Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Train yenu ya kitambo madirisha yanafunguka, Train tuliyo nayo madirisha hayafunguki na ndani kuna Air condition... Treni yenu ya kitambo inaenda ikitetemeka na kuyumba yumba, train yetu iko smooth ukiwa ndani unajiskia ni kama uko ndani ya ndege... etc... Train tuliyonayo ni model ya juzi juzi, train mlio nayo ni model ya 1965! Usione eti ile bodi inafana na yenu ukafikiria eti ziko sawa.

Kwa mfano hichi kichwa cha treni mlichokuamnatumia enzi zile za Tazara ikianza, Mtu anaeza akasema imefanana na kicha cha treni zetu za kubeba mizigo, Lakini hii model ya DFH-09B ni model ya 1964! na waliacha kuzitengeneza enzi za 70's

iu





Model tunayoitumia sisi Kenya ni DF8B ambayo production ilianza 1997 na hadi wa leo bado ziko in production, Inatumia Electric Transmission wakati hio ya Tazara ilikua inatumia Hydraulic transmission...

The second generation DF8, the DF8B, is powered by an updated 16V280ZJA engine with 3,680 kW (4,930 hp). Production started in 1997 and lasts until today. Qishuyan, Dalian and Ziyang manufacture 0, 3000, 5000, 7000 and 9000 series of DF8B respectively.
tn_ke-sgr-locos-crrc-qishuyan-lineup.jpg






Na ile ya Abiria nayo ni DF11G ambayo ni model ya 2004

tn_ke-sgr-locos-crrc-qishuyan-selfie.jpg



Kwahivyo usione eti vitu vina fanana kwa kwa mbali ukadhani eti viko sawa, Hata Boeign ya Kitambo na ya Sasa utakuta zafanan kwa mbali kwasababu ni kampuni ile ile inajaribu kuboresha design ile ile, Lakini haimanishi eti ya zamani na ya kitambo ziko sawa.
TAZARA haina train kama hizo sasa! Most of engines r American made!
 
TAZARA haina train kama hizo sasa! Most of engines r American made!
But you had those trains in the beginnig, Infact wewe ushawahi kuleta picha kama hio ukasema eti train za Kenya ni za 1970s zilizotumika kwa Tazara ya kitambo kwasababu eti zimefanana
 
kwa kusema ukweli reli ya kenya na steheni zao ni za hali ya juu sana ila hizo trni kwa kweli wameingizwa mkenge,hazifanani na hadhi ya stesheni walizojenga
Hapo wameambulia station hakuna cha reli wa treni zote wamelishwa matango pori😆😆
 
Back
Top Bottom