothing to brag" utakua na ukichaa.
 
Typical Tanzanian!!!! Yani nyi jamaa huwa mna shida kubwa sana, Sijui hua ni kwasababu huwa mmezoea kupiga udaku mtaani ndo hua inawasababisha muwe hivi??? Yani jamaa atajifanya expert na maswali mengi na vitisho vingi vya "unajua mini ni nani? unajua mi nilisomea nini? unajua tissue inatengenezwa na nini?" , lakini pale utakapo muulizia alete ushahidi, atajifanya kurukia maswali mengine zaidi... Sasa naona ushatoka kwa idadi/ukubwa wa stesheni umeenda kwa mambo ya michanga na simiti kana kwamba unajua desity iliotumika Tz vs Kenya.... Ilhali tunajua haujui hizo details, ni mdomo mkubwa tu!!!!


Wacha nikusaidie manake tukiendelea hivi utabaki kupiga kelele za chura

Hizi ndo stesheni zote za abiria mlizo nazo (Kubwa na ndogo) kutoka Dar hadi Makutopora 541km ni 14

View attachment 1202467



View attachment 1202475


Kutoka Dar hadi Moro 205KM mtakua na jumla ya stesheni sita .
According to the project manager, the modern railway from Dar es Salaam to Morogoro would have a total of six stations Dar es Salaam, Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere and Morogoro. Source . Kama kuna stesheni nyengine za abiria zaidi ya hizi zitaje hapa na utuoneshe mionekano yake...



Sasa tulinganishe hio sehemu ya Dar-Moro 210km vs Nairobi-Naivasha 120km

View attachment 1202490


Huku kwetu Stesheni kubwa tunaziita District station na stesheni ndogo tunaziita Intermidiate station , Ukichanganya hizo tuko na atleast 8 stations kwa hio section ya 120km na nyinyi mko na sita pekee kwa section ya 210km , yani hata ukilinganisha na Moro-Makutopora 510km ambayo ni 9 stations total karibu sawa na Nairobi-Naivasha ya 120km!!!!!!


Haya sasa ongea vizuri vile ulikua unaniuliza kama najua tz mko na mini stations ngapi ... blah blah blah




CC:
Kenya watu wamerundikana eneo moja, hii inatokana na fursa kuwa sehemu chache na serikali kutizama sehemu chache. Tz watu wametapakaa na sehemu nyingi zina miundo mbinu rafiki. Ndiyo maana leo hii uko Kenya maeneo kama Turkana, Marsabit n.k nikama kulitokea vita watu waka kimbia. Ata ukiangalia mgawanyiko wa cities Tz umetapakaa. Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Tanga and Dodoma. Ukisafiri Tz uta elewa kwanini vituo ni vichache, li nchi likubwa mno. Mfano ukitoka Dar to Mwanza unapishana na mapori yaliyojaa ukijani, milima na mabonde ya kupendeza then unakutana na mji. That will go on mpaka unafika Mwanza. Hii observation alinipa mtalii aliyetoka Zambia to Tz via TAZARA, alisema bila ata kuambiwa kuwa ametoka Zambia mtu utagundua kwa kutizama uoto asili na mpangilio wa watu jinsi wanavyo ishi. Then nikafanya observation yangu nikiwa nasafiri nika gundua hilo.Tz is simply beautiful, jitahidi siku uje ujione uzuri wa dunia.
 
Kenya watu wamerundikana eneo moja, hii inatokana na fursa kuwa sehemu chache na serikali kutizama sehemu chache. Tz watu wametapakaa na sehemu nyingi zina miundo mbinu rafiki. Ndiyo maana leo hii uko Kenya maeneo kama Turkana, Marsabit n.k nikama kulitokea vita watu waka kimbia. Ata ukiangalia mgawanyiko wa cities Tz umetapakaa. Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Tanga and Dodoma. Ukisafiri Tz uta elewa kwanini vituo ni vichache, li nchi likubwa mno. Mfano ukitoka Dar to Mwanza unapishana na mapori yaliyojaa ukijani, milima na mabonde ya kupendeza then unakutana na mji. That will go on mpaka unafika Mwanza. Hii observation alinipa mtalii aliyetoka Zambia to Tz via TAZARA, alisema bila ata kuambiwa kuwa ametoka Zambia mtu utagundua kwa kutizama uoto asili na mpangilio wa watu jinsi wanavyo ishi. Then nikafanya observation yangu nikiwa nasafiri nika gundua hilo.Tz is simply beautiful, jitahidi siku uje ujione uzuri wa dunia.
Unafaa uelewe huu mjadala ulitoka wapi ndo ukafika hapa, nilipo post hii picha ya moja ya stesheni zenu

tapatalk_1567921010958-jpeg.1202550


Jamaa walidai kwamba Tz wana stesheni ndogo ndogo kila sehemu kwa kila kitongoji tofauti na Kenya ........ Hapo ndo nimeleta ushahidi kwamba hizo stesheni zenu ukijumlisha ni chache sana... sasa wewe unaanza kunielezea sababu za kwanini stesheni ni chache huko TZ, that was not the point, point ni kwamba wenzako walikua wanadhani wako na stesheni nyingi...........



Alafu sababu kuu ya Wakenya kuishi sehemu moja ni mazingira... Kama Tanzania ingekua na mazingira ya Kenya pia nyinyi mgekua mnaishi sehemu chache kama sisi..
 
Kenya watu wamerundikana eneo moja, hii inatokana na fursa kuwa sehemu chache na serikali kutizama sehemu chache. Tz watu wametapakaa na sehemu nyingi zina miundo mbinu rafiki. Ndiyo maana leo hii uko Kenya maeneo kama Turkana, Marsabit n.k nikama kulitokea vita watu waka kimbia. Ata ukiangalia mgawanyiko wa cities Tz umetapakaa. Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Tanga and Dodoma. Ukisafiri Tz uta elewa kwanini vituo ni vichache, li nchi likubwa mno. Mfano ukitoka Dar to Mwanza unapishana na mapori yaliyojaa ukijani, milima na mabonde ya kupendeza then unakutana na mji. That will go on mpaka unafika Mwanza. Hii observation alinipa mtalii aliyetoka Zambia to Tz via TAZARA, alisema bila ata kuambiwa kuwa ametoka Zambia mtu utagundua kwa kutizama uoto asili na mpangilio wa watu jinsi wanavyo ishi. Then nikafanya observation yangu nikiwa nasafiri nika gundua hilo.Tz is simply beautiful, jitahidi siku uje ujione uzuri wa dunia.
huyo jamaa ni kichaa ....halafu muulize vizuri mwambie alete sample ya muonekano wa hizo station nyingine alizosema yaani ni vituko
 
Translation....... Umegundua hamna kitu! ulikua unajisifia eti mumeweka mini stations kibao kwa kila kitongoji kumbe huku Kenya ndo tuko nazo kila sehemu kuliko huko kwenu!!
mpumbavu siku zote anaachwa na upumbavu wake......

hatujuani mzee.......hivyo kuwa mpole
 
Back
Top Bottom