Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,200
- 79,433
- Thread starter
- #3,381
Hamna mwanaume anaita rafiki yake shoga!Sisi hatusikii vibaya mkitumia neno shoga kumaanisha rafiki .
Stima huku kwetu ni sawa kabisa, tena usisahau lahaja ya kimvita ni kubwa kuliko yoyote ya Kiswahili cha Tz