Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaanza kuja...Labda twende Morocco manake yao inafanya kazi tayari tena inasonga kwa 315kh/hr na si 160km/hr kama hio yenu!
Hiyo reli haipiti ruaha (TAZARA ndiyo yenye kupita huko), hata hivyo hichi ni kipindi cha kiangazi hivyo majani hukauka.chamoto, mi' sizungumzii reli.Tanzania is beautiful hasa yale maeneo ya ruaha. Nimeshangaa kuona dar to Moro hakupendezi kama Kenya ambako reli inapitia
Kishamba shamba yani hovyo hovyo Bora ikamilike.I still don't understand what you mean by saying "local".
Wewe Hebu weka evidence yenu ikisonga kwa 1km/hr bila mzigo😂😂😂...oh! Nilisahau hamna SGR operational.Weka evidence ikiwa na mzigo!
Unaona ushamba kwa kuwa hawatumii limashine kubwa kuilaza reli? Ni wa china tuu ndio wanaojenga hivyo, nchi zingine zote wanafanya kama wanavyofanya Yapi Merkezi.Kishamba shamba yani hovyo hovyo Bora ikamilike.
This SGR Kenya terminus is better than any Airport in Tanzania.
View attachment 1180990View attachment 1180992
We are not even talking about this,
View attachment 1180995
Or
View attachment 1180997
Phase 2A only
Hii burret train inaenda kwa mwendokasi mgani...weka na ushahidi ikikimbia toka Dar slaamu Hadi Morogoro.Unaona ushamba kwa kuwa hawatumii limashine kubwa kuilaza reli? Ni wa china tuu ndio wanaojenga hivyo, nchi zingine zote wanafanya kama wanavyofanya Yapi Merkezi.
Sababu ya wachina kuja na tekinologia hiyo ni kwasababu walihitaji mfumo rahisi (turnke) wa kutengeneza reli haraka ili kuhakikisha Uchina ina mtandao mkubwa wa reli.
Hiyo yote ili kuhakikisha wanakuwa huru, hawataki sana kutegemea usafiri wa ndege (ndani ya nchi yao) ambao kwa kiasi kikubwa unamilikiwa na wamagharibi (Boeing na Airbus).
Hata hivyo unaweza fikiri automation ndiyo kila kitu lakini pia usisahau kuwa magari ya Royce Rolls yanaundwa kwa mikono.
Hahahaha, thousands of witches registered in Tanzania. Mmoja kakukorogea.Msamvu morogoro bus stage is better than any airport in kenya
Hahahaha, thousands of witches registered in Tanzania. Mmoja kakukorogea.
Yap merkezi pia wako Ethiopia,Unaona ushamba kwa kuwa hawatumii limashine kubwa kuilaza reli? Ni wa china tuu ndio wanaojenga hivyo, nchi zingine zote wanafanya kama wanavyofanya Yapi Merkezi.
Sababu ya wachina kuja na tekinologia hiyo ni kwasababu walihitaji mfumo rahisi (turnke) wa kutengeneza reli haraka ili kuhakikisha Uchina ina mtandao mkubwa wa reli.
Hiyo yote ili kuhakikisha wanakuwa huru, hawataki sana kutegemea usafiri wa ndege (ndani ya nchi yao) ambao kwa kiasi kikubwa unamilikiwa na wamagharibi (Boeing na Airbus).
Hata hivyo unaweza fikiri automation ndiyo kila kitu lakini pia usisahau kuwa magari ya Royce Rolls yanaundwa kwa mikono.
Our fisrt video of Kenya SGR was like this
Another
And when you on the inside looking outside
Kenya haiwezi kushindana na Tanzania kwa mandhari yanayopendeza.. Tanzania is goat..chamoto, mi' sizungumzii reli.Tanzania is beautiful hasa yale maeneo ya ruaha. Nimeshangaa kuona dar to Moro hakupendezi kama Kenya ambako reli inapitia
Not everywhere. Dodoma is like Turkana.Kenya haiwezi kushindana na Tanzania kwa mandhari yanayopendeza.. Tanzania is goat..
Not everywhere. Dodoma is like Turkana.
Ahsante sana. Case closed.Dodoma na turkana ni kama jangwa la Sahara
Train yenu ya kitambo madirisha yanafunguka, Train tuliyo nayo madirisha hayafunguki na ndani kuna Air condition... Treni yenu ya kitambo inaenda ikitetemeka na kuyumba yumba, train yetu iko smooth ukiwa ndani unajiskia ni kama uko ndani ya ndege... etc... Train tuliyonayo ni model ya juzi juzi, train mlio nayo ni model ya 1965! Usione eti ile bodi inafana na yenu ukafikiria eti ziko sawa.Train yenu ni ya kawaida sana mzee..sioni utofauti wake na train ya tazara au deluxe ya rail ya kati from dar to kigoma
Train yenu ya kitambo madirisha yanafunguka, Train tuliyo nayo madirisha hayafunguki na ndani kuna Air condition... Treni yenu ya kitambo inaenda ikitetemeka na kuyumba yumba, train yetu iko smooth ukiwa ndani unajiskia ni kama uko ndani ya ndege... etc... Train tuliyonayo ni model ya juzi juzi, train mlio nayo ni model ya 1965! Usione eti ile bodi inafana na yenu ukafikiria eti ziko sawa.
Kwa mfano hichi kichwa cha treni mlichokuamnatumia enzi zile za Tazara ikianza, Mtu anaeza akasema imefanana na kicha cha treni zetu za kubeba mizigo, Lakini hii model ya DFH-09B ni model ya 1964! na waliacha kuzitengeneza enzi za 70's
Model tunayoitumia sisi Kenya ni DF8B ambayo production ilianza 1997 na hadi wa leo bado ziko in production, Inatumia Electric Transmission wakati hio ya Tazara ilikua inatumia Hydraulic transmission...China Railways DFH mainline locomotives - Wikipedia
en.wikipedia.org
The second generation DF8, the DF8B, is powered by an updated 16V280ZJA engine with 3,680 kW (4,930 hp). Production started in 1997 and lasts until today. Qishuyan, Dalian and Ziyang manufacture 0, 3000, 5000, 7000 and 9000 series of DF8B respectively.China Railways DF8 - Wikipedia
en.wikipedia.org
Na ile ya Abiria nayo ni DF11G ambayo ni model ya 2004
Kwahivyo usione eti vitu vina fanana kwa kwa mbali ukadhani eti viko sawa, Hata Boeign ya Kitambo na ya Sasa utakuta zafanan kwa mbali kwasababu ni kampuni ile ile inajaribu kuboresha design ile ile, Lakini haimanishi eti ya zamani na ya kitambo ziko sawa.China Railways DF11G - Wikipedia
en.wikipedia.org